Wakati umma wa Watanzania ukiendelea kushuhudia huduma mbovu za kijamii kama ukosefu wa madawa hospitalini, miundombinu mibovu ya barabara, huduma mbovu za maji e.t.c, Samia ameendelea kuhonga pesa za umma kama njugu kwa chawa wake na awamu hii ametanua mipaka mpaka Kenya.
Tanzania imepatwa na zimwi kwakweli. Tuendelee kumuomba sana Mungu.
Tanzania imepatwa na zimwi kwakweli. Tuendelee kumuomba sana Mungu.