kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 118
- 237
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imempitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa mwaka 2022 hadi 2027 na jina lake litapelekwa kwenye Mkutano Mkuu December 07 kwa ajili ya kupigiwa kura.
Katika mkutano huo pia umeridhia Makamu Mwenyekiti anayemaliza muda wake Ndugu Abdulrahman Kinana kugombea tena miaka 5.
Katika mkutano huo pia umeridhia Makamu Mwenyekiti anayemaliza muda wake Ndugu Abdulrahman Kinana kugombea tena miaka 5.