#COVID19 Rais Samia anaridhishwa na yanayoendelea sasa kati ya Serikali na Askofu Gwajima?

sikia ndugu rais hawezi kuongoza nchi kakufuata mihemuko ya watu yaani gwajima akianza kulumbana na watu rais atoe tamko chadema wakifanya yao atoe tamko ? yuko busy na mambo ya kitaifa hata ungekuwa wewe ndiyo rais ungeendekeza midemko ya watu na wewe una demka nchi inakushinda
Acha kutetea ujinga! Huyo Rais wako yuko bize kuchagua dela la kuvaa kesho halafu wewe unasema yuko bize na mambo ya kitaifa!

Acha hizo wewe!
 
sikia ndugu rais hawezi kuongoza nchi kakufuata mihemuko ya watu yaani gwajima akianza kulumbana na watu rais atoe tamko chadema wakifanya yao atoe tamko ? yuko busy na mambo ya kitaifa hata ungekuwa wewe ndiyo rais ungeendekeza midemko ya watu na wewe una demka nchi inakushinda
Kwani mpaka sasa nchi haijamshinda?
 
Sio kila kitu ni mpaka rais!. Kwa mujibu wa katiba yetu, sheria, taratibu na kanuni, kila nafasi inayo mamlaka yake ya nidhamu, hadi rais, mamlaka yake ya nidhamu ni Bunge, vivyo hivyo Gwajima kama mbunge wa CCM, anayo mamlaka yake ya nidhamu, na sio rais Samia.
Wabunge wote wana mamlaka yao ya nidhamu. Ukiona kiongozi yoyote anafanya utovu wowote wa nidhamu, na mamlaka yake ya nidhamu imekaa kimya, ujue kuna mawili, huo unaodhani wewe ni utovu wa nidhamu, kwa mamlaka yake ya nidhamu, ni haina tatizo, imeridhika. Au mamlaka ya nidhamu nayo imekuwa ama compromised, au inamuogopo, maana kiukweli kuna watu wana powers!, usicheze nao, unaweza kupotea!.

Sisi wengine, kazi yetu ni kuandika tuu na kushauri tuu!.
Hili la Gwajima, tuliandika na kwenye maandiko hayo, tulishauri.



P.
Ebo! Nchi inayumbishwa unasema siyo kila kitu Rais!
 
Sasa hivi ni siku za hivi karibuni ni kama vile Taifa lipo kwenye sintofahamu.

Taifa limegawanyika kati ya Team Gwajima na Team Gwajima.

Mambo yamekuwa mvurugano kila leo ni vijembe mara katibu wa CCM nae kaingiamo mule mule

Gwajima anapeleka watu mputa mputa

Sasa hivi na IGP Sirro kaingia kwenye hili saga

Je, Rais unaridhishwa na yanayoendelea? Wewe ndio mamlaka ya juu ni kutoa tamko moja tu watu wote wanatulia, ukiendelea kukaa kimya haya mambo yatafika mbali, Mmoja ameshamuhaidi mwenzie kumpiga na kitu kizito.

Mteule wako naye kajibu atakayemzingua atamvua nguo hadharani.

Sirro nae kasema haoni jinai yoyote sasa Rais kazi imebaki kwako.

Tunakusubiri utupe muongozo hili suala liishe kazi iendelee.
wanawake Afrka bado sana katika ngazi ya urais, bado sana! Huyu ndiye katia fora kwa kutoweza. anayoyafanya hata mtoto wa chekechea anaweza kuongoza nchi. Kama kuongeza kodi kwenye simu, ani hawezi kufanya? Kufunga wanaokupinga nani hawezi kufanya? takataka tupu zinafanyika
 
Usichokijua ni kwamba hauna Rais.She is hopeless inept.

Watu wenye uwezo wa kuongoza nchi huwa hawachukui madaraka kwa kuiba kura bali huchaguliwa na wananchi kutokana na kuwa na sifa stahiki.

Yeye amekuwa Rais kwa kuiba kura kwa sababu hakuwa na sifa za kuongoza.

Period.
7654311.png
 
Sio kila kitu ni mpaka rais, Rais ni mamlaka ya nidhamu kwa wateule wake tuu. Mbunge sio mteule wa rais!.
Tusimbebeshe rais mizigo ambayo sio yake!.
P
Ni kweli Mbunge sio mteule wa Rais lakini ni mwana CCM, chama ambacho Rais ni mwenyekiti wake. Hivyo anapaswa kuchukua hatua hata za kichama kwa sababu Gwajima hatoi matamko bungeni bali kwenye kijiwe chake!
 
Ni kweli Mbunge sio mteule wa Rais lakini ni mwana CCM, chama ambacho Rais ni mwenyekiti wake. Hivyo anapaswa kuchukua hatua hata za kichama kwa sababu Gwajima hatoi matamko bungeni bali kwenye kijiwe chake!
Mimi mwenyewe hapa ni kada wa Chama cha Mapinduzi, chama chetu kina utaratibu mzuri tuu wa nidhamu, na mamlaka yake ya nidhamu ndani ya chama pia sio rais, ni KM na tunafanya mambo kwa vikao, sio kwa kukurupuka au kuadhibu watu kwa kangaroo courts!. Kama kweli ni mkosaji, muda wake wa kushughulikiwa ukifika, atashughulikiwa.

P
 
Sasa hivi ni siku za hivi karibuni ni kama vile Taifa lipo kwenye sintofahamu.

Taifa limegawanyika kati ya Team Gwajima na Team Gwajima.

Mambo yamekuwa mvurugano kila leo ni vijembe mara katibu wa CCM nae kaingiamo mule mule

Gwajima anapeleka watu mputa mputa

Sasa hivi na IGP Sirro kaingia kwenye hili saga

Je, Rais unaridhishwa na yanayoendelea? Wewe ndio mamlaka ya juu ni kutoa tamko moja tu watu wote wanatulia, ukiendelea kukaa kimya haya mambo yatafika mbali, Mmoja ameshamuhaidi mwenzie kumpiga na kitu kizito.

Mteule wako naye kajibu atakayemzingua atamvua nguo hadharani.

Sirro nae kasema haoni jinai yoyote sasa Rais kazi imebaki kwako.

Tunakusubiri utupe muongozo hili suala liishe kazi iendelee.
Nafikiri hii ni mada ya tatu sasa waianzisha.

Ndo maana nikakuuliza mbona wahangaika?
 
Sio kila kitu ni mpaka rais!. Kwa mujibu wa katiba yetu, sheria, taratibu na kanuni, kila nafasi inayo mamlaka yake ya nidhamu, hadi rais, mamlaka yake ya nidhamu ni Bunge, vivyo hivyo Gwajima kama mbunge wa CCM, anayo mamlaka yake ya nidhamu, na sio rais Samia.
Wabunge wote wana mamlaka yao ya nidhamu. Ukiona kiongozi yoyote anafanya utovu wowote wa nidhamu, na mamlaka yake ya nidhamu imekaa kimya, ujue kuna mawili, huo unaodhani wewe ni utovu wa nidhamu, kwa mamlaka yake ya nidhamu, ni haina tatizo, imeridhika. Au mamlaka ya nidhamu nayo imekuwa ama compromised, au inamuogopo, maana kiukweli kuna watu wana powers!, usicheze nao, unaweza kupotea!.

Sisi wengine, kazi yetu ni kuandika tuu na kushauri tuu!.
Hili la Gwajima, tuliandika na kwenye maandiko hayo, tulishauri.



P.
P kwahiyo Askofu Gwajima ana power kias kwamba ukipambana nae unapotea .
 
Sio kila kitu ni mpaka rais!. Kwa mujibu wa katiba yetu, sheria, taratibu na kanuni, kila nafasi inayo mamlaka yake ya nidhamu, hadi rais, mamlaka yake ya nidhamu ni Bunge, vivyo hivyo Gwajima kama mbunge wa CCM, anayo mamlaka yake ya nidhamu, na sio rais Samia.
Wabunge wote wana mamlaka yao ya nidhamu. Ukiona kiongozi yoyote anafanya utovu wowote wa nidhamu, na mamlaka yake ya nidhamu imekaa kimya, ujue kuna mawili, huo unaodhani wewe ni utovu wa nidhamu, kwa mamlaka yake ya nidhamu, ni haina tatizo, imeridhika. Au mamlaka ya nidhamu nayo imekuwa ama compromised, au inamuogopo, maana kiukweli kuna watu wana powers!, usicheze nao, unaweza kupotea!.

Sisi wengine, kazi yetu ni kuandika tuu na kushauri tuu!.
Hili la Gwajima, tuliandika na kwenye maandiko hayo, tulishauri.



P.
mimi nafikiri kwa nchi kama hii bado hata watu hawaelewi mamlaka zao kila kitu wanamtegemea Rais, si ajabu hata waliopaswa kumuwajibisha Gwajima nao wanasubiri Rais ndio amuwajibishe, sasa Rais nae akiwa mkimya kila week sakata linachukua sura mpya
 
sikia ndugu rais hawezi kuongoza nchi kakufuata mihemuko ya watu yaani gwajima akianza kulumbana na watu rais atoe tamko chadema wakifanya yao atoe tamko ? yuko busy na mambo ya kitaifa hata ungekuwa wewe ndiyo rais ungeendekeza midemko ya watu na wewe una demka nchi inakushinda
Kwa iyo Mimi wa chama cha Dovutwa nikojitokeza hadharani kupinga chanjo nitaachwa kama Gwajima?
 
Sasa hivi ni siku za hivi karibuni ni kama vile Taifa lipo kwenye sintofahamu.

Taifa limegawanyika kati ya Team Gwajima na Team Gwajima.

Mambo yamekuwa mvurugano kila leo ni vijembe mara katibu wa CCM nae kaingiamo mule mule

Gwajima anapeleka watu mputa mputa

Sasa hivi na IGP Sirro kaingia kwenye hili saga

Je, Rais unaridhishwa na yanayoendelea? Wewe ndio mamlaka ya juu ni kutoa tamko moja tu watu wote wanatulia, ukiendelea kukaa kimya haya mambo yatafika mbali, Mmoja ameshamuhaidi mwenzie kumpiga na kitu kizito.

Mteule wako naye kajibu atakayemzingua atamvua nguo hadharani.

Sirro nae kasema haoni jinai yoyote sasa Rais kazi imebaki kwako.

Tunakusubiri utupe muongozo hili suala liishe kazi iendelee.
Kwa ubongo gani?
 
Mimi mwenyewe hapa ni kada wa Chama cha Mapinduzi, chama chetu kina utaratibu mzuri tuu wa nidhamu, na mamlaka yake ya nidhamu ndani ya chama pia sio rais, ni KM na tunafanya mambo kwa vikao, sio kwa kukurupuka au kuadhibu watu kwa kangaroo courts!. Kama kweli ni mkosaji, muda wake wa kushughulikiwa ukifika, atashughulikiwa.

P


Mnapenda kuhusudiana kwa kutumia nguvu kubwaaa wakati mambo mengine yangefaa kuuzwa tu na kuendelea na ujenzi wa Taifa!

Kama mtu amepotosha ajitokeze mtu aseme kilicho sahihi na sababu zake!
 
hivi we unaishi oysterbay nn? huku uswahilini watu wapo team askofu na team waziri
Waziri ana madalali wa chanjo wachache Sana..askofu ana watu wengi sana.tena wengi huwezi kuwasikia.wapo kimya kimya
 
Back
Top Bottom