Sasa hivi ni siku za hivi karibuni ni kama vile Taifa lipo kwenye sintofahamu.
Taifa limegawanyika kati ya Team Gwajima na Team Gwajima.
Mambo yamekuwa mvurugano kila leo ni vijembe mara katibu wa CCM nae kaingiamo mule mule
Gwajima anapeleka watu mputa mputa
Sasa hivi na IGP Sirro kaingia kwenye hili saga
Je, Rais unaridhishwa na yanayoendelea? Wewe ndio mamlaka ya juu ni kutoa tamko moja tu watu wote wanatulia, ukiendelea kukaa kimya haya mambo yatafika mbali, Mmoja ameshamuhaidi mwenzie kumpiga na kitu kizito.
Mteule wako naye kajibu atakayemzingua atamvua nguo hadharani.
Sirro nae kasema haoni jinai yoyote sasa Rais kazi imebaki kwako.
Tunakusubiri utupe muongozo hili suala liishe kazi iendelee.
Taifa limegawanyika kati ya Team Gwajima na Team Gwajima.
Mambo yamekuwa mvurugano kila leo ni vijembe mara katibu wa CCM nae kaingiamo mule mule
Gwajima anapeleka watu mputa mputa
Sasa hivi na IGP Sirro kaingia kwenye hili saga
Je, Rais unaridhishwa na yanayoendelea? Wewe ndio mamlaka ya juu ni kutoa tamko moja tu watu wote wanatulia, ukiendelea kukaa kimya haya mambo yatafika mbali, Mmoja ameshamuhaidi mwenzie kumpiga na kitu kizito.
Mteule wako naye kajibu atakayemzingua atamvua nguo hadharani.
Sirro nae kasema haoni jinai yoyote sasa Rais kazi imebaki kwako.
Tunakusubiri utupe muongozo hili suala liishe kazi iendelee.