Kuna kukosoa na kum demonize...Ni vitu viwili tofauti...Umesema kweli tatizo langu ni la watanzania wengi, kwakua watanzania wengi walimkubali JPM kuwa alikuwa na dhamira njema kwa taifa lake, hilo tu linatosha kumwona hafai kufanyiwa hayo mnayotaka kuyafanyaTatizo lako Ame ni la watanzania wengi tu. Kudhani kuwa kumkosoa JPM ni kuwa upande unaomchukia, you are very wrong.
Maamuzi ya haraka siku zote yanazo hasara nyingi tu. Mfano ni pale alipokuwa anawatumbua watu halafu wanaendelea kuwa ni sehemu ya pay roll ya serikali wakipata haki na stahiki zile zile wanazopata wafanyakazi wengine.
Maamuzi mengine ya haraka ni kupeleka pesa ya sherehe za uhuru za mwaka 2016 kujengea barabara ya Morocco halafu baada ya miaka michache inabomolewa na kujengwa upya kwa pesa nyingine!. Kwanini ujenzi usifanyike wote kwa mara moja?.