Rais Samia hurumia wazee waliolitumikia taifa kwa uaminifu leo wanalipwa Tsh 3,000 kwa siku

Ti Go

JF-Expert Member
Jun 28, 2012
880
844
Raisi wangu Samia naandika post hii nikiamini kwa huwa unapitia jukwaa hili kama siku moja ulivyotwambia. kama siyo wewe kuusoma mwenyewe basi naomba wasaidizi wako wakufikishie ujumbe huu.

Kuna wazee wastaafu waliolitumikia taifa hili kwa uaminifu, na unajua kuwa huko myuma hapakuwepo ujanja ujanja unaofanywa na waajiriwa wa siku hizi.

Mshahara ulikuwa mdogo na bado waajiriwa walikuwa waaminifu. mpaka mtu anastaafu hana nyumba wala shamba, mategemeo ni kuwa atakapo staafu atalipwa pension itakayomtunza mpaka kufa. Lakini wastaafu wa namna hiyo (waliostaafu miaka mingi ya nyuma) sasa hivi wanalipwa sh 100,000 kwa mwezi.

Hii ilipandishwa (kama sikosei) miaka zaidi ya 5 iliyopita. Toka wakati huo bei za vitu zimepanda bei mara dufu. Wanalipwa hela kwa siku ambayo haiwezi hata kununua kilo ya sukari au mchele. Mahitaji ya wazee ni mengi na nguvu ya kufanyakazi hawana. Wataishije hawa?

Hawa wazee hawana mtetezi. Mfanyakazi anapostaafu, vyama vya wafanyakazi ukoma kumtetea. Wastaafu hawana mtetezi bungeni kama walivyo wanawake. Wabuge wanaangalia masilahi yao tu. Mara moja niliwahi kumsikia mbunge mmoja (Mwijage ) akiongea juu ya hili. Wazee hawa wakati mwingine wanazidiwa na wanaopata hela ya TASAFU.

Wazee hawa nina imani siyo wengi kiasi cha kushindwa kulipwa vizuri na mifuko ya Pension. Juzi mfuko mmoja ulikuwa unajinadi kuwa na kiasi cha ma-trilion za hela za Kitanzania. Kwa hesabu za haraka haraka, hata wangekuwa na idadi ya 100,000 tuseme walipwe sh 200,000 kwa mwezi, watalipwa kama 20 billion. Ni kitu kidogo sana ambacho serikali inaweza.

Hebu fikiria wabunge wanalipwa kiasi gani kwa siku pale Dodoma, hebu fikiria hela zinazofujwa na watumishi walioko kazini, hebu fikiria viongozi wastaafu wanaolipwa asilimia 80 za walioko kazini, hebu fikiria wake za viongozi wanavyolipwa, hebu fikiria hata wanavyuo wanaolipiwa na HESLB (10,000) kwa siku., hebu fikiria wafanyakazi wa mifuko ya jamii (NSSF, PSSSF nk) mishahara yao kwa mwezi

Kwanini hawa wazee wateswe hivyo, kwa nini waishi kama vile walikosea kutumia muda wao kulitumikia taifa lisilowakumbuka. Ni mawazo yangu kuwa kitendo cha kuwalipa wazee pension mbovu kinaweza kuwafanya wafanyakazi waliopo kazi kuiba hela za umma ili kujitengenezea maisha yao ya baadae yasije kuwa mabaya huko mbeleni.

Wewe ni mama na mzee pia. Hebu vaa viatu vya mzee mstaafu anayelipwa sh 100,000, piga bajeti ya namna ya kutumia pension. Unahitaji kununua sukari, mchele, mboga n.k, unahitaji kwenda hospital, matumizi ni mengi na hayaelezeki. Wengi wao wanakufa kwa mtimanyongo.

Wanaishi kwa masimango kwamba hawakuwa wajanja wa kutumia mali ya umma, walitumia muda wao vibaya walipokuwa kazini. Kwanini mtumishi mstaafu wa umma awe omba omba?

Mapendekezo yangu mawili:-
-Kima cha pension kipandishwa na kuwa sh 200,000 kwa mwezi.
-Kila unapopandishwa mshahara, angalau nao wape 80% ya kima cha chini, kama ilivyo kwa viongozi wastaafu,
-Vyama vya wafanyakazi (najua wapo humu wanasoma) wasikome kuwatetea waliokuwa wafanyakazi wao, Wajue na wao ipo siku watastaafu. Nani atawatetea?

Nawasilisha
 
Wacha mambo yaende hivyo hivyo mpaka watanzania akili zitukae sawa. Yaani kikotoo na toto afya yaani ni sehemu tu ya dhahama kibao lakini watanzania tupo tupo tu.
 
Raisi wangu Samia naandika post hii nikiamini kwa huwa unapitia jukwaa hili kama siku moja ulivyotwambia. kama siyo wewe kuusoma mwenyewe basi naomba wasaidizi wako wakufikishie ujumbe huu.

Kuna wazee wastaafu waliolitumikia taifa hili kwa uaminifu, na unajua kuwa huko myuma hapakuwepo ujanja ujanja unaofanywa na waajiriwa wa siku hizi.

Mshahara ulikuwa mdogo na bado waajiriwa walikuwa waaminifu. mpaka mtu anastaafu hana nyumba wala shamba, mategemeo ni kuwa atakapo staafu atalipwa pension itakayomtunza mpaka kufa. Lakini wastaafu wa namna hiyo (waliostaafu miaka mingi ya nyuma) sasa hivi wanalipwa sh 100,000 kwa mwezi.

Hii ilipandishwa (kama sikosei) miaka zaidi ya 5 iliyopita. Toka wakati huo bei za vitu zimepanda bei mara dufu. Wanalipwa hela kwa siku ambayo haiwezi hata kununua kilo ya sukari au mchele. Mahitaji ya wazee ni mengi na nguvu ya kufanyakazi hawana. Wataishije hawa?

Hawa wazee hawana mtetezi. Mfanyakazi anapostaafu, vyama vya wafanyakazi ukoma kumtetea. Wastaafu hawana mtetezi bungeni kama walivyo wanawake. Wabuge wanaangalia masilahi yao tu. Mara moja niliwahi kumsikia mbunge mmoja (Mwijage ) akiongea juu ya hili. Wazee hawa wakati mwingine wanazidiwa na wanaopata hela ya TASAFU.

Wazee hawa nina imani siyo wengi kiasi cha kushindwa kulipwa vizuri na mifuko ya Pension. Juzi mfuko mmoja ulikuwa unajinadi kuwa na kiasi cha ma-trilion za hela za Kitanzania. Kwa hesabu za haraka haraka, hata wangekuwa na idadi ya 100,000 tuseme walipwe sh 200,000 kwa mwezi, watalipwa kama 20 billion. Ni kitu kidogo sana ambacho serikali inaweza.

Hebu fikiria wabunge wanalipwa kiasi gani kwa siku pale Dodoma, hebu fikiria hela zinazofujwa na watumishi walioko kazini, hebu fikiria viongozi wastaafu wanaolipwa asilimia 80 za walioko kazini, hebu fikiria wake za viongozi wanavyolipwa, hebu fikiria hata wanavyuo wanaolipiwa na HESLB (10,000) kwa siku., hebu fikiria wafanyakazi wa mifuko ya jamii (NSSF, PSSSF nk) mishahara yao kwa mwezi

Kwanini hawa wazee wateswe hivyo, kwa nini waishi kama vile walikosea kutumia muda wao kulitumikia taifa lisilowakumbuka. Ni mawazo yangu kuwa kitendo cha kuwalipa wazee pension mbovu kinaweza kuwafanya wafanyakazi waliopo kazi kuiba hela za umma ili kujitengenezea maisha yao ya baadae yasije kuwa mabaya huko mbeleni.

Wewe ni mama na mzee pia. Hebu vaa viatu vya mzee mstaafu anayelipwa sh 100,000, piga bajeti ya namna ya kutumia pension. Unahitaji kununua sukari, mchele, mboga n.k, unahitaji kwenda hospital, matumizi ni mengi na hayaelezeki. Wengi wao wanakufa kwa mtimanyongo.

Wanaishi kwa masimango kwamba hawakuwa wajanja wa kutumia mali ya umma, walitumia muda wao vibaya walipokuwa kazini. Kwanini mtumishi mstaafu wa umma awe omba omba?

Mapendekezo yangu mawili:-
-Kima cha pension kipandishwa na kuwa sh 200,000 kwa mwezi.
-Kila unapopandishwa mshahara, angalau nao wape 80% ya kima cha chini, kama ilivyo kwa viongozi wastaafu,
-Vyama vya wafanyakazi (najua wapo humu wanasoma) wasikome kuwatetea waliokuwa wafanyakazi wao, Wajue na wao ipo siku watastaafu. Nani atawatetea?

Nawasilisha
Aliekwambia wana huruma kakuingiza chaka!! Hawajawah kua na huruma kwa watanzania ambao wengi ni masikini, lkn angalia.. wanapandishiwa gharama za maisha kila cku. Mafuta, huduma na dawa hospital, tozo, hata mtanzania akitaka kununua kigar angalau atembelee na family yake angalia kodi pale bandarini ni zaid ya bei ya gar. Umeme umekua tatizo miongo mingi san, imagine kukatika kwa umeme Tanzania masikini huyu ambae kula kwake ni lazima atoke kila cku ili atafute riziki so akitoka anakuta umeme hakuna kuanzia asubuh mpaka sa moja jion na bado mnaambiwa mpaka baada ya miez sita!! Hapo kuna huruma kweli?
 
Kwa kweli inaumiza sana......

The real and lasting solution to all these problems is God's kingdom and its coming VERY SOON.
(matthew 6:9, luke 21:10,11,31).
 
Ndiomaana mimi nilisha amua kwamba nitachukua changu mapemaaaaa..... na sina moango wa kusubiri nistaafu aiseee...☹️
 
Raisi wangu Samia naandika post hii nikiamini kwa huwa unapitia jukwaa hili kama siku moja ulivyotwambia. kama siyo wewe kuusoma mwenyewe basi naomba wasaidizi wako wakufikishie ujumbe huu.

Kuna wazee wastaafu waliolitumikia taifa hili kwa uaminifu, na unajua kuwa huko myuma hapakuwepo ujanja ujanja unaofanywa na waajiriwa wa siku hizi.

Mshahara ulikuwa mdogo na bado waajiriwa walikuwa waaminifu. mpaka mtu anastaafu hana nyumba wala shamba, mategemeo ni kuwa atakapo staafu atalipwa pension itakayomtunza mpaka kufa. Lakini wastaafu wa namna hiyo (waliostaafu miaka mingi ya nyuma) sasa hivi wanalipwa sh 100,000 kwa mwezi.

Hii ilipandishwa (kama sikosei) miaka zaidi ya 5 iliyopita. Toka wakati huo bei za vitu zimepanda bei mara dufu. Wanalipwa hela kwa siku ambayo haiwezi hata kununua kilo ya sukari au mchele. Mahitaji ya wazee ni mengi na nguvu ya kufanyakazi hawana. Wataishije hawa?

Hawa wazee hawana mtetezi. Mfanyakazi anapostaafu, vyama vya wafanyakazi ukoma kumtetea. Wastaafu hawana mtetezi bungeni kama walivyo wanawake. Wabuge wanaangalia masilahi yao tu. Mara moja niliwahi kumsikia mbunge mmoja (Mwijage ) akiongea juu ya hili. Wazee hawa wakati mwingine wanazidiwa na wanaopata hela ya TASAFU.

Wazee hawa nina imani siyo wengi kiasi cha kushindwa kulipwa vizuri na mifuko ya Pension. Juzi mfuko mmoja ulikuwa unajinadi kuwa na kiasi cha ma-trilion za hela za Kitanzania. Kwa hesabu za haraka haraka, hata wangekuwa na idadi ya 100,000 tuseme walipwe sh 200,000 kwa mwezi, watalipwa kama 20 billion. Ni kitu kidogo sana ambacho serikali inaweza.

Hebu fikiria wabunge wanalipwa kiasi gani kwa siku pale Dodoma, hebu fikiria hela zinazofujwa na watumishi walioko kazini, hebu fikiria viongozi wastaafu wanaolipwa asilimia 80 za walioko kazini, hebu fikiria wake za viongozi wanavyolipwa, hebu fikiria hata wanavyuo wanaolipiwa na HESLB (10,000) kwa siku., hebu fikiria wafanyakazi wa mifuko ya jamii (NSSF, PSSSF nk) mishahara yao kwa mwezi

Kwanini hawa wazee wateswe hivyo, kwa nini waishi kama vile walikosea kutumia muda wao kulitumikia taifa lisilowakumbuka. Ni mawazo yangu kuwa kitendo cha kuwalipa wazee pension mbovu kinaweza kuwafanya wafanyakazi waliopo kazi kuiba hela za umma ili kujitengenezea maisha yao ya baadae yasije kuwa mabaya huko mbeleni.

Wewe ni mama na mzee pia. Hebu vaa viatu vya mzee mstaafu anayelipwa sh 100,000, piga bajeti ya namna ya kutumia pension. Unahitaji kununua sukari, mchele, mboga n.k, unahitaji kwenda hospital, matumizi ni mengi na hayaelezeki. Wengi wao wanakufa kwa mtimanyongo.

Wanaishi kwa masimango kwamba hawakuwa wajanja wa kutumia mali ya umma, walitumia muda wao vibaya walipokuwa kazini. Kwanini mtumishi mstaafu wa umma awe omba omba?

Mapendekezo yangu mawili:-
-Kima cha pension kipandishwa na kuwa sh 200,000 kwa mwezi.
-Kila unapopandishwa mshahara, angalau nao wape 80% ya kima cha chini, kama ilivyo kwa viongozi wastaafu,
-Vyama vya wafanyakazi (najua wapo humu wanasoma) wasikome kuwatetea waliokuwa wafanyakazi wao, Wajue na wao ipo siku watastaafu. Nani atawatetea?

Nawasilisha

Hawa wazee huwa ni hodari sana wa kuvaa kofia na Tshirt za ccm, hayo ni mambo ya familia, waachie wana familia, kama na wewe ni mwana familia yajadilini kwenye vikao vya ndani.
 
Kwani wazee ambao hawajawahi kuajiriwa wanaishije!
Sasa mkuu ungefungua mada ya hiyo, chukulia mfano mtu leo hii anafanya kazi kule Nyerere hydropower...Jua na mvua yake ili ahakikishe nchi yetu inasonga mbele alafu viongozi wanazidi kuweka mazingira isiyo rafiki ili akimaliza kazi aweze kunufaika na kazi yako.
 
Raisi wangu Samia naandika post hii nikiamini kwa huwa unapitia jukwaa hili kama siku moja ulivyotwambia. kama siyo wewe kuusoma mwenyewe basi naomba wasaidizi wako wakufikishie ujumbe huu.

Kuna wazee wastaafu waliolitumikia taifa hili kwa uaminifu, na unajua kuwa huko myuma hapakuwepo ujanja ujanja unaofanywa na waajiriwa wa siku hizi.

Mshahara ulikuwa mdogo na bado waajiriwa walikuwa waaminifu. mpaka mtu anastaafu hana nyumba wala shamba, mategemeo ni kuwa atakapo staafu atalipwa pension itakayomtunza mpaka kufa. Lakini wastaafu wa namna hiyo (waliostaafu miaka mingi ya nyuma) sasa hivi wanalipwa sh 100,000 kwa mwezi.

Hii ilipandishwa (kama sikosei) miaka zaidi ya 5 iliyopita. Toka wakati huo bei za vitu zimepanda bei mara dufu. Wanalipwa hela kwa siku ambayo haiwezi hata kununua kilo ya sukari au mchele. Mahitaji ya wazee ni mengi na nguvu ya kufanyakazi hawana. Wataishije hawa?

Hawa wazee hawana mtetezi. Mfanyakazi anapostaafu, vyama vya wafanyakazi ukoma kumtetea. Wastaafu hawana mtetezi bungeni kama walivyo wanawake. Wabuge wanaangalia masilahi yao tu. Mara moja niliwahi kumsikia mbunge mmoja (Mwijage ) akiongea juu ya hili. Wazee hawa wakati mwingine wanazidiwa na wanaopata hela ya TASAFU.

Wazee hawa nina imani siyo wengi kiasi cha kushindwa kulipwa vizuri na mifuko ya Pension. Juzi mfuko mmoja ulikuwa unajinadi kuwa na kiasi cha ma-trilion za hela za Kitanzania. Kwa hesabu za haraka haraka, hata wangekuwa na idadi ya 100,000 tuseme walipwe sh 200,000 kwa mwezi, watalipwa kama 20 billion. Ni kitu kidogo sana ambacho serikali inaweza.

Hebu fikiria wabunge wanalipwa kiasi gani kwa siku pale Dodoma, hebu fikiria hela zinazofujwa na watumishi walioko kazini, hebu fikiria viongozi wastaafu wanaolipwa asilimia 80 za walioko kazini, hebu fikiria wake za viongozi wanavyolipwa, hebu fikiria hata wanavyuo wanaolipiwa na HESLB (10,000) kwa siku., hebu fikiria wafanyakazi wa mifuko ya jamii (NSSF, PSSSF nk) mishahara yao kwa mwezi

Kwanini hawa wazee wateswe hivyo, kwa nini waishi kama vile walikosea kutumia muda wao kulitumikia taifa lisilowakumbuka. Ni mawazo yangu kuwa kitendo cha kuwalipa wazee pension mbovu kinaweza kuwafanya wafanyakazi waliopo kazi kuiba hela za umma ili kujitengenezea maisha yao ya baadae yasije kuwa mabaya huko mbeleni.

Wewe ni mama na mzee pia. Hebu vaa viatu vya mzee mstaafu anayelipwa sh 100,000, piga bajeti ya namna ya kutumia pension. Unahitaji kununua sukari, mchele, mboga n.k, unahitaji kwenda hospital, matumizi ni mengi na hayaelezeki. Wengi wao wanakufa kwa mtimanyongo.

Wanaishi kwa masimango kwamba hawakuwa wajanja wa kutumia mali ya umma, walitumia muda wao vibaya walipokuwa kazini. Kwanini mtumishi mstaafu wa umma awe omba omba?

Mapendekezo yangu mawili:-
-Kima cha pension kipandishwa na kuwa sh 200,000 kwa mwezi.
-Kila unapopandishwa mshahara, angalau nao wape 80% ya kima cha chini, kama ilivyo kwa viongozi wastaafu,
-Vyama vya wafanyakazi (najua wapo humu wanasoma) wasikome kuwatetea waliokuwa wafanyakazi wao, Wajue na wao ipo siku watastaafu. Nani atawatetea?

Nawasilisha
Hakika umesema ukweli mtupu, wabunge wameongezewa milioni 4.5 kwa mwezi kwa kukaa bungeni kupitisha kila kitu na kugonga meza tu. Wanasiasa wetu ni wabinafsi na wachoyo sana
 
Aliekwambia wana huruma kakuingiza chaka!! Hawajawah kua na huruma kwa watanzania ambao wengi ni masikini, lkn angalia.. wanapandishiwa gharama za maisha kila cku. Mafuta, huduma na dawa hospital, tozo, hata mtanzania akitaka kununua kigar angalau atembelee na family yake angalia kodi pale bandarini ni zaid ya bei ya gar. Umeme umekua tatizo miongo mingi san, imagine kukatika kwa umeme Tanzania masikini huyu ambae kula kwake ni lazima atoke kila cku ili atafute riziki so akitoka anakuta umeme hakuna kuanzia asubuh mpaka sa moja jion na bado mnaambiwa mpaka baada ya miez sita!! Hapo kuna huruma kweli?
Bongo nyosso aisee.fikiria mtu anafanya biashara kama ya welding,salon na wamechukua mkopo watafanyaje marejesho??na umeme kupungua kukatika n mpaka march 2024🤭
 
Hakika umesema ukweli mtupu, wabunge wameongezewa milioni 4.5 kwa mwezi kwa kukaa bungeni kupitisha kila kitu na kugonga meza tu. Wanasiasa wetu ni wabinafsi na wachoyo sana
Kwenye mshahara yan 13m +4.5m?
 
Fainali uzeeni vp mbn mnaomba back up kwa serikali nyie wazee si mlikuwa mnasema vijana tunakesha mitandaoni hatujitumi eb jitumeni na nyie tuone! Sisi vijana tunaokesha mtandaoni hatukosi bando, Kodi tunalipa msosi tunapiga na hela ya maintenance ya single mumama hatukosi
 
Raisi wangu Samia naandika post hii nikiamini kwa huwa unapitia jukwaa hili kama siku moja ulivyotwambia. kama siyo wewe kuusoma mwenyewe basi naomba wasaidizi wako wakufikishie ujumbe huu.

Kuna wazee wastaafu waliolitumikia taifa hili kwa uaminifu, na unajua kuwa huko myuma hapakuwepo ujanja ujanja unaofanywa na waajiriwa wa siku hizi.

Mshahara ulikuwa mdogo na bado waajiriwa walikuwa waaminifu. mpaka mtu anastaafu hana nyumba wala shamba, mategemeo ni kuwa atakapo staafu atalipwa pension itakayomtunza mpaka kufa. Lakini wastaafu wa namna hiyo (waliostaafu miaka mingi ya nyuma) sasa hivi wanalipwa sh 100,000 kwa mwezi.

Hii ilipandishwa (kama sikosei) miaka zaidi ya 5 iliyopita. Toka wakati huo bei za vitu zimepanda bei mara dufu. Wanalipwa hela kwa siku ambayo haiwezi hata kununua kilo ya sukari au mchele. Mahitaji ya wazee ni mengi na nguvu ya kufanyakazi hawana. Wataishije hawa?

Hawa wazee hawana mtetezi. Mfanyakazi anapostaafu, vyama vya wafanyakazi ukoma kumtetea. Wastaafu hawana mtetezi bungeni kama walivyo wanawake. Wabuge wanaangalia masilahi yao tu. Mara moja niliwahi kumsikia mbunge mmoja (Mwijage ) akiongea juu ya hili. Wazee hawa wakati mwingine wanazidiwa na wanaopata hela ya TASAFU.

Wazee hawa nina imani siyo wengi kiasi cha kushindwa kulipwa vizuri na mifuko ya Pension. Juzi mfuko mmoja ulikuwa unajinadi kuwa na kiasi cha ma-trilion za hela za Kitanzania. Kwa hesabu za haraka haraka, hata wangekuwa na idadi ya 100,000 tuseme walipwe sh 200,000 kwa mwezi, watalipwa kama 20 billion. Ni kitu kidogo sana ambacho serikali inaweza.

Hebu fikiria wabunge wanalipwa kiasi gani kwa siku pale Dodoma, hebu fikiria hela zinazofujwa na watumishi walioko kazini, hebu fikiria viongozi wastaafu wanaolipwa asilimia 80 za walioko kazini, hebu fikiria wake za viongozi wanavyolipwa, hebu fikiria hata wanavyuo wanaolipiwa na HESLB (10,000) kwa siku., hebu fikiria wafanyakazi wa mifuko ya jamii (NSSF, PSSSF nk) mishahara yao kwa mwezi

Kwanini hawa wazee wateswe hivyo, kwa nini waishi kama vile walikosea kutumia muda wao kulitumikia taifa lisilowakumbuka. Ni mawazo yangu kuwa kitendo cha kuwalipa wazee pension mbovu kinaweza kuwafanya wafanyakazi waliopo kazi kuiba hela za umma ili kujitengenezea maisha yao ya baadae yasije kuwa mabaya huko mbeleni.

Wewe ni mama na mzee pia. Hebu vaa viatu vya mzee mstaafu anayelipwa sh 100,000, piga bajeti ya namna ya kutumia pension. Unahitaji kununua sukari, mchele, mboga n.k, unahitaji kwenda hospital, matumizi ni mengi na hayaelezeki. Wengi wao wanakufa kwa mtimanyongo.

Wanaishi kwa masimango kwamba hawakuwa wajanja wa kutumia mali ya umma, walitumia muda wao vibaya walipokuwa kazini. Kwanini mtumishi mstaafu wa umma awe omba omba?

Mapendekezo yangu mawili:-
-Kima cha pension kipandishwa na kuwa sh 200,000 kwa mwezi.
-Kila unapopandishwa mshahara, angalau nao wape 80% ya kima cha chini, kama ilivyo kwa viongozi wastaafu,
-Vyama vya wafanyakazi (najua wapo humu wanasoma) wasikome kuwatetea waliokuwa wafanyakazi wao, Wajue na wao ipo siku watastaafu. Nani atawatetea?

Nawasilisha
Je wazee wasiokuwa waajiriwa serikali 'HAWAJALITUMIKIA' Taifa? na vipi ushafikiria hao nao wanaishi vipi bila pesa ya mwezi?
 
Asante sana kwa kututetea sisi wazee.

Ila nashauri wewe na wote mlio vijana au wenye umri wa kati sasa mtambue kwamba ninyi ni wazee watarajiwa - hivyo mufanye maandalizi sasa ili huko mbele muweze kujikimu vema pasipo kuhitaji mtetezi.
 
Back
Top Bottom