Alikuwa akiwahutubia wanajeshi wa JWTZ kukaa standby kukabiliana na uvunjifu wa Amani katia chaguzi zijazo. Amesema hiyo haina maana kuwa kutakuwa na uchaguzi wa vurugu, bali kujiweka tayari.
1. Polisi kwahiyo hawawezi kwa maana vurugu zitakuwa kubwa? Ana hofu ya nini?
2. My worries: mama anahofia nini? To me ni kuwa WATAIBA KURA KAMA MAGUFULI lakini anajua kuwa safari hii haitawezekana kirahisi na hivyo , watu wako tayari kuanzisha KAMKUNJI na hivyo kutumia JWTZ!
I stand to be correct on my worries
1. Polisi kwahiyo hawawezi kwa maana vurugu zitakuwa kubwa? Ana hofu ya nini?
2. My worries: mama anahofia nini? To me ni kuwa WATAIBA KURA KAMA MAGUFULI lakini anajua kuwa safari hii haitawezekana kirahisi na hivyo , watu wako tayari kuanzisha KAMKUNJI na hivyo kutumia JWTZ!
I stand to be correct on my worries