Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,548
- 3,459
Kwani tatizo hapo ni nini?
Sijaja kutafuta heshima humu kwa madogo na wapuuziUmejidhalilisha sana kupitia huu uzi .
Alishasema alifeli mtihani wa kidato cha nne“Mtuambie wenzetu wamefanya uchawi gani kukua kiuchumi,na sisi tunakosa nini, tuna rasilimali hatuzitumii? au kitu gani, ila niseme ni wazi wenzetu wamepiga hatua kubwa sana licha ya kuwa sisi tumewazidi kwenye rasilimali diplomasia ya uchumi ifanye kazi hapa, tujiulize tuliachwa wapi?” - Rais SuluhuSamiaView attachment 2718932
Haiwezekani tuna kiongozi mkubwa wa nchi bado anaamini masuala ya giza katika kupata maendeleo makubwa ya kiuchumi , it look like hana a,b, c yoyote ili nchi ipate maendeleo ya kiuchumi ifanye nini ?
Hivi hili ni taifa la namna gani mtu yoyote asiwe na uelewa na masuala ya nchi kupiga hatua anapewa nafasi kubwa ya kuwa kiongozi wa nchi katika dira ya maendeleo.
Nikisema kuwa hili taifa linaongozwa na kipofu wa masuala ya maendeleo na uongozi nitakuwa nakosea jamani ?
Kwamba Rais hafahamu kuwa ili China, Russia, Qatar, U.S.A, Germany, Singapore, Malaysia, Korea, Japan n.k walifanya nini ili kupata maendeleo yao ya kiuchumi ?
Kwa kumsaidia nampa hawa watu wawe walimu kwake, ni nini kifanyike ili taifa lipate maendeleo makubwa ya uchumi na aache kuwatupia mzigo mabalozi ambao hata yeye akiaamua kuwa serious anaweza kujifunza nini kutoka kwa hawa viongozi mazuri yao economically na kutuvusha hapa tulipo:-
Francisco Franco
Park Chung Hee
Chiang kai shek
Deng Xiaoping
Urho Kekkonen
Mahathir Mohamad
Muammar Gaddafi
Lee Kuan Yew
Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum
Tatizo ni kuwa na kiongozi wa nchi asiejua chochote kuhusu maendeleo ya kiuchumi ya nchi hii ni hasara kubwa sanaKwani tatizo hapo ni nini?
Muujiza ni miracle na wewe umekosea.....wonders ni maajabuRudi shule wewe.Superstition in ushirikina. Magic ni uchawi.Miujiza ni wonders.
Inasikitisha.
Ina reflect anacho zungumzaAlishasema alifeli mtihani wa kidato cha nne
Kweli kabisa ,neno uchawi ni maarafu sana mitaani hata katika maongezi ya kawaida ikimaanisha maajabu au njia ya mkato sometimes mfano mtu anaweza kuwaambia wanafunzi "hakuna uchawi soma ufaulu"na mifano ipo mingi kama vile ; "mchawi pesa"Samahani mwandishi nadhani utakuwa ni miongoni mwa watu wenye akili ndogo sana hapa duniani kama kauli ndogo kama hii ya Mh.Rais umeshindwa kuitafsiri.
OKSijaja kutafuta heshima humu kwa madogo na wapuuzi
Tumekupata kikolo,chana!Mojawapo ya sifa kuu ya nchi zilizopiga maendeleo ni vita vikali dhidi ya rushwa na ufisadi. Yaani hawacheki na fisadi. Ukifisadika aisee ama unafungwa maisha au unauliwa tu maana hakuna namna. Na pesa yote uliyoiba lazima utairudisha wewe na ukoo wenu wote ikiwezekana. Hii ndiyo siri yao kuu mojawapo.
Halafu wana viongozi wazalendo, wenye maono na wasiotetereka. Ili kuendelea unahitaji viongozi ambao wanapigania legacy na siyo matumbo yao. Kiongozi yupo tayari asitajirike lakini anawaza miaka 200 ijayo wananchi wa Thailand watanikumbukaje; na siyo kuwaza utajiri wa familia yangu utakuwaje.
Nenda Thailand leo. Nenda Singapore. Nenda Malaysia. Wote hawa tulipata nao uhuru karibia miaka sawa lakini wako mbali mno. Wanajitambua. Wanajithamini. Wanasonga mbele.
Sisi bila kukomesha/kupunguza rushwa na ufisadi kamwe hatutakaa tuendelee. Bila viongozi wazalendo hatutakaa tuendelee. Bila watu wetu kuwa na mvuvumko wa kifikra na kimaendeleo mambo hayatabadilika.
View attachment 2718967
Tunakomeshaje ufisadi? Tunapataje viongozi wazalendo? Ukipitia bandiko hili hapa chini bila shaka angalau utapata mahali pa kuanzia. Siyo kazi rahisi, ni ya muda mrefu, inakatisha tamaa lakini inabidi tuifanye kama kweli tunataka siku moja tuweze kuendelea.
SoC03 - Njia za Kutokomeza Ufisadi na Kuleta Mabadiliko ya Kiuwajibikaji na Kiutawala kwa Maendeleo Shirikishi ya Nchi Yetu
Samahani Andiko limefutwa!www.jamiiforums.com
Wewe unahisi raisi katumia neno uchawi akimaanisha mazingaombe? Hapa unakatisha tamaa kabisaKipo clear kuwa yeye mpaka sasa hafahamu ili kupata maendeleo ya kiuchumi nini kifanyike ? Na anafikiri kuwa ni mazingaombwe China, Korea, U.S.A, Japan kuwa pale zilipo ? Si atoke sasa ikulu awaachie wanaojua ?
NDio sahihi!Huko mafisadi hawaitwi stupid,wanashitakiwa na kuadhibiwa
Hiyo ni tafsida ya lugha, sio kama unavyotaka kumtuhumu. Angeweza nyofoa neno uchawi akaweka neno "mbinu". Simkubali Sa100 lakini sijaona kosa kwenye sentensi hii“Mtuambie wenzetu wamefanya uchawi gani kukua kiuchumi, na sisi tunakosa nini, tuna rasilimali hatuzitumii? au kitu gani, ila niseme ni wazi wenzetu wamepiga hatua kubwa sana licha ya kuwa sisi tumewazidi kwenye rasilimali diplomasia ya uchumi ifanye kazi hapa, tujiulize tuliachwa wapi?” - Rais SuluhuSamia
View attachment 2718932
Haiwezekani tuna kiongozi mkubwa wa nchi bado anaamini masuala ya giza katika kupata maendeleo makubwa ya kiuchumi , it look like hana a,b, c yoyote ili nchi ipate maendeleo ya kiuchumi ifanye nini ?
Hivi hili ni taifa la namna gani mtu yoyote asiwe na uelewa na masuala ya nchi kupiga hatua anapewa nafasi kubwa ya kuwa kiongozi wa nchi katika dira ya maendeleo.
Nikisema kuwa hili taifa linaongozwa na kipofu wa masuala ya maendeleo na uongozi nitakuwa nakosea jamani ?
Kwamba Rais hafahamu kuwa ili China, Russia, Qatar, U.S.A, Germany, Singapore, Malaysia, Korea, Japan n.k walifanya nini ili kupata maendeleo yao ya kiuchumi ?
Kwa kumsaidia nampa hawa watu wawe walimu kwake, ni nini kifanyike ili taifa lipate maendeleo makubwa ya uchumi na aache kuwatupia mzigo mabalozi ambao hata yeye akiaamua kuwa serious anaweza kujifunza nini kutoka kwa hawa viongozi mazuri yao economically na kutuvusha hapa tulipo:-
Francisco Franco
Park Chung Hee
Chiang kai shek
Deng Xiaoping
Urho Kekkonen
Mahathir Mohamad
Muammar Gaddafi
Lee Kuan Yew
Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum
Wonders ni maajabuRudi shule wewe.Superstition in ushirikina. Magic ni uchawi.Miujiza ni wonders.
Haya majina mengine mnayojipa ni makubwa kuliko vile mlivyo! Mnayadhalilisha sanaHaji ulizi anawauliza nyie mbumbumbu kuwa wenzetu wana uchawi gani waweze sisi tushindwe? Maana yake yanawezekana hata sisi tunaweza. Watafsirie na wenzio