benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
PICHA: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan akiagwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kenneth Kaunda Nchini Zambia na Rais wa Nchi hiyo Mhe, Hakainde Hichilema mara baada ya kuhitimisha Ziara ya Siku tatu ya kimataifa Nchini humo.