nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,609
- 4,097
Jamaaa aliharibu sana nchi yetuMagufuli alichukua Wasukuma wenzake na kuwajaza kila sehemu, sasa ni zamu ya Wazenji kujazwa kila mahali
Jamaaa aliharibu sana nchi yetuMagufuli alichukua Wasukuma wenzake na kuwajaza kila sehemu, sasa ni zamu ya Wazenji kujazwa kila mahali
Mimi nachotaka tuu, ni wazanzibar wanieleze hii tabia ya kulana ma.vi walitolea wapi?View attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begins at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika huko Zanzibar unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kushika nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa kiongozi wa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli?
Watalii wameharibu sana vijana wa kizanzibariMimi nachotaka tuu, ni wazanzibar wanieleze hii tabia ya kulana ma.vi walitolea wapi?
Jambo hili niliwahi kulihoji , Mzanzibari rukhusa kuwa Rais kwa kivuli cha muungano. Mtanganyika hata huo uwakilishi huruhusiwi, leo Mzanzibari ni waziri wa ujenzi, wizara isiyo ya Muungano. Huu ubaguzi haukubaliki. Watanganyika tukatae kwa kusema hapana, kama kuna kadiri mbaya kabisa ni hii wa upande mmoja ni halali kwa pande zote lakini wa upande wa pili si halali kwa upande mmoja. Hii ni dhambi ya ubaguzi. Meli Nyerere alifanya makosa makubwa ambayo hatutakiwi kuyaishi. Iitishwe kura ya.maoni kwa watanganyika ili kujua maoni yao kuhusu aina hii ya muungano baka! Nasema baka nikimaanisha watanganyika tunabakwa haki zetu.View attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begins at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika huko Zanzibar unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kushika nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa kiongozi wa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli?
Mazuuzu wanamuona NI mtu was maanaJamaaa aliharibu sana nchi yetu
Mkuu tatizo hujui hesabu,ukichukua 1.5/7.Kwa hii ratio, wanzanzibari hawatakuwa na tatizo la ajira kamwe. Nadhani viongozi wetu hawajui hesabu. Ili haki itendeke walitakiwa waangalie population ya Wazanzibari against Watanganyika. Hiyo population ndio ingekuwa determinat factor ya kujua asilimia kiasi gani ya ajira iende visiwani na asilimia ngapi ibaki bara. Hii ya kusema tu 21% iende Zanzibar ni baseless, useless and groundless. It is purely thumbsuck.
Ni lazima wa zenj wapewe upendeleo maalumu maana nyie ndio mnawalazimisha Muungano wenyewe.View attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begins at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika huko Zanzibar unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kushika nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa kiongozi wa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli?
Kwani 1,500,000/75,000,000*100%= 21Hata Mimi nawashangaa Watanganyika wenzangu.
Hii asilimia 21 iliwekwa na awamu ya 4. Awamu ya 5 wakagoma kuitekeleza.
Huyu hangaya wanamuonea bure tu.
Ndugu yangu wewe si mfuatiliaji wa Mambo.
Hoja 11 zinazoelezea kero za Muungano wa Tanzania – DW – 24.08.2021
Hoja 11 kuhusu kero za Muungano zimepatiwa ufumbuzi katika kikao cha pamoja kati ya mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar cha kutatua kero za Muungano.www.dw.com
upuuzi huu uliafikiwa kwenye kikao hicho hapo juu wa maelekezo ya mama maushungi na wala sio kipindi cha awamu ya 5
fuatilia yaliyoafikiwi kwenye hicho kikao kuna maupuuzi mengi sana ya kuwapendelea wanzazibar ndio maana hata yaliyojiri yalifichwa .
moja wapo ya maafikiano ya kikao hicho ni huu upuuzi,wa ajira ila yapo mengi sana,
jafoo na mr planning ni watu wapuuzi sana
Hayo ni matokeo yenye utata ya muungano wa vitu viwili wenye kuleta vitu viwili badala ya kimoja. Hili si jambo la kawaida.View attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begins at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika huko Zanzibar unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kushika nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa kiongozi wa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli?
nimutumia link nyingine hapo chini isome ulewe vizuri ,haya ni mambo ya huyu maushungiNdugu yangu wewe si mfuatiliaji wa Mambo.
Hilo suala liliafikiwa kipindi kile kile walipoafikiana mafuta yatolewe kwenye Muungano.
Hiyo link sijaweza kuifungua lakini naamini hayo ni maamuzi tu ya utekelezaji wa walicho kubaliana wakati huo.
wacha wapate tu hizi ajira, pengine kuna siku watakuja kujua kuwa hatuwachukii. shita itakuwa elimu, elimu yao ipo chini sana, hata wenye degree uelewa wao mdogo mno na wana mambo ya polepole utafikiri bado wapo zanzibar. yaani ule ustaadhi na unyenyekevu wa zenji na kujali dini kuliko hata kazi huwa wanauleta hadi kazini, kumbe pale kazini sio wote wa dini yako ukienda polepole watu watakuzidi uwezo na kukunyang'anya cheo muda si mrefu.View attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begins at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika huko Zanzibar unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kushika nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa kiongozi wa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli?
Kama ndio hivyo ajira zitolewe kulingana na watu wa mikoa husika.sio mikoa fulani wamejaa watu serikalini hilo pia ni tatizo sio muungano tuView attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begins at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika huko Zanzibar unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kushika nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa kiongozi wa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli?
unataka tugawane mbao? tukigawana wewe hauta pata kitu kwasababu ......... everything you have in your minds ni theory to kwamba eti sijui tunawadai bara kwasababu ye pesa nyingi sana ambazo zingeingia kama immigration ingekuwa yetu, sijui takataka gani etc, hamna ubao mtapata tukigawana kwasababu hamna chochote mnachangia, zaidi sana mtatulipa umeme wetu....hahaha. miongoni mwa watu milioni 60 wa Tanzania, milioni 2 tu ndio ninyi, ukiweka ratio mna nini hapo, labda mtaokota misumari .Sasa kama hamutaki wazanzibar wapewe hizo nafasi bora tugawane mbao mutuachie zanzibar yetu mubaki na Tanganyika yenu sio museme mutaulinda mungano mpaka toni la mwisho la damu tena kwa mtutu wa bunduki
Mtoa mada acha upumbavu wa kutokufuatilia mambo .zanzibar inanyonywa kwa muda mrefu sana ww umeona ajira za uhamiaji tu nyuma ya pazia mambo ni mazitoView attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begins at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika huko Zanzibar unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kushika nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa kiongozi wa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli?
Watanganyika si mazombi tu, kelele nyiiingi vitendo sifuriInauma sana hata mikopo ya chuo wazanzibari wao ni 100% sijui tunafail wapi watanganyika
Amueni mnacho amua msitushughulisheeeView attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begins at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika huko Zanzibar unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kushika nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa kiongozi wa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli?