thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Baada ya kifo cha hayati Magufuli hayati Membe mara kwa mara aliibuka na kauli kali sana za kumsimanga hayati Magufuli,
Na kwa kufanya hivyo alipigiwa simu za pongezi sana na wapambe wake kupongezwa,na ifahamike kwa umri wake na maadili ya dini yoyote ile yanakataza tabia hiyo.
Swali langu ni wazee gani hao waliolitumikia taifa hili kwa uaminifu mkubwa sana na walitukanwa na hayati Magufuli kupitia Musiba?
Mwenye list ya hao wazee waliolitumikia taifa kwa uaminifu mkubwa anitajie ili tujiridhishe kupitia mjadala huu
Na kwa kufanya hivyo alipigiwa simu za pongezi sana na wapambe wake kupongezwa,na ifahamike kwa umri wake na maadili ya dini yoyote ile yanakataza tabia hiyo.
Swali langu ni wazee gani hao waliolitumikia taifa hili kwa uaminifu mkubwa sana na walitukanwa na hayati Magufuli kupitia Musiba?
Mwenye list ya hao wazee waliolitumikia taifa kwa uaminifu mkubwa anitajie ili tujiridhishe kupitia mjadala huu