PostGE2025 Rais Samia atangaza Baraza la Mawaziri na Manaibu waziri

PostGE2025 Rais Samia atangaza Baraza la Mawaziri na Manaibu waziri

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Anaweza kutangaza yeye kama ni baraza kubwa au akampasia CS kama ni mabadiliko ingawa anaweza kuamua chochote apasie au atangaze yeye
Ok.Basi itakuwa anamalizia masahihisho kidogo.Maana walisema saa tisa.Hii saa tisa na ushee sasa. Ninaona anakuja.
 
Hapo wanatamani waondoe ukomo kabisa ili aendelee mpaka kifo kitakapomtenganisha na madaraka.
Cha msingi hapa ni wananchi tu kuwa na msimamo.

Kama wananchi tumekuwa tukiishi kwa hofu huku wao wakiwa salama na kuendelea kuponda raha.

Nadhani huu msimamo wetu wa kuonesha waziwazi kuwa wananchi zaidi ya 90% hatumpendi na tunashinikiza afunguliwe kesi ICC inamfanya naye akose amani.

Na hizi tetesi za kwamba watalii wanakimbia nchi, hii ni ushindi kwetu kwasababu nao wanaanza kuonja machungu.

Hata hii press yake ya leo najua itakuwa na lengo la kutaka kutu calm lakini nje na yeye kujiuzulu hatutakiwi kumuelewa wala kurudisha moyo nyuma.

Apitie machungu akiwa hapo hapo kwenye kiti cha mamlaka yenye kumpa raha yeyote ya kidunia anayoitaka, ila round hii raha atayoohitaji ni kutoka kwa wananchi na ndio silaha yetu kubwa kwenye hili.
 
Cha msingi hapa ni wananchi tu kuwa na msimamo.

Kama wananchi tumekuwa tukiishi kwa hofu huku wao wakiwa salama na kuendelea kuponda raha.

Nadhani huu msimamo wetu wa kuonesha waziwazi kuwa wananchi zaidi ya 90% hatumpendi na tunashinikiza afunguliwe kesi ICC inamfanya naye akose amani.

Na hizi tetesi za kwamba watalii wanakimbia nchi, hii ni ushindi kwetu kwasababu nao wanaanza kuonja machungu.

Hata hii press yake ya leo najua itakuwa na lengo la kutaka kutu calm lakini nje na yeye kujiuzulu hatutakiwi kumuelewa wala kurudisha moyo nyuma.

Apitie machungu akiwa hapo hapo kwenye kiti cha mamlaka yenye kumpa raha yeyote ya kidunia anayoitaka, ila round hii raha atayoohitaji ni kutoka kwa wananchi na ndio silaha yetu kubwa kwenye hili.
She will never know peace. Asisahau na yeye huenda kunya kama sisi tu.So na yeye ni Binadamu na kamwe hatapata amani kwa mauaji aliyoyafanya.
 
Katiba mpya ya kwao
Mwanzo ilikuwa ikionekana Katiba mpya ndio kiu ya watanzania kuweza kuwatuliza.

Ila sasa mambo yame change.

Hata akisema antoa katiba mpya leo bado haitafanya watu waondoe vinyongo vyao.

Roho za watu zilizopotezwa haziwezi kuwa fixed kwa Katiba mpya ambayo hata yeye aliwahi kusema ni kijitabu tu.
 
Back
Top Bottom