Rais Samia, jitenge na GSM kama ulivyojitenga na Sabaya

Rais Samia, jitenge na GSM kama ulivyojitenga na Sabaya

Iko hivi mdau. Vita iliyopo sasa baada ya Dkt Magufuli kufariki ni wauza madawa ya kulevya (GSM, Riziwani n.k. kulipiza visasi). Cha kwanza wanajiweka karibu na Ikulu. Cha pili wamejiwekea mkakati wa kuchukua hatamu za uongozi. Ktk kutumiza hayo Riziwani kawekwa kwenye ardhi ili kuhakikisha analipiza kisasi kwa kutoa hati miliki mpya kwa wale wote waliokuwa wanahusika na kushughulikia wauza madawa ya kulevya. Makonda na Musiba ni moja wapo na inawezekana wapo wengi ila si watu wa media. Mauaji makubwa yanatekelezwa kuanzia kwa wana usalama waliokuwa mstari wa mbele kupambana na madawa ya kulevya. Kwa ufupi genge la wauza madawa kwa sasa lina nguvu kuzidi lile la Zanzibar na Serikali ya Mama limeiweka mfukoni haiwezi kufurukuta.

Ila baada ya muda si mrefu, kuna serikali mpya itakuja. Hiyo serikali ikija itahakikisha inarejesha legacy ya Dkt Magufuli. Na katika kuhakikisha nchi inasimana hiyo serikali mpya ya mrengo wa Dkt Magufuli itawaua wahusika wa madawa wote (maana imepata funzo kupitia Serikali ya Mama) ili kuondoa makosa yaliyofanywa hapo nyuma ya kucheka na waharifu.
 
Iko hivi mdau. Vita iliyopo sasa baada ya Dkt Magufuli kufariki ni wauza madawa ya kulevya (GSM, Riziwani n.k. kulipiza visasi). Cha kwanza wanajiweka karibu na Ikulu. Cha pili wamejiwekea mkakati wa kuchukua hatamu za uongozi. Ktk kutumiza hayo Riziwani kawekwa kwenye ardhi ili kuhakikisha analipiza kisasi kwa kutoa hati miliki mpya kwa wale wote waliokuwa wanahusika na kushughulikia wauza madawa ya kulevya. Makonda na Musiba ni moja wapo na inawezekana wapo wengi ila si watu wa media. Mauaji makubwa yanatekelezwa kuanzia kwa wana usalama waliokuwa mstari wa mbele kupambana na madawa ya kulevya. Kwa ufupi genge la wauza madawa kwa sasa lina nguvu kuzidi lile la Zanzibar na Serikali ya Mama limeiweka mfukoni haiwezi kufurukuta.

Ila baada ya muda si mrefu, kuna serikali mpya itakuja. Hiyo serikali ikija itahakikisha inarejesha legacy ya Dkt Magufuli. Na katika kuhakikisha nchi inasimana hiyo serikali mpya ya mrengo wa Dkt Magufuli itawaua wahusika wa madawa wote (maana imepata funzo kupitia Serikali ya Mama) ili kuondoa makosa yaliyofanywa hapo nyuma ya kucheka na waharifu.
Una miaka mingap
Mbona unaonekana hi mtoto sana
 
Iko hivi mdau. Vita iliyopo sasa baada ya Dkt Magufuli kufariki ni wauza madawa ya kulevya (GSM, Riziwani n.k. kulipiza visasi). Cha kwanza wanajiweka karibu na Ikulu. Cha pili wamejiwekea mkakati wa kuchukua hatamu za uongozi. Ktk kutumiza hayo Riziwani kawekwa kwenye ardhi ili kuhakikisha analipiza kisasi kwa kutoa hati miliki mpya kwa wale wote waliokuwa wanahusika na kushughulikia wauza madawa ya kulevya. Makonda na Musiba ni moja wapo na inawezekana wapo wengi ila si watu wa media. Mauaji makubwa yanatekelezwa kuanzia kwa wana usalama waliokuwa mstari wa mbele kupambana na madawa ya kulevya. Kwa ufupi genge la wauza madawa kwa sasa lina nguvu kuzidi lile la Zanzibar na Serikali ya Mama limeiweka mfukoni haiwezi kufurukuta.

Ila baada ya muda si mrefu, kuna serikali mpya itakuja. Hiyo serikali ikija itahakikisha inarejesha legacy ya Dkt Magufuli. Na katika kuhakikisha nchi inasimana hiyo serikali mpya ya mrengo wa Dkt Magufuli itawaua wahusika wa madawa wote (maana imepata funzo kupitia Serikali ya Mama) ili kuondoa makosa yaliyofanywa hapo nyuma ya kucheka na waharifu.
Na wamejipanga kuanzia Ardhi Riziwani,kule Nishati kwenye deal wameweka Makamba na kisha wameweka Puppet wao Nape ili kufanya cover ya stori zote.

Kule pesa yuko Mwigulu.......

Muda utaongea soon!
 
Umejiuliza nyuma ya gsm yupo nani? Unafikiri kwann wale waarabu wanakiburi sana?
Waarabu wanatutisha ndani ya nchi yetu

wewe kweli mtoto unafikiri ukiwa mwafrica basi wewe ni mtanzania. hata wahindi ni watanzania hata warabu ni watanzania. mtanzania sio dini wala rangi. weww unajua adamu na eva walikuwa na rangi ipi na ndio waliokuja kuitawala dunia
 
Riziwani kikwete ni mbia wa Home Shopping Centre ambayo ndio hiyo GSM ya sasa.
Wewe hujui ila wananchi wanajua..
Riziwani alishawai singiziwa kuwa Petrol Stations zote za Lake Oil kuwa za kwake Ila cha kushangaza baada ya Mzee wake kuondoka madarakani tu hayo maneno yakafa kifo cha Mende

Tushawazoea watu wa kutunga na kusambaza uongo. Hamtudanganyi tena

Weka uthibitisho wa ubia wa Ridhiwani GSM hapa
 
Kikwete na GSM wapi na wapi?
anamaanisha labda dini zao[emoji28],vijitu vijinga sana nchi hii,, eti matajiri wote wanawaona wahujumu uchumi,,,Sasa tukibaki masikini wote nani atamuajiri mwingine?.
no wonder mmoja aliamuaga kutaifisha Mali za watu walizochuma Kwa jasho lao bila kosa lolote
 
Hapana kwao ni Uarabuni ndio maana akaitwa muarabu.

Jiulize tu kama na wewe mmatumbi unaweza kwenda kufanya ujinga anaofanya GSM hapa Tanzania kule uarabuni.

Tanzania tunakosa viongozi wazalendo hilo tu.
GSM ni mbongo acha ubaguzi was rangi
 
Back
Top Bottom