Rais Samia amteua Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu kupangiwa kazi nyingine

Kama ulikuwa unaangalia taarifa zake basi nafikiri jibu unalo na unalijua ila kama ulikuwa huangalii hapo nafikiri itachukua mda mrefu na mambo mengi kukuelezea, ila ningekuomba kunifanyia kitu kimoja kizuri; tafuta Youtube kama kuna critic yeyote ile ambayo Zuhura Yunus na Salim Kikeke wameitoa kwa nchi yao England?

Mbili identity ya huyu mtangazaji ambaye anajulikana kama presenter wa BBC ki-profession, haijulikani. Inakuwaje mda wote huo aiitwe Zuhura Yunus na sasa Zuhura Yunus Abdalah? Hili jina la Abfalah linatumika kivipi na kwa vigezo gani?

Huyu mwanamke, nafikiri watazania wengi mtakuwa mmesahau, alikuwa anatoa taarifa mbovu sana kuhusu sakata la Serikali ya Tanzania na Kampuni ya BARRICK Gold, kiasi kwamba kuna siku alifanya dhahiri kitendo cha kuwapotosha wasilikzaji kwa ku-divert story ya majadiliano yaliyokuwa yakifanyika kati ya serikali ya Tanzania na kampuni ya BARRICK Gold nchini kwa kuhojiana na mtanzania aliyesadikika kama ni mbobebezi katika mambo ya mikataba kama hii huko Canada.

Huyu mtangazaji alikuwa mstari wa mbele sana kwenye kuwapotosha matajiri dunuani walio taka kuwekeza nchini kwa taarifa zake za habari ambazo zilijaa negativity juu ya policy ya nchi yetu, alafu leo tutegemee mtu kama huyu kweli kuibariki nchi yetu ipate mafanikio ya kiuchumi?

Watanzania mnafanya utani na nchi yenu au maisha yenu sio? Mnafikiri huyu mama anauchungu na nyie kweli?
Hasa kwanini serikali haikumpiga marufuku kukanyaga Tanzania na kipindi cha uchaguzi alitupasha habari kama kawaida akiwa Tanzania.Kuhusu jina unamfahamu Afande mmoja alikuwa anaitwa Advera Senso,siku hizi ni mkuu wa Wilaya moja kanda ya ziwa na anaitwa Advera Bulimba.
 
Hasa kwanini serikali haikumpiga marufuku kukanyaga Tanzania na kipindi cha Uchaguzi alitupasha habari kama kawaida akiwa Tanzania.Kuhusu jina unamfahamu Afande mmoja alikuwa anaitwa Advera Senso,siku hizi ni mkuu wa Wilaya moja kanda ya ziwa na anaitwa Advera Bulimba.
Kwani mimi ni serikali? Iukize serikali. Kwanza nafikiri umesha ona. Mkuu wa serikali amemteua kuwa mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu. Sasa unategemea mimi kidampa nifanye nini?
 
Huyo Haniu alikua analeta press release zina typo nyingi sana.

Pia watueleze why wamchukue Zuhura sababu ametoka kumaliza mkataba juzi je hakukua na watu waliopo huko nyumbani na wenye uzoefu ?

Ushkaji uendelee...
Mawasiliano na exposure nayo muhimu, sio shule msingi mpaka unastaafu wewe upo danganyika tu.
Waandishi na wasomi wetu wengi communication skills ni changamoto, hata lugha fasaha ya kiswahili tu ni shida, kiingereza kinagonga ugokoni, swanglish ndio imejaa na mivyeti ya kukariri darasani.
Yaani wasomi wa kitanzania ni fedheha tupu, nchi ya waswahili , bado kwenye l anaweka r, kwenye m anaweka n, kwenye anakali sauti anapuyanga tu, Tafsida zero, tashtiti zimekwenda halijojo, hajui kishazi wala nahau, kazi kujejeana tu maofisini ???
Hivi mumepata kuwasikia akina David Wakati, uncle J nyaisanga, Charles hillary, tido muhando , Chama Matata, Kipozi na huyu Zuhura Yunusu wanavyotongoa kiswahili na kiingereza?
Nendeni mkatafute clips zao na audio
 
Aisee....🤣🤣🤣
Jaffar Hanui anauliza......

1643759457897.png

 
Inakuwaje mda wote huo aiitwe Zuhura Yunus na sasa Zuhura Yunus Abdalah? Hili jina la Abfalah linatumika kivipi na kwa vigezo gani?
Sijajua point yako hapo nini. Ni wewe tu ndio ulikuwa hujui kuwa anaitwa Zuhura Yunus Abdallah. Ni kwa vile mmemjua zaidi katika kipindi akiwa BBC ambapo binafsi sijawahi kusikia mtangazaji wao yoyote akitambulishwa kwa majina matatu ukimtoa Chama Omari Matata. Hata Charles Bilal, si wengi waliokuwa wakijua jina lake la 3. Salim Kikeke jina lake la 3 ushalisikia likitajwa huko BBC? By the way huenda wewe ni mdogo lakini baba yake mbona alikuwa mwanajeshi wa JW (Kanali Yunus Abdallah). Usichojua wewe si kwamba hakijulikani na wengine.
 
Kama ulikuwa unaangalia taarifa zake basi nafikiri jibu unalo na unalijua ila kama ulikuwa huangalii hapo nafikiri itachukua mda mrefu na mambo mengi kukuelezea, ila ningekuomba kunifanyia kitu kimoja kizuri; tafuta Youtube kama kuna critic yeyote ile ambayo Zuhura Yunus na Salim Kikeke wameitoa kwa nchi yao England?

Mbili identity ya huyu mtangazaji ambaye anajulikana kama presenter wa BBC ki-profession, haijulikani. Inakuwaje mda wote huo aiitwe Zuhura Yunus na sasa Zuhura Yunus Abdalah? Hili jina la Abfalah linatumika kivipi na kwa vigezo gani?

Huyu mwanamke, nafikiri watazania wengi mtakuwa mmesahau, alikuwa anatoa taarifa mbovu sana kuhusu sakata la Serikali ya Tanzania na Kampuni ya BARRICK Gold, kiasi kwamba kuna siku alifanya dhahiri kitendo cha kuwapotosha wasilikzaji kwa ku-divert story ya majadiliano yaliyokuwa yakifanyika kati ya serikali ya Tanzania na kampuni ya BARRICK Gold nchini kwa kuhojiana na mtanzania aliyesadikika kama ni mbobebezi katika mambo ya mikataba kama hii huko Canada.

Huyu mtangazaji alikuwa mstari wa mbele sana kwenye kuwapotosha matajiri dunuani walio taka kuwekeza nchini kwa taarifa zake za habari ambazo zilijaa negativity juu ya policy ya nchi yetu, alafu leo tutegemee mtu kama huyu kweli kuibariki nchi yetu ipate mafanikio ya kiuchumi?

Watanzania mnafanya utani na nchi yenu au maisha yenu sio? Mnafikiri huyu mama anauchungu na nyie kweli?
Sijui kama utaeleweka wakati huu, wa ....kuchukua hatamu.
 
Nimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri
MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta.
Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama
Hiyo ya watu kuingia msituni ndio habari . Hebu anza na hiyo😁
 
Kama ulikuwa unaangalia taarifa zake basi nafikiri jibu unalo na unalijua ila kama ulikuwa huangalii hapo nafikiri itachukua mda mrefu na mambo mengi kukuelezea, ila ningekuomba kunifanyia kitu kimoja kizuri; tafuta Youtube kama kuna critic yeyote ile ambayo Zuhura Yunus na Salim Kikeke wameitoa kwa nchi yao England?

Mbili identity ya huyu mtangazaji ambaye anajulikana kama presenter wa BBC ki-profession, haijulikani. Inakuwaje mda wote huo aiitwe Zuhura Yunus na sasa Zuhura Yunus Abdalah? Hili jina la Abfalah linatumika kivipi na kwa vigezo gani?

Huyu mwanamke, nafikiri watazania wengi mtakuwa mmesahau, alikuwa anatoa taarifa mbovu sana kuhusu sakata la Serikali ya Tanzania na Kampuni ya BARRICK Gold, kiasi kwamba kuna siku alifanya dhahiri kitendo cha kuwapotosha wasilikzaji kwa ku-divert story ya majadiliano yaliyokuwa yakifanyika kati ya serikali ya Tanzania na kampuni ya BARRICK Gold nchini kwa kuhojiana na mtanzania aliyesadikika kama ni mbobebezi katika mambo ya mikataba kama hii huko Canada.

Huyu mtangazaji alikuwa mstari wa mbele sana kwenye kuwapotosha matajiri dunuani walio taka kuwekeza nchini kwa taarifa zake za habari ambazo zilijaa negativity juu ya policy ya nchi yetu, alafu leo tutegemee mtu kama huyu kweli kuibariki nchi yetu ipate mafanikio ya kiuchumi?

Watanzania mnafanya utani na nchi yenu au maisha yenu sio? Mnafikiri huyu mama anauchungu na nyie kweli?
Ndugu punguza chuki na ujielimishe kwanza kabla hujaleta matapishi yako hapa. Unawajua watangazaji Bi Zawadi alikuwa tbc na yule Regina alikuwa itv wakitumia majina gan walipokuw apa na saivi wanatumia majina yapi?
 
Haniu alishindwa kuichangamsha kurugenzi yake, anatakiwa kuwa pro active, kumbrand Rais na mambo anayofanya kwa Taifa,yeye alikuwa anasubiri hafla tu
toka ile barua yake ya kwanza aliyochanganya times new romans na tahoma, mixer ya font 12 na 14 nilijua tu hapa shughuli imeisha
 
Nimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri
MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta.
Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama
Acha uzembe wewe kafiri,udini na ukabila utakusaidia nini

Na kwa nini yule mungu wenu alivokua akijaza wasukuma wenzenu na wakristo ulikua hupanui domo lako
 
Bila ushahidi wa voice au video clip yenye maneno kama ya Afande Sele, huu ni uzushi na upashkuna!
Tena cha kusikitisha utakuta mwandishi ni jinsia ME
 
Watanzania tunakubali kweli mwingereza ambaye mda wote akiwa BBC amekuwa mpinzani wa system yetu na mtu ambaye amekuwa akizi-challenge serikali zetu na ambaye identy yake haijulikani, kuwekwa kwenye position ambayo ni very delikcate kama hii Ikulu?

Watanzania mnaelewa lakini mambo mnayotendewa mbele ya macho yenu na Rais ambaye hana hata feeling ya maisha watanzania?

Ni kitu cha kusikitisha sana kuona Rais ambaye slogan yake ni maendelezo ya kazi iliyo anzishwa na mwenzake, badala ya kuendeleza kazi hiyo ili vijana waweze kuwa na kipato chenye uhakika, yeye anawarudisha watanzania tena nyuma kwenye hali ya wasi wasi na isiyo na uhakika.

Ana malengo gani huyu mama na watanzania? Mbona naona ni racist mkubwa sana wa kijinsia?View attachment 2104029
Cha muhimu ni ufanisi wake haya ya uzalendo ni unafiki mtupu.

Wameshawahi kuajiriwa watanzania wa asilimia 100 na wakaishia kuwa wezi tu na ufanisi mdogo wa kazi.

Huyu huyu Zuhura anaifaa ikulu yenye kutaka ubunifu.
 
Nimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri
MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta.
Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama
Acha kukurupuka
 
Nimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri
MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta.
Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama
Wazanzibari wakijazana bara kuna ubaya gani?

Mbona wasukuma walijaa ikulu enzi za JPM na tukaona poa tu?.

Ufanisi wake ni muhimu zaidi kuliko asili yake.
 
Haya bhana! Umenena ya moyoni.
Kweli Ila watu walikua kimyaa tujifunze kukubali mabadiliko kila MTU na watu wake...Magu baraza la mawaziri alijaza Kanda ya Ziwa tupu!!wasukuma ndo waljaa kila sehemu ajira zilikua zinatolewa kimya kimya na watu walikua kimya...
 
Baadhi yenu hamjui hata taratibu za chumba cha habari..mnaishia kutukana Watayarishaji/ Watangazaji...acheni mihemko..we unamjua Mhariri wake? Una ushahidi wowote? Unadhani maswali anatoa yeye kichwani tu ama kuna fanyika vikao vya briefing kabla kipindi/ show haijaenda hewani? Acheni uswahili bhana, Kwako matusi ni nini? 'Alipotukana' kama unavyotaka kutuaminisha ulichukua hatua gani? Unajua kanuni za utangazaji za Tanzania? Kwanini huioni V.O.A Swahili sikuhizi? Una nufaika nini unapomsagia mtu 'kunguni' kwa hisia zako ambazo hazina uthibitisho? Ok, Alitukana, kwahiyo unataka kutuambia nini? Mantiki ya 'uzi huu' wa kipuuzi ni kama unataka kulipa kisasi juu ya teuzi yake? Retaliation sio? ..mna boa! Mods Pigeni spana hawa wazushi, wanashusha credibility..

Stupidity at its highest order!
Mkuu yani ni bora ukanyimwa vitu vyote kuliko unyimwe Akili. Mlata mada hana Akili.
 
Back
Top Bottom