Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,989
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Zuhuru Yunus amesema moja ya mambo ambayo Rais Samia Suluhu Hassan amezungumza na Muigizaji Maarufu wa Filamu Duniani kutoka Uingereza Idris Elba ambaye ni Balozi wa hisani wa Umoja wa Mataifa wa IFAD alipokuwa Davos nchini Uswizi ni kuhusu ujenzi wa studio kwa ajili ya filamu.
Zuhura amesema kilichofanyika ni mazungumzo ya awali bila kutoa taarifa kwa undani kuhusu mikakati zaidi.
Zuhura amesema kilichofanyika ni mazungumzo ya awali bila kutoa taarifa kwa undani kuhusu mikakati zaidi.