Rais Samia anasema 'hili tunalichukua'. Hayati John Magufuli aliamua pale pale jukwaani

Yote ni sawa tu hata mahakamani maamuzi huchukua muda lakini badi hukumu inaweza kukosewa mmuzi shihi kwako ni pale utavyoyapokea wewe. Mfano mtu kadulumiwa ng'ombe na polisi halafu kaha kushitaki kwako wew kama kiongozi halafu unawaachia polis wachunguze.

Maamuzi ya papo kwa papo yanahitaji umakini wa hali ya juu na hofu ya Mungu ni sawa na kuibu maswali ya papo kwa papo. Hii njia ndio aliyikuwa anaitumia mfalme Suleman enzi hizo.
Mkuu, mfalme Suleiman aliomba hekima kwa Bwana Mungu,hivyo huwezi kumfananisha na binadamu yoyote.
 
Namna zote mbili zina faida na hasara zake. Dunia haina jawabu moja ambalo liko sawa kwa kila nyakati au changamoto. JPM kuna baadhi ya mambo alifanikiwa sababu ya maamuzi ya aina ile na mambo mengine yaliharibika.

Hata Mama pia, kusubiri kwake kunaweza kuwa kwa heri na hata kwa shari nyakati nyingine. Si rahisi kuieleza dunia na mambo yake kwa kutumia platform moja tu for all the reference, kwa haya mambo yetu walimwengu
 
Hii chuki mliyonayo kwa JPM kwahakika itawa haunt maisha yenu yote...Hivi kwanza hamuoni kuwa ni laana kugombana na maiti? Mtu anaweza dhani mlimloga daah, mbona mnajichora hivi?
Kuongea/kuandika ukweli juu ya mtu fulani ni chuki!!???
"Mungu mtu" wenu hakuwa na ubora wa hata kuwa baba wa familia.
Baba hawezi kumbaka binti yake.
 
Uongozi ni kuamua tu kuchukua njia unayopita, unapita unaenda zako bila ya kujali kelele za kutoridhika au vigelegele vya kuridhika.....,miaka yenyewe mingapi ya uongozi ya kuridhisha wote!!

Maamuzi ya papo kwa papo yana uwezekano mkubwa wa kukosea kunakotokana na kukosa taarifa sahihi na mwisho wa siku mtu anaonewa (nina uhakika katika kila maamuzi natano ya papo kwa papo, mawili yanakuwa sivyo). Faida ya hii ni kuwa watu ni kweli wanakuogopa na hujitahidi kuwa 'sio wao' ili kubaki salama

Style ya mama ya 'kulichukua' ina uwezekano wa kutenda haki lakini ina shida ya kuchelewa na......nchi ni kubwa sana yatachukuliwa mangapi miaka yenyewe mitano au 10 tu!

Suluhisho: nenda tu na unachoamini ni sahihi!
Uongozi wa Nchi unaofuata Sheria na Haki au Uongozi wa Familia ambao ni dictatorship ?

Busara ya kufuata ushauri na kuliangalia jambo kwa mapana na marefu ipo pale ili kuweka check and balances..., kwahio kiongozi akiwa chizi akiamua kesho tuwavamie majirani zetu wote ni sawa tu sababu akili yake inamwambia ni sahihi ?, Au akiambiwa fulani ni mchawi basi amuhukumu bila kuhakikisha huenda anasingiziwa ?
 
Madhara ya ujasiri yamekuja kuonekana baadae. Watu wameumizwa kwa maamuzi hayo yaliyowafurahisha watu jukwaani na wakaishia kushangilia.

Kumekuwepo na uonevu na makundi mawili yasiyokuwa na sababu wala umuhimu.
Wachache wameumizwa na wengi wakanufaika,
Na ukumbuke kutumbua ni kubadili mtu ktk nafasi yake, kazi ambayo Rais Ana mamlaka nayo
Cheo umepewa bure na Raisi na cheo kimeondolewa bure na Rais!
Cheo ni jukumu la kila mtanzania
 
Uongozi wa Nchi unaofuata Sheria na Haki au Uongozi wa Familia ambao ni dictatorship ?

Busara ya kufuata ushauri na kuliangalia jambo kwa mapana na marefu ipo pale ili kuweka check and balances..., kwahio kiongozi akiwa chizi akiamua kesho tuwavamie majirani zetu wote ni sawa tu sababu akili yake inamwambia ni sahihi ?, Au akiambiwa fulani ni mchawi basi amuhukumu bila kuhakikisha huenda anasingiziwa ?
Maneno yasiwe mengi,
Hangaya ni dhaifu!
 
Mwananchi : "Msaada! Msaada!, Naungua moto! Jamani Msaada!"

SSH : "Hili tumelichukua.Tutazungumza na fire tuone tunawezaje kulishughulikia"

JPM : "Chukua fire extinguisher zima moto!"

Alafu bado kuna watu wanathubutu kusema utendaji huo haukuwa na tija! Tanzania is burning in poverty,ignorance and diseases.
 
Wote wanaweza kuwa sawa..
Wote wanaweza wasiwe sawa..
Mmoja anaweza kuwa sawa na mwingine hapa.

Taifa la Tanzania na watu wake kuna mahala linamtaka Marehemu JPM na hulka yake ileile..
Hii nchi kuna baadhi ya watu wajinga sana, narudia tena wajinga sana na ndio wanasababisha hii nchi iwe hapa kwa sasa..

Wakati huu Taifa linahitaji mtu kama marehemu atuvuruge sana na tukija kukaa sawa miaka mingi mbele ndio waje viongozi aina hii ya Mama , pamoja na JK... Style ya uongozi wa mipango na kuamini watu inafaa sana kwenye mataifa yaliyoendelea tayari lakini sio kwa Taifa kama hili lenye baadhi ya watu primitive na wajinga...
Upuuzi ni mwingi, wiziwizi tu
 
Mwananchi : "Msaada! Msaada!, Naungua moto! Jamani Msaada!"

SSH : "Hili tumelichukua.Tutazungumza na fire tuone tunawezaje kulishughulikia"

JPM : "Chukua fire extinguisher zima moto!"

Alafu bado kuna watu wanathubutu kusema utendaji huo haukuwa na tija! Tanzania is burning in poverty,ignorance and diseases.
Hahahahaaaaaa

Chief Hangaya
 
Wote wanaweza kuwa sawa..
Wote wanaweza wasiwe sawa..
Mmoja anaweza kuwa sawa na mwingine hapa.

Taifa la Tanzania na watu wake kuna mahala linamtaka Marehemu JPM na hulka yake ileile..
Hii nchi kuna baadhi ya watu wajinga sana, narudia tena wajinga sana na ndio wanasababisha hii nchi iwe hapa kwa sasa..

Wakati huu Taifa linahitaji mtu kama marehemu atuvuruge sana na tukija kukaa sawa miaka mingi mbele ndio waje viongozi aina hii ya Mama , pamoja na JK... Style ya uongozi wa mipango na kuamini watu inafaa sana kwenye mataifa yaliyoendelea tayari lakini sio kwa Taifa kama hili lenye baadhi ya watu primitive na wajinga...
Ongezea na hii..
Washenzi, wabinafsi, wezi, waporaji, dhurumati, wakandamizaji..

Come back JPM vurugavuruga in 10 year kutahamaki washenzi wote kwishney tunaanza upya tukiwa tunaheshimiana wote, itapendeza sana.
 

“hili tunalichukua' hili neno watanzania hawakulizoea awamu ya tano, litakigarimu ccm 2025-2030​

 
Wanawake kwa ujumla hawaaminiki ndugu yangu, anayemsifia mwanamke hana tofauti na nyimbo za wale wanaoimba kulisifia PENZI wakati kila siku wanaangamizwa na hilohilo penzi. Ndicho unachotaka kujaribu kusema hapo.

Kwa ufupi mama anaharibu nchi. Nchi hii imetawaliwa na wahuni haina haja ya kusubiri kuamua..ni papo kwa papo marekebisho baadae. Hili neno analotumia "tunalichukua" linatuingiza shimoni tukiwa wazima wazima
 
Mimi naikubali zaidi style ya JPM ya kutoa maamuzi ya papo kwa papo bila kujali nani atatendewa haki au nani ataonewa.

Mimi naamini kuwa, ni bora zaidi kufanya maamuzi ukakosea kuliko kutofanya maamuzi kwa kuogopa kukosea.

Rais ana mambo mengi sana, kwa hiyo akipata fursa adhimu ya kukutana na Wananchi ni vema atoe maamuzi papo kwa papo, kwani akishindwa kufanya hivyo kwa wakati huo kuna hatari ya kusahau kabisa jambo hilo.

Lakini, kwa Tanzania yetu hii ya sasa, tunahitaji mfululizo wa Marais 5 hivi wa aina ya JPM ili kukaa katika mstari.

Kama ni kubembelezana, JK aliwabembeleza sana watu lakini akafeli katika mambo mengi mengi tu. Kwa hiyo, kwa sasa tunahitaji Rais anayeweza kuipeleka Nchi mpera mpera kwa miaka kadhaa ijayo.
 
Imagine, wewe ndo Rais unakuta mtu mmoja amehujumu mradi wa maji ambayo yangehudumia hata zaidi ya Wananchi 5000, unamwuliza Mbunge anakiri kuwa, huyo ndo kahujumu mradi, Wananchi nao wanasema vivyo hivyo, halafu bila aibu unasema, HILI TUNALICHUKUA, TUTALIFANYIA KAZI.
Huo ni ulegevu na kukosa kabisa uwajibikaji.
 
Imagine, wewe ndo Rais unakuta mtu mmoja amehujumu mradi wa maji ambayo yangehudumia hata zaidi ya Wananchi 5000, unamwuliza Mbunge anakiri kuwa, huyo ndo kahujumu mradi, Wananchi nao wanasema vivyo hivyo, halafu bila aibu unasema, HILI TUNALICHUKUA, TUTALIFANYIA KAZI.
Huo ni ulegevu na kukosa kabisa uwajibikaji.
Ungewajua waswahili kwa kutengenezeana kesi na kutafutiana ubaya ungekuwa na mawazo mengine kabisa.
 
wanawake kwa ujumla hawaaminiki ndugu yangu, anayemsifia mwanamke hana tofauti na nyimbo za wale wanaoimba kulisifia PENZI wakati kila siku wanaangamizwa na hilohilo penzi. Ndicho unachotaka kujaribu kusema hapo...kwa ufupi mama anaharibu nchi. Nchi hii imetawaliwa na wahuni haina haja ya kusubiri kuamua..ni papo kwa papo marekebisho baadae. Hili neno analotumia "tunalichukua" linatuingiza shimoni tukiwa wazima wazima
NI maoni yako kusema mama anaharibu nchi wakati wanaume wameishaiharibu tangu uhuru.
 
Wote wanaweza kuwa sawa..
Wote wanaweza wasiwe sawa..
Mmoja anaweza kuwa sawa na mwingine hapa.

Taifa la Tanzania na watu wake kuna mahala linamtaka Marehemu JPM na hulka yake ileile..
Hii nchi kuna baadhi ya watu wajinga sana, narudia tena wajinga sana na ndio wanasababisha hii nchi iwe hapa kwa sasa..

Wakati huu Taifa linahitaji mtu kama marehemu atuvuruge sana na tukija kukaa sawa miaka mingi mbele ndio waje viongozi aina hii ya Mama , pamoja na JK... Style ya uongozi wa mipango na kuamini watu inafaa sana kwenye mataifa yaliyoendelea tayari lakini sio kwa Taifa kama hili lenye baadhi ya watu primitive na wajinga...
 
Hili la tutalichukua hata mimi nililipenda manake suala la kusikia hapohapo ukatoa uamuzi unaweza kuingizwa chaka. Kiongozi analichukua anaenda kuketi na wasaidizi wake, wanalichakata kisha anafanya kitu Wamatumbi wanaita informed decision. Ukifanya papo kwa papo kunakuwa na information asymmetry na matokeo yake uamuzi unakuwa biased. Nakumbuka mama mmoja aliwahi kulia mbele ya JPM na JPM akatoa maamuzi fulani ikiwa ni pamoja na mama kupewa ulinzi ila baadaye ikajajulikana kwamba yule mama ni tapeli; angelichukua na kulichakata angejua mama alitaka kumuingiza King!
Mama anajipa muda kabla hajafanya maamuzi; wengine wanaweza kusema hafanyi maamuzi lakini si sawa kwa kuwa ili ufanye maamuzi mazuri unatakiwa kuwa na information toshelevu. Maamuzi ya Rais ni hatari hayafai kufanyika kidharura kwani yanaweza kujeruhi vibaya. Mama yachukue yachakate, rudisha feedback na itakuwa vyema hiyo feedback ikiwa public.
Upotevu wa muda. Badala ya kufanya mambo ya msingi unaanza kujadili matatizo ya baadhi ya watendaji wako.
Marehemu hakuwa na huu muda wa kipumbavu.
 
Back
Top Bottom