Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,742
- 29,137
Na ndio hao hao waliombambikizia Braza Mbowe kesiAlishauriwa mapema awateme wateule wa Magu yeye kaamua kuwa kumbatia. Acha wamhujumu. Huku wezi, kule kumchafua kwa kesi za kubumba. Hadi akome. Siro hakustahili kuwepo ofisi ya umma leo... Alistahili kuwepo magereza.