Huu si upotevu wa fedha - Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kuweka tangazo DSTV

tutafikatu

JF-Expert Member
Dec 17, 2011
3,244
4,469
Kama Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inadai tumeshindwa kuendesha bandari, na hivyo DP World wanapewa waendeshe, kuna umuhimu gani wa TPA kuwa na tangazo DSTV, wakati hawana ufanisi na wanakwenda kuwaachia waarabu waendeshe?

Naona tangazo lake likiunguruma Dstv channel 223.
 
Kama Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inadai tumeshindwa kuendesha bandari, na hivyo DP World wanapewa waendeshe, kuna umuhimu gani wa TPA kuwa na tangazo DSTV, wakati hawana ufanisi na wanakwenda kuwaachia waarabu waendeshe?

Naona tangazo lake likiunguruma Dstv channel 223.
DPworld hawapewi bandari yote ni sehemu tu au 8% ya bandari yote. Kwa hiyo TPA bado wapo wapo sana.; na kwa hivyo, kwa wao, kujitangaza ni muhimu
 
DPworld hawapewi bandari yote ni sehemu tu au 8% ya bandari yote. Kwa hiyo TPA bado wapo wapo sana.; na kwa hivyo, kwa wao, kujitangaza ni muhimu
Subiri. Ukiwa kaburini ukiona watu wanacheza juu yako ujue wanakuuliza baba vipi ulifanayaje. Hapa ulipo wanapataka tukuhamishie wapi?
 
A
Subiri. Ukiwa kaburini ukiona watu wanacheza juu yako ujue wanakuuliza baba vipi ulifanayaje. Hapa ulipo wanapataka tukuhamishie wapi?
Aaa wapi, waniulize watanipata wapi. mimi nitakuwa zangu kwa Mungu nakula mema ya mbinguni
 
a7bd78d4e69a77100a07b9946c0433e0.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom