Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Rais Samia amesema Kiswahili kina uwezo wa kuwaunganisha Waafrika na kupendekeza kitumike kama lugha ya mawasiliano, elimu na biashara katika nchi za Afrika, ikiwemo Comoro.
"Lugha pekee ya Kiafrika inayoweza kutuunganisha au kuunganisha watu wetu ni kiswahili, hivyo ilikujenga umoja nitumie fursa hii kupendekeza kwamba Kiswahili lugha ya mawasiliano, elimu na biashara kati yetu, ifundishwe mashuleni na kutambulika rasmi hapa Comoro."
Amesema Tanzania iko tayari kusaidia kwa kutoa walimu na vifaa vya kufundishia. Aidha, amesisitiza kuwa Kiswahili ni urithi wa pamoja na daraja la maendeleo baina ya mataifa ya Afrika.
"Tanzania iko tayari kusaidia kutoa walimu na vifaa vya kufundishia, tukumbuke kwamba Kiswahili ni urithi wetu wa pamoja na ni daraja la maendeleo baina yetu."
"Lugha pekee ya Kiafrika inayoweza kutuunganisha au kuunganisha watu wetu ni kiswahili, hivyo ilikujenga umoja nitumie fursa hii kupendekeza kwamba Kiswahili lugha ya mawasiliano, elimu na biashara kati yetu, ifundishwe mashuleni na kutambulika rasmi hapa Comoro."
Amesema Tanzania iko tayari kusaidia kwa kutoa walimu na vifaa vya kufundishia. Aidha, amesisitiza kuwa Kiswahili ni urithi wa pamoja na daraja la maendeleo baina ya mataifa ya Afrika.
"Tanzania iko tayari kusaidia kutoa walimu na vifaa vya kufundishia, tukumbuke kwamba Kiswahili ni urithi wetu wa pamoja na ni daraja la maendeleo baina yetu."