Rais Samia anasifiwa kupita kiasi

Rais Samia anasifiwa kupita kiasi

mnyonge mnyongeni haki yake mpeni [emoji205]

ili kutofatisha na wengine, rais comrade Dr SSH anapiga kazi na for sure ana mipango na ana malengo na waTanzania,

ukweli usemwe,
kiuchumi Dr.SSH yupo mstari wa mbele kabisa kuupaisha,
kisiasa Dr SSH yupo mstari wa mbele sana kuimarisha demokrasia,

kijamii Dr.SS yupo mstari wa mwanzo kabisa kuhakikisha miundombinu na huduma za jamii zinawafikia waTz wote kwa uhakika na zinawatisheleza [emoji205]

anaachaje kusifiwa kila uchwao [emoji205]

na vip wale wa mihemko na malalamiko kwa kila lililo jema kwao baya [emoji205]

Unafiki unaoendana na ujinga ni tatizo kubwa sana. Yanayoendelea ni mambo ya kawaida sana.

Lakini wanafiki wanataka kuwahadaa wananchi ili kikifanyika kitu cha kawaida sana, waone kama ni muujiza. Hivi kuna serikali duniani isiyojihusisha na ujenzi wa miundombinu mbalimbali?
 
Isaya 42:8,

Mimi ni BWANA,

Utukufu wangu sitampa mwingine,

Wala sitawapa sanamu sifa ZANGU.
 
Kila siku utasikia,"Rais kajenga barabara hapa:Rais katujengea zahanati."
Watu wanamwabudu Rais,na yeye hafanyi kitu chochote kuwazuia. Haya ndiyo mambo yanayomchukiza Mungu.

Kwa ajili Uchaguzi Mkuu unakaribia,acha watu wanisifie zaidi na zaidi.

Magufuli hakuwa anasifiwa namna hii; ingawa watu walikuwa wanasema huyu mtu kaongoza nchi siku kidogo tu,lakini nchi yetu imepata maendeleo kama Ulaya.

Marekani utasikia mara moja moja wanasema,"The Biden Education Programme,au The Biden Housing Project,lakini hii ni kwa sababu Kuna strong Opposition Party,na wanataka kutofautisha mambo.

Kikwete mara moja tu walikuwa wanaongea kuhusu " mamilioni ya Kikwete". Lakini kila siku tunasikia kuhusu " mamilioni ya Samia".

Hata ukimpa mtoto mdogo peremende,lazima uhakikishe kwamba yule mtoto anamsifu Mungu.

Kwa hiyo wajihadhari hawa watu wote wanaotaka kuitwa "superstar"
NDIO SERA ZA CCM MAGUFULI WALIDIRIKI KUSEMA AMEFANYA MAMBO MAKUBWA KUMZIDI YESU na MUNGU HAKUMCHELEWESHA
 
Unafiki unaoendana na ujinga ni tatizo kubwa sana. Yanayoendelea ni mambo ya kawaida sana.

Lakini wanafiki wanataka kuwahadaa wananchi ili kikifanyika kitu cha kawaida sana, waone kama ni muujiza. Hivi kuna serikali duniani isiyojihusisha na ujenzi wa miundombinu mbalimbali?
sio inajihusisha na ujenzi wa miundombinu mbalimbali kama vile ya afya, elimu, maji na mengineyo,
bali pia inawajengea uwezo na mazingira bora zaidi makundi mbalimbali mathalani wafanyibiashara, wakulima, wavuvi n.k ili wafanye shughuli zao si tu kwa ufanisi zaidi bali pia kwa uhakika na ubora tajika....

watu wa miujiza ni nyinyi mnao jipa matumaini na kujifarij kila uchwao eti mnaweze take over dhidi ya utawala uliopo 😀

my friend,
hakuna muujiza...
unayoyona ya kawaida ndio mipango yenyewe hiyo....

si hua mnashangaa hata wanachama wa ccm kugalagala kwa mahaba ya chama chao, viongozi waandamizi kula kwa mama nitilie, au kupiga magoti ni ushamba au maigizo😀

mipango ya ushindi huanzia mbali nyie mkiwa mnapiga myayo tu na maandamano uchwara....
 
Kila siku utasikia,"Rais kajenga barabara hapa:Rais katujengea zahanati."
Watu wanamwabudu Rais,na yeye hafanyi kitu chochote kuwazuia. Haya ndiyo mambo yanayomchukiza Mungu.

Kwa ajili Uchaguzi Mkuu unakaribia,acha watu wanisifie zaidi na zaidi.

Magufuli hakuwa anasifiwa namna hii; ingawa watu walikuwa wanasema huyu mtu kaongoza nchi siku kidogo tu,lakini nchi yetu imepata maendeleo kama Ulaya.

Marekani utasikia mara moja moja wanasema,"The Biden Education Programme,au The Biden Housing Project,lakini hii ni kwa sababu Kuna strong Opposition Party,na wanataka kutofautisha mambo.

Kikwete mara moja tu walikuwa wanaongea kuhusu " mamilioni ya Kikwete". Lakini kila siku tunasikia kuhusu " mamilioni ya Samia".

Hata ukimpa mtoto mdogo peremende,lazima uhakikishe kwamba yule mtoto anamsifu Mungu.

Kwa hiyo wajihadhari hawa watu wote wanaotaka kuitwa "superstar"
Ukiona watu wanakupigia makofi makubwa wakati unabwabwaja jukwaani ujue wameamua tu kuuwa soo, maliza speech mara moja ondoka usijeaibika zaidi.
 
Kila siku utasikia,"Rais kajenga barabara hapa:Rais katujengea zahanati."
Watu wanamwabudu Rais,na yeye hafanyi kitu chochote kuwazuia. Haya ndiyo mambo yanayomchukiza Mungu.

Kwa ajili Uchaguzi Mkuu unakaribia,acha watu wanisifie zaidi na zaidi.

Magufuli hakuwa anasifiwa namna hii; ingawa watu walikuwa wanasema huyu mtu kaongoza nchi siku kidogo tu,lakini nchi yetu imepata maendeleo kama Ulaya.

Marekani utasikia mara moja moja wanasema,"The Biden Education Programme,au The Biden Housing Project,lakini hii ni kwa sababu Kuna strong Opposition Party,na wanataka kutofautisha mambo.

Kikwete mara moja tu walikuwa wanaongea kuhusu " mamilioni ya Kikwete". Lakini kila siku tunasikia kuhusu " mamilioni ya Samia".

Hata ukimpa mtoto mdogo peremende,lazima uhakikishe kwamba yule mtoto anamsifu Mungu.

Kwa hiyo wajihadhari hawa watu wote wanaotaka kuitwa "superstar"
Mkuu hajamfikia Mwendazake! Hata robo ya mwendazake haijafika!

Mwendazake mwenyewe ilijipachika unyapala wa malaika!

Wengine sasa, wakadiriki kumuita Mungu! Umesahau mara hii???

Umesahau sifa za Musiba??!
 
Huu utoaji wa sifa zilizopitiliza kwa mkulu badala kutoa pongezi za kawaida kwa utekelezaji mzuri wa majukumu yake ya kikatiba, zilianza kitollewa wakati wa utawala wa JPM. Yaani kila jambo lililofanywa na serikali lilikuzwa na kupambwa mno, ili liwe na "personal attribution" kwake.

Sifa, heshima, mamlaka, na utukufu wote alipewa yeye tu, kwa kile kilochooneka kuwa ni fadhila anazozitoa kwa wale wanaonekana kupendezwa naye ama kupata kibali mbele ya macho yake. Katika siku hizo, ole wao ulikuwa kwa wapinzani wa maono yake! Walikiona cha mtema kuni!

Pale madhaifu ya serikali ama taasisi ya urais yanapotokea, rais anakingiwa kifua, wanaolaumiwa ni wasaidizi wake wa karibu kuwa ndiyo wamemshauri vibaya. Wana CCM wanajitoa ufahamu kuwa maamuzi ya Baraza la Mawaziri huendeshwa kwa uwajibikaji wa pamoja.

Katika siku za uhai wake, Mzee Mkapa aliwahi kukemea sifa kama hizi zinazotolewa kwa rais kwa njia unafiki ama kujipendekeza. Aliwaasa kuwa ni vyema wana CCM, hasa mawaziri wanapoongelea juhudi kubwa inayofanywa na serikali ili kuwaletea wananchi maendeleo kupitia kodi zao, basi wapeleke pongezi zao kwa serikali inayoundwa na chama tawala chini ya uongozi wa rais aliyepo madarakani.
🆒🔊💐👌🤝🗼
 
Kila siku utasikia,"Rais kajenga barabara hapa:Rais katujengea zahanati."
Watu wanamwabudu Rais,na yeye hafanyi kitu chochote kuwazuia. Haya ndiyo mambo yanayomchukiza Mungu.

Kwa ajili Uchaguzi Mkuu unakaribia,acha watu wanisifie zaidi na zaidi.

Magufuli hakuwa anasifiwa namna hii; ingawa watu walikuwa wanasema huyu mtu kaongoza nchi siku kidogo tu,lakini nchi yetu imepata maendeleo kama Ulaya.

Marekani utasikia mara moja moja wanasema,"The Biden Education Programme,au The Biden Housing Project,lakini hii ni kwa sababu Kuna strong Opposition Party,na wanataka kutofautisha mambo.

Kikwete mara moja tu walikuwa wanaongea kuhusu " mamilioni ya Kikwete". Lakini kila siku tunasikia kuhusu " mamilioni ya Samia".

Hata ukimpa mtoto mdogo peremende,lazima uhakikishe kwamba yule mtoto anamsifu Mungu.

Kwa hiyo wajihadhari hawa watu wote wanaotaka kuitwa "superstar"
Acha wivu Mzee usio na msingi.Unaposema Kupita kiasi unamaanisha nini?
 
Niwakumbushe kitu tu kwamba chimbuko la praise team.

Sote tuliohai tunatambua kwamba siku zote serikali inawajibika kwa raia wake na inaeleweka vyema kupitia chama tawala kwa awamu ya kwanza hadi ya 3 serikali ilikuwa imara ila ilipofika awamu ya 4 mambo yalibadilika kwa namna flani ikawa viongozi wamefocus zaidi kwenye matumbo yao kuliko mahitaji ya raia ikafikia stage kila mdau ni mpiga dili au dalali wa kuuza rasilimali zetu kwa wageni kujilimbikizia utajiri tu. Haki za wanyonge kuporwa na wenye mali zikakithiri. Kiufupi taswira ya chama ikachafuka sana na hakuna mtu alikuwa anataka kuisikia CCM so ilibidi waje na masterplan mpya.

Katika kikili kakara ndio akapitakana Magufuli maana ndie angalau alikuwa na haiba ya kukubalika na raia. Kwa kua watu walikuwa na chuki sana na chama ndipo Magu akaamua kujiposition yeye kama yeye ili kuleta relevance kwa chama. Ndio mfumo wa praise team ulianzia hapo. Lengo lilikuwa kuleta relevance ya uongozi wa CCM ili raia nyongo ziwapungue maana walikuwa washaichoka mno na ilibaki nukta tu waipe chadema nchi.

Magu alikubalika na kuirudisha CCM kwenye chart baada ya kuamua kutawala kinyume na awamu ya 4 kabisa kutokana na mfumo wake wa ku favour wananchi zaidi kuliko wanasiasa na matajiri. So wengi walimsifia sana na alikuwa akijinadi yeye kama kiongozi mkuu wa serikali.
Mkuu;

Kwenye hoja yako umechanganya mambo mengi ambayo kiuhalisia sivyo yalivyo.

Ukisoma katikati ya mistari ya hoja hii, unaona mtoa hoja anaakisi uhalisia wa hisia na tabia ya watanzania wengi wenye uelewa mdogo wa siasa, walio shiba ujamaa uchwara, wenye chuki dhidi ya matajiri na wenye kufurahia maumivu ya wengine!

Magufuli alikuwa muumini kindakindaki wa kundi hili, alikuwa ni miongoni mwa kundi hili, alikuwa yeye ndiye habari, na habari ndio yeye! Yaani alipenda sifa! Alipenda asifiwe hasa!

Mwendazake alibana vyombo vya habari mpaka mazungumzo ya kawaida ya watu vijiweni. Kuna vyombo vingi vya hahari vilifungiwa.

Huyu max Melo wa JF hii ni shahidi na kuna watu wengi vijiweni walifunguliwa mashtaka na kufungwa jela kwa kumkosoa Mwendazake tu!

Kipindi cha Jakaya na cha sasa cha Samia, vyombo vya habari vipo huru na watu wapo huru.

Mtoa hoja nashindwa kutofautisha sifa zinazotolewa watu walio huru na sifa zinazotolewa na watu waliokandamizwa!
 
Jiwe alitoa teuzi nyingi kwa kupenda sifa sasa wanasiasa wamekuja na hiyo mbinu kwa mama ukitaka ugali msifie msagaji...na kweli imefaa
 
Kila siku utasikia,"Rais kajenga barabara hapa:Rais katujengea zahanati."
Watu wanamwabudu Rais,na yeye hafanyi kitu chochote kuwazuia. Haya ndiyo mambo yanayomchukiza Mungu.

Kwa ajili Uchaguzi Mkuu unakaribia,acha watu wanisifie zaidi na zaidi.

Magufuli hakuwa anasifiwa namna hii; ingawa watu walikuwa wanasema huyu mtu kaongoza nchi siku kidogo tu,lakini nchi yetu imepata maendeleo kama Ulaya.

Marekani utasikia mara moja moja wanasema,"The Biden Education Programme,au The Biden Housing Project,lakini hii ni kwa sababu Kuna strong Opposition Party,na wanataka kutofautisha mambo.

Kikwete mara moja tu walikuwa wanaongea kuhusu " mamilioni ya Kikwete". Lakini kila siku tunasikia kuhusu " mamilioni ya Samia".

Hata ukimpa mtoto mdogo peremende,lazima uhakikishe kwamba yule mtoto anamsifu Mungu.

Kwa hiyo wajihadhari hawa watu wote wanaotaka kuitwa "superstar"
Unanikumbusha Kangi Lugola alimwita Magufuli ni Yesu, nani kama Magufuli
 
[emoji27][emoji27]Kama wanalipwa ACHA wampe sifa[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Kila siku utasikia,"Rais kajenga barabara hapa:Rais katujengea zahanati."
Watu wanamwabudu Rais,na yeye hafanyi kitu chochote kuwazuia. Haya ndiyo mambo yanayomchukiza Mungu.

Kwa ajili Uchaguzi Mkuu unakaribia,acha watu wanisifie zaidi na zaidi.

Magufuli hakuwa anasifiwa namna hii; ingawa watu walikuwa wanasema huyu mtu kaongoza nchi siku kidogo tu,lakini nchi yetu imepata maendeleo kama Ulaya.

Marekani utasikia mara moja moja wanasema,"The Biden Education Programme,au The Biden Housing Project,lakini hii ni kwa sababu Kuna strong Opposition Party,na wanataka kutofautisha mambo.

Kikwete mara moja tu walikuwa wanaongea kuhusu " mamilioni ya Kikwete". Lakini kila siku tunasikia kuhusu " mamilioni ya Samia".

Hata ukimpa mtoto mdogo peremende,lazima uhakikishe kwamba yule mtoto anamsifu Mungu.

Kwa hiyo wajihadhari hawa watu wote wanaotaka kuitwa "superstar"
Lema bana ,unataka usifiwe wewe?
 
Hata ukimpa mtoto mdogo peremende, lazima uhakikishe kwamba yule mtoto anamsifu Mungu.🙏

Ahsante, big Brain!!
 
Back
Top Bottom