Rais Samia awasili nchini Zambia kwa ziara ya kitaifa ya siku tatu

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan amewasili Nchini Zambia kwa Ziara ya Kitaifa ya Siku tatu kuanzia leo tarehe 23-25 October 2023 kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Hakainde Hichilema.

Katika Ziara hiyo Rais Samia atashiriki Matukio mbalimbali ikiwemo Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 59 ya Uhuru wa Zambia,ufunguzi wa Kongamano la Biashara kati ya wafanyabishara wa Tanzania na Zambia.

Aidha Rais Samia amepewa heshima ya kuhutubia Bunge la Jamhuri ya Zambia tarehe 25 Oktoba, 2023 na anakuwa kiongozi mashuhuri wa wanne kuhutubia Bunge hilo.

Ziara hiyo inalenga Kuimarisha mahusiano baina ya mataifa haya Mawili.


WhatsApp Image 2023-10-23 at 20.08.23.jpeg
WhatsApp Image 2023-10-23 at 20.08.22.jpeg

WhatsApp Image 2023-10-23 at 20.08.27.jpeg

WhatsApp Image 2023-10-23 at 20.08.29.jpeg
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan amewasili Nchini Zambia kwa Ziara ya Kitaifa ya Siku tatu kuanzia leo tarehe 23-25 October 2023 kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Zambia Hakainde Hichilema.

Katika Ziara hiyo Rais Samia atashiriki Matukio mbalimbali ikiwemo Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 59 ya Uhuru wa Zambia,ufunguzi wa Kongamano la Biashara kati ya wafanyabishara wa Tanzania na Zambia.

Aidha Rais Samia amepewa heshima ya kuhutubia Bunge la Jamhuri ya Zambia tarehe 25 Oktoba, 2023 na anakuwa kiongozi mashuhuri wa wanne kuhutubia Bunge hilo.

Ziara hiyo inalenga Kuimarisha mahusiano baina ya mataifa haya Mawili.
IMG-20231023-WA0024.jpg
IMG-20231023-WA0025.jpg
IMG-20231023-WA0023.jpg
IMG-20231023-WA0022.jpg
IMG-20231023-WA0021.jpg
IMG-20231023-WA0020.jpg
IMG-20231023-WA0019.jpg
IMG-20231023-WA0018.jpg
20231023_202025.jpg
 
Tofauti ya Wazambia na Wabongo nuksi ni kubwa sana.

Wazambia walipopata fursa tu wakakifukuza Chama cha UNIP Wabongo nuksi wamekalia Uchawa.
 
Rekodi gani, ya kuzurura, upigaji, ufisadi, udugunization au uhovyo?

Mkuu inategemea wewe umeelewa anamzungumzia JK yupi? Jomo Kenyatta, John Kennedy, Julius Kambarage, Jakaya Kikwete, Junichiro Koizumi, Juscelino Kubitschek?
 
Mkuu inategemea wewe umeelewa anamzungumzia JK yupi? Jomo Kenyatta, John Kennedy, Julius Kambarage, Jakaya Kikwete, Junichiro Koizumi, Juscelino Kubitschek?
Kwani hao wote uliowataja wako wapi tumia akili lau kidogo mwanangu. Hao wengine unaowataja hawana rekodi chafu kama Jakaya Kikwete mosi, pia, hawakuwa marais wa Tanzania ukiondoa Nyerere ambaye anajulikana kwa usafi wake. Tafuta sababu nyingine ya kuhoji
 
Back
Top Bottom