Rais Samia Ateuliwa Kuwa Bingwa Wa Afya ya Mama na Mtoto Barani Afrika

Rais Samia Ateuliwa Kuwa Bingwa Wa Afya ya Mama na Mtoto Barani Afrika

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
36,357
Reaction score
23,760
Ndugu zangu Watanzania,

Usishindane na aliyebarikiwa na Mungu, huwezi kumshusha aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu,Huwezi Kumpaka matope na kumchafua aliyepewa kibali na Mungu . Rais Samia kwa hakika ni chaguo la Mungu,ni Mpango wa Mungu. Alizaliwa kwa makusudi maalumu katika Ardhi hii.. ni Rais wetu Tangia akiwa tumboni Mwa Mama yake katika ulimwengu wa kiroho..

Sijapata kuona Rais mwenye kukubalika ,kupendwa ,kuheshimika ,kuaminika na kuungwa mkono kama Rais Wetu Mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Kila palipo na uwepo wake ni furaha , tabasamu kwa watu wote.

Sasa katika muendelezo wa kuonyesha kukubalika kwake na ushawishi mkubwa alionao kwa watu na kwa viongozi wenzake ameweza kuteuliwa kama Bingwa wa Afya ya Mama na mtoto. Hii ni baada ya kutambua na kuona namna alivyofanya kazi kubwa ya kupunguza kwa kiasi kikubwa vifo vya Mama na mtoto.

Hii ni baada ya kufanya uwekezaji mkubwa sana katika sekta ya afya . Kwa kujenga vituo vya afya kwa wingi ,kuajiri watumishi wa afya ,kusambaza madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali nchini kote ili kuwafikia wagonjwa wote ambao hawana uwezo wa kusafiri kwenda hospitali.

Ndio Maana sasa Dunia na Afrika kwa ujumla wake inarudisha pongezi kwa Mama yetu na kumpa heshima hiyo ili asaidie bara zima la Afrika kumaliza ama kupunguza vifo vya Mama na Mtoto. Rais wetu Mpendwa anafanya kazi kubwa ya kuhakisha kuwa kila mtoto anayezaliwa anakua katika afya njema mpaka uzee wake.

Lakini pia anafanya kazi ya kuhakikisha ya kuwa akina mama wajawazito wanajifungulia mahospitali na kupata huduma bora kabisa na stahiki kwa ufanisi na uangalizi wa karibu wa wahudumu wa afya.

Niseme tu kuwa kama una chuki binafsi na Huyu Rais wetu Mpendwa unakuwa unajisumbua tu na kujitafutia magonjwa ya moyo ,kisukari ,presha na msongo wa mawazo. Maana Mama ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Screenshot_20251218-210002_1.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Usishindane na aliyebarikiwa na Mungu, huwezi kumshusha aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu,Huwezi Kumpaka matope na kumchafua aliyepewa kibali na Mungu . Rais Samia kwa hakika ni chaguo la Mungu,ni Mpango wa Mungu. Alizaliwa kwa makusudi maalumu katika Ardhi hii.. ni Rais wetu Tangia akiwa tumboni Mwa Mama yake katika ulimwengu wa kiroho..

Sijapata kuona Rais mwenye kukubalika ,kupendwa ,kuheshimika ,kuaminika na kuungwa mkono kama Rais Wetu Mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Kila palipo na uwepo wake ni furaha , tabasamu kwa watu wote.

Sasa katika muendelezo wa kuonyesha kukubalika kwake na ushawishi mkubwa alionao kwa watu na kwa viongozi wenzake ameweza kuteuliwa kama Bingwa wa Afya ya Mama na mtoto. Hii ni baada ya kutambua na kuona namna alivyofanya kazi kubwa ya kupunguza kwa kiasi kikubwa vifo vya Mama na mtoto.

Hii ni baada ya kufanya uwekezaji mkubwa sana katika sekta ya afya . Kwa kujenga vituo vya afya kwa wingi ,kuajiri watumishi wa afya ,kusambaza madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali nchini kote ili kuwafikia wagonjwa wote ambao hawana uwezo wa kusafiri kwenda hospitali.

Ndio Maana sasa Dunia na Afrika kwa ujumla wake inarudisha pongezi kwa Mama yetu na kumpa heshima hiyo ili asaidie bara zima la Afrika kumaliza ama kupunguza vifo vya Mama na Mtoto. Rais wetu Mpendwa anafanya kazi kubwa ya kuhakisha kuwa kila mtoto anayezaliwa anakua katika afya njema mpaka uzee wake.

Lakini pia anafanya kazi ya kuhakikisha ya kuwa akina mama wajawazito wanajifungulia mahospitali na kupata huduma bora kabisa na stahiki kwa ufanisi na uangalizi wa karibu wa wahudumu wa afya.

Niseme tu kuwa kama una chuki binafsi na Huyu Rais wetu Mpendwa unakuwa unajisumbua tu na kujitafutia magonjwa ya moyo ,kisukari ,presha na msongo wa mawazo. Maana Mama ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3543894
Chocolate wewe
 
Nimemkumbuka yule mama aliyepigwa chuma ya mgongo halafu ikasemekana alikuwa ni mjamzito, sijui kwa nini ila ndio bingwa wenu
 

Watoto gani hao unaowazungumzia wewe kidampa au ni watoto wa Mchengerwa na Wanu?

Nyang'au limejaa damu za watoto , na hiki ndio watoto walifanyiwa kwa kupigwa risasi hadi kufa huku ndio ubingwa wake ulipo.
 
Unawajua walioko kwenye hicho kikao? Unajua kimefanyika lini na wapi?
1771111387756.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Usishindane na aliyebarikiwa na Mungu, huwezi kumshusha aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu,Huwezi Kumpaka matope na kumchafua aliyepewa kibali na Mungu . Rais Samia kwa hakika ni chaguo la Mungu,ni Mpango wa Mungu. Alizaliwa kwa makusudi maalumu katika Ardhi hii.. ni Rais wetu Tangia akiwa tumboni Mwa Mama yake katika ulimwengu wa kiroho..

Sijapata kuona Rais mwenye kukubalika ,kupendwa ,kuheshimika ,kuaminika na kuungwa mkono kama Rais Wetu Mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Kila palipo na uwepo wake ni furaha , tabasamu kwa watu wote.

Sasa katika muendelezo wa kuonyesha kukubalika kwake na ushawishi mkubwa alionao kwa watu na kwa viongozi wenzake ameweza kuteuliwa kama Bingwa wa Afya ya Mama na mtoto. Hii ni baada ya kutambua na kuona namna alivyofanya kazi kubwa ya kupunguza kwa kiasi kikubwa vifo vya Mama na mtoto.

Hii ni baada ya kufanya uwekezaji mkubwa sana katika sekta ya afya . Kwa kujenga vituo vya afya kwa wingi ,kuajiri watumishi wa afya ,kusambaza madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali nchini kote ili kuwafikia wagonjwa wote ambao hawana uwezo wa kusafiri kwenda hospitali.

Ndio Maana sasa Dunia na Afrika kwa ujumla wake inarudisha pongezi kwa Mama yetu na kumpa heshima hiyo ili asaidie bara zima la Afrika kumaliza ama kupunguza vifo vya Mama na Mtoto. Rais wetu Mpendwa anafanya kazi kubwa ya kuhakisha kuwa kila mtoto anayezaliwa anakua katika afya njema mpaka uzee wake.

Lakini pia anafanya kazi ya kuhakikisha ya kuwa akina mama wajawazito wanajifungulia mahospitali na kupata huduma bora kabisa na stahiki kwa ufanisi na uangalizi wa karibu wa wahudumu wa afya.

Niseme tu kuwa kama una chuki binafsi na Huyu Rais wetu Mpendwa unakuwa unajisumbua tu na kujitafutia magonjwa ya moyo ,kisukari ,presha na msongo wa mawazo. Maana Mama ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3543894
Kaka kazi yako ngumu sana....Mwambie Abdul akupangie kitengo kingine aiseee ..hii waachie ambao hawana familia au ambao akili zao kama za kina mwijako.
 
Huyo Mwashambwa au msameheni au mpuuzeni, ni mgonjwa wa akili huyu, asiyejitambua. Haitegemewi mgonjwa wa akili awe na faida yeyoye kwa yeyote, ni hasara ambayo haikutegemewa, zaidi kwa wazazi wake ambao walitarajia angekuwa mtu mwenye utimilifu wa akili, lakini bahati mbaya amekuwa hivyo!!

Kuhusu huyu muuaji, hata wahonge vipi, hata wampambe kwa tani ya maua, hawezi kusafishika, amechafuka kwa damu za maelfu ya watu aliowaua, atabakia hivyo mpaka siku anaingia kaburini. Amejiweka alama isiyofutika, ni alama ya shetani aishiye nyakati hizi, katika umbile la mwanadamu. Kwa kuwa hana uwezo wa kurudisha aliowaua, hawezi kutakasika mbele ya walimwengu. Na hata siku atakapoondoka katika Ulimwengu huu, umwagaji damu ndiyo tendo pekee walimwengu watalikumbuka.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Usishindane na aliyebarikiwa na Mungu, huwezi kumshusha aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu,Huwezi Kumpaka matope na kumchafua aliyepewa kibali na Mungu . Rais Samia kwa hakika ni chaguo la Mungu,ni Mpango wa Mungu. Alizaliwa kwa makusudi maalumu katika Ardhi hii.. ni Rais wetu Tangia akiwa tumboni Mwa Mama yake katika ulimwengu wa kiroho..

Sijapata kuona Rais mwenye kukubalika ,kupendwa ,kuheshimika ,kuaminika na kuungwa mkono kama Rais Wetu Mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Kila palipo na uwepo wake ni furaha , tabasamu kwa watu wote.

Sasa katika muendelezo wa kuonyesha kukubalika kwake na ushawishi mkubwa alionao kwa watu na kwa viongozi wenzake ameweza kuteuliwa kama Bingwa wa Afya ya Mama na mtoto. Hii ni baada ya kutambua na kuona namna alivyofanya kazi kubwa ya kupunguza kwa kiasi kikubwa vifo vya Mama na mtoto.

Hii ni baada ya kufanya uwekezaji mkubwa sana katika sekta ya afya . Kwa kujenga vituo vya afya kwa wingi ,kuajiri watumishi wa afya ,kusambaza madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali nchini kote ili kuwafikia wagonjwa wote ambao hawana uwezo wa kusafiri kwenda hospitali.

Ndio Maana sasa Dunia na Afrika kwa ujumla wake inarudisha pongezi kwa Mama yetu na kumpa heshima hiyo ili asaidie bara zima la Afrika kumaliza ama kupunguza vifo vya Mama na Mtoto. Rais wetu Mpendwa anafanya kazi kubwa ya kuhakisha kuwa kila mtoto anayezaliwa anakua katika afya njema mpaka uzee wake.

Lakini pia anafanya kazi ya kuhakikisha ya kuwa akina mama wajawazito wanajifungulia mahospitali na kupata huduma bora kabisa na stahiki kwa ufanisi na uangalizi wa karibu wa wahudumu wa afya.

Niseme tu kuwa kama una chuki binafsi na Huyu Rais wetu Mpendwa unakuwa unajisumbua tu na kujitafutia magonjwa ya moyo ,kisukari ,presha na msongo wa mawazo. Maana Mama ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3543894
Uhanithi mtupu
 
Huyo Mwashambwa au msameheni au mpuuzeni, ni mgonjwa wa akili huyu, asiyejitambua. Haitegemewi mgonjwa wa akili awe na faida yeyoye kwa yeyote, ni hasara ambayo haikutegemewa, zaidi kwa wazazi wake ambao walitarajia angekuwa mtu mwenye utimilifu wa akili, lakini bahati mbaya amekuwa hivyo!!

Kuhusu huyu muuaji, hata wahonge vipi, hata wampambe kwa tani ya maua, hawezi kusafishika, amechafuka kwa damu za maelfu ya watu aliowaua, atabakia hivyo mpaka siku anaingia kaburini. Amejiweka alama isiyofutika, ni alama ya shetani aishiye nyakati hizi, katika umbile la mwanadamu. Kwa kuwa hana uwezo wa kurudisha aliowaua, hawezi kutakasika mbele ya walimwengu. Na hata siku atakapoondoka katika Ulimwengu huu, umwagaji damu ndiyo tendo pekee walimwengu watalikumbuka.
Hujitambui kabisa wewe . Umejaa laana na nukusi tu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Usishindane na aliyebarikiwa na Mungu, huwezi kumshusha aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu,Huwezi Kumpaka matope na kumchafua aliyepewa kibali na Mungu . Rais Samia kwa hakika ni chaguo la Mungu,ni Mpango wa Mungu. Alizaliwa kwa makusudi maalumu katika Ardhi hii.. ni Rais wetu Tangia akiwa tumboni Mwa Mama yake katika ulimwengu wa kiroho..

Sijapata kuona Rais mwenye kukubalika ,kupendwa ,kuheshimika ,kuaminika na kuungwa mkono kama Rais Wetu Mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Kila palipo na uwepo wake ni furaha , tabasamu kwa watu wote.

Sasa katika muendelezo wa kuonyesha kukubalika kwake na ushawishi mkubwa alionao kwa watu na kwa viongozi wenzake ameweza kuteuliwa kama Bingwa wa Afya ya Mama na mtoto. Hii ni baada ya kutambua na kuona namna alivyofanya kazi kubwa ya kupunguza kwa kiasi kikubwa vifo vya Mama na mtoto.

Hii ni baada ya kufanya uwekezaji mkubwa sana katika sekta ya afya . Kwa kujenga vituo vya afya kwa wingi ,kuajiri watumishi wa afya ,kusambaza madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali nchini kote ili kuwafikia wagonjwa wote ambao hawana uwezo wa kusafiri kwenda hospitali.

Ndio Maana sasa Dunia na Afrika kwa ujumla wake inarudisha pongezi kwa Mama yetu na kumpa heshima hiyo ili asaidie bara zima la Afrika kumaliza ama kupunguza vifo vya Mama na Mtoto. Rais wetu Mpendwa anafanya kazi kubwa ya kuhakisha kuwa kila mtoto anayezaliwa anakua katika afya njema mpaka uzee wake.

Lakini pia anafanya kazi ya kuhakikisha ya kuwa akina mama wajawazito wanajifungulia mahospitali na kupata huduma bora kabisa na stahiki kwa ufanisi na uangalizi wa karibu wa wahudumu wa afya.

Niseme tu kuwa kama una chuki binafsi na Huyu Rais wetu Mpendwa unakuwa unajisumbua tu na kujitafutia magonjwa ya moyo ,kisukari ,presha na msongo wa mawazo. Maana Mama ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3543894
Amestahili sana sio Kwa bahati mbaya ,ameweka rekodi katika sekta ya Afya kuwahi tokea
 
Haya nenda kafiran na mama yako..
Dini yenu ndo inaruhusu nyinyi kufirana na mama zenu wazazi sisi haturuhusiwi Makafiri ndo wanawaingilia mama zao Surah (AN-NISAI 23) haya ni maneno ya Mwenyezi Mungu siyo yangu anasema

﴿حُرِّمَتْ عَلَيْكُمْ أُمَّهَاتُكُمْ وَبَنَاتُكُمْ وَأَخَوَاتُكُمْ وَعَمَّاتُكُمْ وَخَالَاتُكُمْ وَبَنَاتُ الْأَخِ وَبَنَاتُ الْأُخْتِ وَأُمَّهَاتُكُمُ اللَّاتِي أَرْضَعْنَكُمْ وَأَخَوَاتُكُم مِّنَ الرَّضَاعَةِ وَأُمَّهَاتُ نِسَائِكُمْ وَرَبَائِبُكُمُ اللَّاتِي فِي حُجُورِكُم مِّن نِّسَائِكُمُ اللَّاتِي دَخَلْتُم بِهِنَّ فَإِن لَّمْ تَكُونُوا دَخَلْتُم بِهِنَّ فَلَا جُنَاحَ عَلَيْكُمْ وَحَلَائِلُ أَبْنَائِكُمُ الَّذِينَ مِنْ أَصْلَابِكُمْ وَأَن تَجْمَعُوا بَيْنَ الْأُخْتَيْنِ إِلَّا مَا قَدْ سَلَفَ ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ غَفُورًا رَّحِيمًا
[ النساء: 23

Tafsiri

Mmeharimishiwa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia. Ikiwa hamkuwaingilia basi hapana lawama juu yenu. (Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.​

 
Back
Top Bottom