mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,904
- 5,240
Tatizo ni PASIKALISoon nae atapewa post,ni swala la muda tu avumilie!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni PASIKALISoon nae atapewa post,ni swala la muda tu avumilie!!
NdiyoKwel?
Ni mmachame bwasheeHuyu dada ni mtu wa Tanga.
Mkuu naomba kueleweshwa hiv ni sheria au Ni utaratib, mtu mwenye asili ya bara anaweza kufanya kazi Zanzibar?? As Kama mwenye asili ya Zanzibar anaweza kufanya kazi bara?? Yaan inaweza kutokea mmakonde akagombea uRais Zanzibar?? Au kuwa waziri/ au kuajiliwa kwenye idara za mhim serikalini??Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, amepasiwa mpira na Charles Hillary ambaye alifanyia mpango kwenda BBC.
Sasa Charles Hillary ni Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu,zanzibar.
Kwahiyo hii dana dana inachezwa bila watanzania kuunganisha matukio.
Hillary kapelekwa zenji akitokea bara na Yunus kaletwa bara akitokea zenji. Hii imechezwa kupumbaza wabongo.
Sio mpare ni mchaga wa MachameMpare
Umesika. Shukrani.Kweli Ila watu walikua kimyaa tujifunze kukubali mabadiliko kila MTU na watu wake...Magu baraza la mawaziri alijaza Kanda ya Ziwa tupu!!wasukuma ndo waljaa kila sehemu ajira zilikua zinatolewa kimya kimya na watu walikua kimya...
Factor ya kuthibitisha uadilifu na weledi huko BBC mtizamo wangu ni kwamba Mazingira aliyofanyia kazi yamelazimu kuwa hivyo. Pia ninaamini hata kwa hiyo nafasi aliyopewa hapo Jengo Jeupe atafanya vizuri kutokana na mazingira kumlazimu kuwa SMART. Ni kazi isiyo Pasua kichwa, ni kazi isiyo na furusa za ubadhilifu,upendeleo, uonezi, wizi au Michongo. Ni kazi ya Kuwasiliana na Uma/Hadhira tena kwa kibali.Itoshe kusema tu nampenda sana..Sina zaidi...kama ameweza kufanya kazi BBC kwa miaka 14 bila makandokando,. Baasi ni vetting tosha kupitia kwa wazungu wale..hata kama alikuwa akicheza ngoja yao..mtu ambaye amepinda angecheza na mwishowe angeteleza..somehow...
Mwaka wa waislam halafu hapo hapo umemtaja Jaffari Haniu kama vile ni mkristu!.Mwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.
Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
Pascal anakaribia miaka 60 akipata hizi kazi ni bahati sana kwake.Na hii umeikosa Bwana Pascal
Wonders shall never end
Siamini Kinachotokea hapa uwanjani, Pascal Mayalla anawekwa benchi tena
Baba mpare mama mzenjiZuhura ni mzenji pure kabisa.
Retired umri wako na haya ya udini uliyoandika ni vitu viwili tofauti.Let us wait and see if she will be free to "write"..... ushungi mwenzake.... mambo yameiva sasa. Bado msikiti kujengwa Ikulu!
Uislam na waislam ni sehemu ya tanzaniawhatever! that does not invalidate the Samia intention.....
Hawanaga umri hao..hao wa zamani ndo wadini kinoma,mfano pengoRetired umri wako na haya ya udini uliyoandika ni vitu viwili tofauti.
Walikuwa wanasema sana yani tena sana members kina Ritz kahtaan Mlolongo njiwa FaizaFoxy Otterhound Kikwajuni OneHapa ndugu unakosea sana...mbona hao waislam wakati wa Magufuli akifanya teuzi walikuwa hawasemi kuwa mwaka wa wakristo huu! Usitake niamini "the lights are on,but nobody is home!
Mtu wa system huyo kitambo sana.Shangazi mzuri mzuri kama huyu anakubali kwenda kudhalilishwa na MaCCM kwa kuanza kulazimishwa kuongea uwongo na kueneza propaganda za maji taka🐒🐒🐒
View attachment 2105586
Nikikumbuka vile ambavyo hutaki Samia afike 2030 huwa nacheka sana😁😁😁Mtu wa system huyo kitambo sana.