Rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao?

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,415
Jiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.

Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.

Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?

Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.

Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??

Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
 
Jiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.

Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.

Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?

Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.

Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??

Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
Atajuta huyu Bi U....s...hungi
 
Jiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.

Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.

Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?

Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.

Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??

Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
Mpaka azime internet anamuogopa nani wakati Wapinzani wake wote mpaka sasa wapo hoi?
Labda tusubiri 2025 lakini kwa sasa Wapinzani wote wapo ndembendembe wamechoka
 
Msiojua kwa ujinga wenu msipopiga KURA mnawapa ahueni ccm kuliko mkipiga kwasababu nature haikubali vacuum kwahiyo ombwe litajazwa tu na kubalansi nature.
Kupiga kura ambayo haina impact yoyote kwenye matokeo, ni matumizi mabaya ya raslimali muda. Mtu mwenye muda wa kupoteza tu ndio ataenda kushiriki huo upuuzi.
 
Jiwe alifikiri akiua watu na akiwakataza kumkosoa halafu akawa anasema yeye tu basi watampenda. Ilipofika uchaguzi akaona hali yake kisiasa ni mbaya sana.

Akaanza kubwata bwata kama kichaa. Akawaambia wakurugenzi "marufuku kumtangaza mpinzani wakati ccm ndiyo inawalipeni mshahara". Hapa kwa kweli alikuwa amechanganyikiwa.

Pamoja na hivyo akawa bado na wasiwasi. Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa akawakusanya watendaji wa kata nchi nzima akaongea nao. Sijui aliwaambia nn?

Uchaguzi mkuu Sasa akazima internet baada ya kuona kila mahala kapata kura kiduchu na kura feki za kumnusuru zinazosambazwa na vijana wake zinarekodiwa kwa simu na kurushwa mitandaoni.

Sasa ni zamu yake rais Samia. Muda umefika wa yeye kujua rangi halisi za watanzania. Hivi kweli atatoboa huyu mama??

Wananchi wakikumbushwa kuhusu:-
1. Tozo.
2. Dp World.
3. Mgawo wa umeme.
4. Kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro.
5. Kufukuzwa kwa wamasai wa Loliondo.
6. Rushwa na upigaji serikalini.
7. Kukopa mikopo kuliko kithiri.
8. N.k
Hivi kweli rais Samia hatazima internet kwenye uchaguzi ujao??
Akiwa wa habari ni wahabari miezi 3 kabla na tatu baada zalima viumane😎
 
Back
Top Bottom