stonecutter
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 2,321
- 3,361
Shetani yupo kwenye kiti cha enzi.Na wewe mzee unaelia leo kijana wako alikufa, ulikuwa wapi kumkataza asitoke?.... SSH 2/12/2025
Shetani yupo kwenye kiti cha enzi.Na wewe mzee unaelia leo kijana wako alikufa, ulikuwa wapi kumkataza asitoke?.... SSH 2/12/2025
Ni wazee wa dar. Waache wadanganywe. Sisi wazee wa mitaa ya mkendo hapa musoma tusingedanganywa kirahisi.Leo mama akiwa amevaa kofia ya Urais amewadanganya Wazee wa mkoa wa Dar es salaam waziwazi bila woga wala aibu .
Mfano ni kuhusu zoezi la uchaguzi na idadi ya kura.
Huu ni ukosefu wa maadili ya uongozi. Kusema Uongo