mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,867
- 8,281
Halafu wakipewa kazi wanafika kazini saa tano mchana na ijumaa wanafunga ofisiHalafu cha ajabu, ikitangazwa kazi inayohusu mambo yasiyo ya muungano, bado wazenji wanaapply na hawawekwi pembeni sababu ya uzanzibar wao, Wanakuwa treated sawa na vijana wa Tanganyika.
Wapo watendaji wa serikali za Mitaa huku bara ni Wazanzibar, japo TAMISEMI siyo jambo la muungano!