Ila mimi sijahi kumsikia live akifanya hayo ila bbc haswa kipindi cha Mwendazake mara nyingi walikuwa wakiripoti habari hasi kuhusu TzFuatilia bbc
Punguza hasira...kila Rais na namna yake...2020 sio 2022...Nimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri
MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta.
Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama
Nonesense!Fuatilia bbc
Msigwa vp tulia!!Nimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri
MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta.
Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama
Kunywa sumu , nani kakwambia Zuhura ni mzanzibar ?Nimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri
MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta.
Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama
Akili yako haina akiliNimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri
MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta.
Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama
Aisee...ikulu kuna lipe eeeh...?Mwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.
Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
😳😳😳Kunywa sumu , nani kakwambia Zuhura ni mzanzibar ?
Hanaga hizoo mambo bhana huyo uliyemtaja Japo hakuchana nywele kwenye kikao chake cha mwisho lakini mbona he's so genuine..alisha move on! BTW ni senior kuliko 'post' unayotaka kumchakaza!Msigwa vp tulia!!
kajiunge huko msituni tukuoneNimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri
MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta.
Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama
Mkuu mligombeaga nini na uyo dada akakushinda,Nimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri
MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta.
Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama