Fredy Frank360
Senior Member
- Dec 25, 2018
- 129
- 187
Inawezekana mkuuau naye anasubiri tamko
Inawezekana mkuuau naye anasubiri tamko
Acha kutetea ujinga! Huyo Rais wako yuko bize kuchagua dela la kuvaa kesho halafu wewe unasema yuko bize na mambo ya kitaifa!sikia ndugu rais hawezi kuongoza nchi kakufuata mihemuko ya watu yaani gwajima akianza kulumbana na watu rais atoe tamko chadema wakifanya yao atoe tamko ? yuko busy na mambo ya kitaifa hata ungekuwa wewe ndiyo rais ungeendekeza midemko ya watu na wewe una demka nchi inakushinda
Kwani mpaka sasa nchi haijamshinda?sikia ndugu rais hawezi kuongoza nchi kakufuata mihemuko ya watu yaani gwajima akianza kulumbana na watu rais atoe tamko chadema wakifanya yao atoe tamko ? yuko busy na mambo ya kitaifa hata ungekuwa wewe ndiyo rais ungeendekeza midemko ya watu na wewe una demka nchi inakushinda
Ebo! Nchi inayumbishwa unasema siyo kila kitu Rais!Sio kila kitu ni mpaka rais!. Kwa mujibu wa katiba yetu, sheria, taratibu na kanuni, kila nafasi inayo mamlaka yake ya nidhamu, hadi rais, mamlaka yake ya nidhamu ni Bunge, vivyo hivyo Gwajima kama mbunge wa CCM, anayo mamlaka yake ya nidhamu, na sio rais Samia.
Wabunge wote wana mamlaka yao ya nidhamu. Ukiona kiongozi yoyote anafanya utovu wowote wa nidhamu, na mamlaka yake ya nidhamu imekaa kimya, ujue kuna mawili, huo unaodhani wewe ni utovu wa nidhamu, kwa mamlaka yake ya nidhamu, ni haina tatizo, imeridhika. Au mamlaka ya nidhamu nayo imekuwa ama compromised, au inamuogopo, maana kiukweli kuna watu wana powers!, usicheze nao, unaweza kupotea!.
Sisi wengine, kazi yetu ni kuandika tuu na kushauri tuu!.
Hili la Gwajima, tuliandika na kwenye maandiko hayo, tulishauri.
#COVID19 - Kama Taifa limekubali chanjo ndio maslahi ya Taifa, Viongozi wote wanakuwa Bind na A Collective Responsibility Clause. Must support, Shut up or quit!
Wanabodi, Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu! Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio...www.jamiiforums.com
#COVID19 - Baada ya Kukubali Chanjo, na Rais Samia Kuchanja, Kiongozi yeyote anayepinga Chanjo hadharani ni 'Insubordination' na usaliti
Wanabodi, Hii ni mada mwendelezo wa mada hii ya wiki iliyopita Kwa vile zoezi la chanjo ya Uviko linaendelea, Kwa Maslahi ya Taifa inaendelea kujikita kwenye chanjo, leo nikiangazia hoja ya uhiari wa Chanjo. Japo chanjo ni hiari, hiari ya chanjo ni hiari ya consent kama ilivyo kwenye...www.jamiiforums.com
P.
wanawake Afrka bado sana katika ngazi ya urais, bado sana! Huyu ndiye katia fora kwa kutoweza. anayoyafanya hata mtoto wa chekechea anaweza kuongoza nchi. Kama kuongeza kodi kwenye simu, ani hawezi kufanya? Kufunga wanaokupinga nani hawezi kufanya? takataka tupu zinafanyikaSasa hivi ni siku za hivi karibuni ni kama vile Taifa lipo kwenye sintofahamu.
Taifa limegawanyika kati ya Team Gwajima na Team Gwajima.
Mambo yamekuwa mvurugano kila leo ni vijembe mara katibu wa CCM nae kaingiamo mule mule
Gwajima anapeleka watu mputa mputa
Sasa hivi na IGP Sirro kaingia kwenye hili saga
Je, Rais unaridhishwa na yanayoendelea? Wewe ndio mamlaka ya juu ni kutoa tamko moja tu watu wote wanatulia, ukiendelea kukaa kimya haya mambo yatafika mbali, Mmoja ameshamuhaidi mwenzie kumpiga na kitu kizito.
Mteule wako naye kajibu atakayemzingua atamvua nguo hadharani.
Sirro nae kasema haoni jinai yoyote sasa Rais kazi imebaki kwako.
Tunakusubiri utupe muongozo hili suala liishe kazi iendelee.
usjibizane na takataka kama iboya, chagua watu wa kijibizana nao humuKwani mpaka sasa nchi haijamshinda?
Sio kila kitu ni mpaka rais, Rais ni mamlaka ya nidhamu kwa wateule wake tuu. Mbunge sio mteule wa rais!.Ebo! Nchi inayumbishwa unasema siyo kila kitu Rais!
Ni kweli Mbunge sio mteule wa Rais lakini ni mwana CCM, chama ambacho Rais ni mwenyekiti wake. Hivyo anapaswa kuchukua hatua hata za kichama kwa sababu Gwajima hatoi matamko bungeni bali kwenye kijiwe chake!Sio kila kitu ni mpaka rais, Rais ni mamlaka ya nidhamu kwa wateule wake tuu. Mbunge sio mteule wa rais!.
Tusimbebeshe rais mizigo ambayo sio yake!.
P
Mimi mwenyewe hapa ni kada wa Chama cha Mapinduzi, chama chetu kina utaratibu mzuri tuu wa nidhamu, na mamlaka yake ya nidhamu ndani ya chama pia sio rais, ni KM na tunafanya mambo kwa vikao, sio kwa kukurupuka au kuadhibu watu kwa kangaroo courts!. Kama kweli ni mkosaji, muda wake wa kushughulikiwa ukifika, atashughulikiwa.Ni kweli Mbunge sio mteule wa Rais lakini ni mwana CCM, chama ambacho Rais ni mwenyekiti wake. Hivyo anapaswa kuchukua hatua hata za kichama kwa sababu Gwajima hatoi matamko bungeni bali kwenye kijiwe chake!
Nafikiri hii ni mada ya tatu sasa waianzisha.Sasa hivi ni siku za hivi karibuni ni kama vile Taifa lipo kwenye sintofahamu.
Taifa limegawanyika kati ya Team Gwajima na Team Gwajima.
Mambo yamekuwa mvurugano kila leo ni vijembe mara katibu wa CCM nae kaingiamo mule mule
Gwajima anapeleka watu mputa mputa
Sasa hivi na IGP Sirro kaingia kwenye hili saga
Je, Rais unaridhishwa na yanayoendelea? Wewe ndio mamlaka ya juu ni kutoa tamko moja tu watu wote wanatulia, ukiendelea kukaa kimya haya mambo yatafika mbali, Mmoja ameshamuhaidi mwenzie kumpiga na kitu kizito.
Mteule wako naye kajibu atakayemzingua atamvua nguo hadharani.
Sirro nae kasema haoni jinai yoyote sasa Rais kazi imebaki kwako.
Tunakusubiri utupe muongozo hili suala liishe kazi iendelee.
P kwahiyo Askofu Gwajima ana power kias kwamba ukipambana nae unapotea .Sio kila kitu ni mpaka rais!. Kwa mujibu wa katiba yetu, sheria, taratibu na kanuni, kila nafasi inayo mamlaka yake ya nidhamu, hadi rais, mamlaka yake ya nidhamu ni Bunge, vivyo hivyo Gwajima kama mbunge wa CCM, anayo mamlaka yake ya nidhamu, na sio rais Samia.
Wabunge wote wana mamlaka yao ya nidhamu. Ukiona kiongozi yoyote anafanya utovu wowote wa nidhamu, na mamlaka yake ya nidhamu imekaa kimya, ujue kuna mawili, huo unaodhani wewe ni utovu wa nidhamu, kwa mamlaka yake ya nidhamu, ni haina tatizo, imeridhika. Au mamlaka ya nidhamu nayo imekuwa ama compromised, au inamuogopo, maana kiukweli kuna watu wana powers!, usicheze nao, unaweza kupotea!.
Sisi wengine, kazi yetu ni kuandika tuu na kushauri tuu!.
Hili la Gwajima, tuliandika na kwenye maandiko hayo, tulishauri.
#COVID19 - Kama Taifa limekubali chanjo ndio maslahi ya Taifa, Viongozi wote wanakuwa Bind na A Collective Responsibility Clause. Must support, Shut up or quit!
Wanabodi, Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu! Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio...www.jamiiforums.com
#COVID19 - Baada ya Kukubali Chanjo, na Rais Samia Kuchanja, Kiongozi yeyote anayepinga Chanjo hadharani ni 'Insubordination' na usaliti
Wanabodi, Hii ni mada mwendelezo wa mada hii ya wiki iliyopita Kwa vile zoezi la chanjo ya Uviko linaendelea, Kwa Maslahi ya Taifa inaendelea kujikita kwenye chanjo, leo nikiangazia hoja ya uhiari wa Chanjo. Japo chanjo ni hiari, hiari ya chanjo ni hiari ya consent kama ilivyo kwenye...www.jamiiforums.com
P.
mimi nafikiri kwa nchi kama hii bado hata watu hawaelewi mamlaka zao kila kitu wanamtegemea Rais, si ajabu hata waliopaswa kumuwajibisha Gwajima nao wanasubiri Rais ndio amuwajibishe, sasa Rais nae akiwa mkimya kila week sakata linachukua sura mpyaSio kila kitu ni mpaka rais!. Kwa mujibu wa katiba yetu, sheria, taratibu na kanuni, kila nafasi inayo mamlaka yake ya nidhamu, hadi rais, mamlaka yake ya nidhamu ni Bunge, vivyo hivyo Gwajima kama mbunge wa CCM, anayo mamlaka yake ya nidhamu, na sio rais Samia.
Wabunge wote wana mamlaka yao ya nidhamu. Ukiona kiongozi yoyote anafanya utovu wowote wa nidhamu, na mamlaka yake ya nidhamu imekaa kimya, ujue kuna mawili, huo unaodhani wewe ni utovu wa nidhamu, kwa mamlaka yake ya nidhamu, ni haina tatizo, imeridhika. Au mamlaka ya nidhamu nayo imekuwa ama compromised, au inamuogopo, maana kiukweli kuna watu wana powers!, usicheze nao, unaweza kupotea!.
Sisi wengine, kazi yetu ni kuandika tuu na kushauri tuu!.
Hili la Gwajima, tuliandika na kwenye maandiko hayo, tulishauri.
#COVID19 - Kama Taifa limekubali chanjo ndio maslahi ya Taifa, Viongozi wote wanakuwa Bind na A Collective Responsibility Clause. Must support, Shut up or quit!
Wanabodi, Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu! Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio...www.jamiiforums.com
#COVID19 - Baada ya Kukubali Chanjo, na Rais Samia Kuchanja, Kiongozi yeyote anayepinga Chanjo hadharani ni 'Insubordination' na usaliti
Wanabodi, Hii ni mada mwendelezo wa mada hii ya wiki iliyopita Kwa vile zoezi la chanjo ya Uviko linaendelea, Kwa Maslahi ya Taifa inaendelea kujikita kwenye chanjo, leo nikiangazia hoja ya uhiari wa Chanjo. Japo chanjo ni hiari, hiari ya chanjo ni hiari ya consent kama ilivyo kwenye...www.jamiiforums.com
P.
mimi ni mzalendoNafikiri hii ni mada ya tatu sasa waianzisha.
Ndo maana nikakuuliza mbona wahangaika?
Kwa iyo Mimi wa chama cha Dovutwa nikojitokeza hadharani kupinga chanjo nitaachwa kama Gwajima?sikia ndugu rais hawezi kuongoza nchi kakufuata mihemuko ya watu yaani gwajima akianza kulumbana na watu rais atoe tamko chadema wakifanya yao atoe tamko ? yuko busy na mambo ya kitaifa hata ungekuwa wewe ndiyo rais ungeendekeza midemko ya watu na wewe una demka nchi inakushinda
Kwa ubongo gani?Sasa hivi ni siku za hivi karibuni ni kama vile Taifa lipo kwenye sintofahamu.
Taifa limegawanyika kati ya Team Gwajima na Team Gwajima.
Mambo yamekuwa mvurugano kila leo ni vijembe mara katibu wa CCM nae kaingiamo mule mule
Gwajima anapeleka watu mputa mputa
Sasa hivi na IGP Sirro kaingia kwenye hili saga
Je, Rais unaridhishwa na yanayoendelea? Wewe ndio mamlaka ya juu ni kutoa tamko moja tu watu wote wanatulia, ukiendelea kukaa kimya haya mambo yatafika mbali, Mmoja ameshamuhaidi mwenzie kumpiga na kitu kizito.
Mteule wako naye kajibu atakayemzingua atamvua nguo hadharani.
Sirro nae kasema haoni jinai yoyote sasa Rais kazi imebaki kwako.
Tunakusubiri utupe muongozo hili suala liishe kazi iendelee.
Mimi mwenyewe hapa ni kada wa Chama cha Mapinduzi, chama chetu kina utaratibu mzuri tuu wa nidhamu, na mamlaka yake ya nidhamu ndani ya chama pia sio rais, ni KM na tunafanya mambo kwa vikao, sio kwa kukurupuka au kuadhibu watu kwa kangaroo courts!. Kama kweli ni mkosaji, muda wake wa kushughulikiwa ukifika, atashughulikiwa.
P
Waziri ana madalali wa chanjo wachache Sana..askofu ana watu wengi sana.tena wengi huwezi kuwasikia.wapo kimya kimyahivi we unaishi oysterbay nn? huku uswahilini watu wapo team askofu na team waziri