Rais Samia amewatuma Mabalozi wakaulize wenzetu wamefanya uchawi gani kukua haraka kiuchumi

hakuna wezi katika serikali wanapokamatwa wanahukumiwa hapa kwenda wsnapewa nafasi waibe tena hiyo ndio tatizo
 
“Mtuambie wenzetu wamefanya uchawi gani kukua kiuchumi, na sisi tunakosa nini, tuna rasilimali hatuzitumii? au kitu gani, ila niseme ni wazi wenzetu wamepiga hatua kubwa sana licha ya kuwa sisi tumewazidi kwenye rasilimali diplomasia ya uchumi ifanye kazi hapa, tujiulize tuliachwa wapi?” - Rais SuluhuSamia

View attachment 2718932

Haiwezekani tuna kiongozi mkubwa wa nchi bado anaamini masuala ya giza katika kupata maendeleo makubwa ya kiuchumi , it look like hana a,b, c yoyote ili nchi ipate maendeleo ya kiuchumi ifanye nini ?

Hivi hili ni taifa la namna gani mtu yoyote asiwe na uelewa na masuala ya nchi kupiga hatua anapewa nafasi kubwa ya kuwa kiongozi wa nchi katika dira ya maendeleo.

Nikisema kuwa hili taifa linaongozwa na kipofu wa masuala ya maendeleo na uongozi nitakuwa nakosea jamani ?

Kwamba Rais hafahamu kuwa ili China, Russia, Qatar, U.S.A, Germany, Singapore, Malaysia, Korea, Japan n.k walifanya nini ili kupata maendeleo yao ya kiuchumi ?

Kwa kumsaidia nampa hawa watu wawe walimu kwake, ni nini kifanyike ili taifa lipate maendeleo makubwa ya uchumi na aache kuwatupia mzigo mabalozi ambao hata yeye akiaamua kuwa serious anaweza kujifunza nini kutoka kwa hawa viongozi mazuri yao economically na kutuvusha hapa tulipo:-
Francisco Franco
Park Chung Hee
Chiang kai shek
Deng Xiaoping
Urho Kekkonen
Mahathir Mohamad
Muammar Gaddafi
Lee Kuan Yew
Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum
Siku hizi simuelewagi kabisaa mama.

Siku zipite tukapige kura kumchagua rais mpya
 
“Mtuambie wenzetu wamefanya uchawi gani kukua kiuchumi, na sisi tunakosa nini, tuna rasilimali hatuzitumii? au kitu gani, ila niseme ni wazi wenzetu wamepiga hatua kubwa sana licha ya kuwa sisi tumewazidi kwenye rasilimali diplomasia ya uchumi ifanye kazi hapa, tujiulize tuliachwa wapi?” - Rais SuluhuSamia

View attachment 2718932

Haiwezekani tuna kiongozi mkubwa wa nchi bado anaamini masuala ya giza katika kupata maendeleo makubwa ya kiuchumi , it look like hana a,b, c yoyote ili nchi ipate maendeleo ya kiuchumi ifanye nini ?

Hivi hili ni taifa la namna gani mtu yoyote asiwe na uelewa na masuala ya nchi kupiga hatua anapewa nafasi kubwa ya kuwa kiongozi wa nchi katika dira ya maendeleo.

Nikisema kuwa hili taifa linaongozwa na kipofu wa masuala ya maendeleo na uongozi nitakuwa nakosea jamani ?

Kwamba Rais hafahamu kuwa ili China, Russia, Qatar, U.S.A, Germany, Singapore, Malaysia, Korea, Japan n.k walifanya nini ili kupata maendeleo yao ya kiuchumi ?

Kwa kumsaidia nampa hawa watu wawe walimu kwake, ni nini kifanyike ili taifa lipate maendeleo makubwa ya uchumi na aache kuwatupia mzigo mabalozi ambao hata yeye akiaamua kuwa serious anaweza kujifunza nini kutoka kwa hawa viongozi mazuri yao economically na kutuvusha hapa tulipo:-
Francisco Franco
Park Chung Hee
Chiang kai shek
Deng Xiaoping
Urho Kekkonen
Mahathir Mohamad
Muammar Gaddafi
Lee Kuan Yew
Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum
Kufa kwa kanumba nako kumechangia
 
Hiyo ni figure of speech lakini hili lijinga halijaelewa.
Hata kwenye kiingereza huwa kuna maneno kama hayo kwa mfano mtu akiwa anasifia goli zuri lililofungwa anasema "that was pure magic"!
Hana maana ya uchawi.
Unachekesha na wewe embu acha aisee,hoja si iyo unayosema hoja ni yeye kutojua kwanini maendeleo yamepatikana kule.
Yani mpaka mm mtu wa kawaida nimeishangaa hii kauli
 
Ndiyo hiyo inayo itwa kupinga kila Jambo
Hata huo msemo hujui
Mchawi wa soka
Mchawi wa hesabu
Mchawi wa kompyuta
Maana yake sio ulozi unaotaka tuamini
Kilicho ongelewa hapo ni kitu gani cha ajabu walicho Fanya wenzetu
Kwa iyo yeye hajui walichofanya
 
Huna strategy ya ku boost exports, unauliza uchawi?


Japan GDP grew 6%, easily beating expectations on robust exports​

PUBLISHED MON, AUG 14 20237:53 PM EDTUPDATED TUE, AUG 15 20233:44 AM EDT
thumbnail

Clement Tan@CLEMTAN

KEY POINTS
  • Quarterly expansion came in at a more modest 1.5%, versus expectations for 0.8% growth.
  • Optimism was tempered by muted domestic demand, given a surprise drop in private consumption expenditure despite the first employee compensation sequential increase in seven quarters.
Japan’s economy posted its third straight quarterly expansion, provisional government data showed Tuesday, as robust export growth contributed to an annualized 6% expansion in the second quarter, handily beating market expectations.

Economist surveyed by Reuters had expected the world’s third-largest economy to post 3.1% growth in the April-June quarter. The impressive gross domestic product data translated to a more modest quarterly expansion of 1.5%, topping expectations for 0.8% growth.

The benchmark Nikkei 225 index extended gains slightly to trade up nearly 1%, while the Japanese yen pared losses against the U.S. dollar and Japanese government bonds across the various tenures were broadly unchanged.

Tuesday’s GDP print followed an annualized 2.7% growth in the first quarter, pointing to a continued post-Covid recovery for Japan’s economy. Still, the narrower gap between reality and expectation in quarter-on-quarter growth tempers any longer-term optimism.

“Japan’s economy expanded at an extremely rapid pace last quarter, but we expect a renewed slowdown across the second half of the year,” Marcel Thieliant, head of Asia-Pacific at Capital Economics, wrote in a note.
“However, the details of the report weren’t as impressive as the headline,” he added. “Instead, nearly all of the increase in output was driven by a 1.8%-pts boost from net trade. That marked the second-largest contribution from net trade in the 28-year history of the current GDP series, with only the bounce back in exports from the first lockdown at the beginning of the pandemic providing a larger boost.”
Exports rebounded 3.2% from the previous quarter — largely driven by the spike in car shipments — while imports plunged 4.3% over the time period.

Other details beyond the rosy headline GDP growth figure suggest the Bank of Japan is likely to revert from its ultra-easy monetary posture.
A surprise 0.5% annualized drop in private consumption expenditure, along with flat capital expenditure pointing to muted domestic demand despite the first employee compensation sequential increase in seven quarters.
This comes as inflation has exceeded the BOJ’s 2% target for 15 consecutive months. In July, the Japanese central bank loosened its yield curve control over the 10-year Japanese government bond in a modification it says was intended to make its ultra-easy monetary position more sustainable.
 
“Mtuambie wenzetu wamefanya uchawi gani kukua kiuchumi, na sisi tunakosa nini, tuna rasilimali hatuzitumii? au kitu gani, ila niseme ni wazi wenzetu wamepiga hatua kubwa sana licha ya kuwa sisi tumewazidi kwenye rasilimali diplomasia ya uchumi ifanye kazi hapa, tujiulize tuliachwa wapi?” - Rais SuluhuSamia

View attachment 2718932

Haiwezekani tuna kiongozi mkubwa wa nchi bado anaamini masuala ya giza katika kupata maendeleo makubwa ya kiuchumi , it look like hana a,b, c yoyote ili nchi ipate maendeleo ya kiuchumi ifanye nini ?

Hivi hili ni taifa la namna gani mtu yoyote asiwe na uelewa na masuala ya nchi kupiga hatua anapewa nafasi kubwa ya kuwa kiongozi wa nchi katika dira ya maendeleo.

Nikisema kuwa hili taifa linaongozwa na kipofu wa masuala ya maendeleo na uongozi nitakuwa nakosea jamani ?

Kwamba Rais hafahamu kuwa ili China, Russia, Qatar, U.S.A, Germany, Singapore, Malaysia, Korea, Japan n.k walifanya nini ili kupata maendeleo yao ya kiuchumi ?

Kwa kumsaidia nampa hawa watu wawe walimu kwake, ni nini kifanyike ili taifa lipate maendeleo makubwa ya uchumi na aache kuwatupia mzigo mabalozi ambao hata yeye akiaamua kuwa serious anaweza kujifunza nini kutoka kwa hawa viongozi mazuri yao economically na kutuvusha hapa tulipo:-
Francisco Franco
Park Chung Hee
Chiang kai shek
Deng Xiaoping
Urho Kekkonen
Mahathir Mohamad
Muammar Gaddafi
Lee Kuan Yew
Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum
Hapo the grand master ni mmoja tu
Lee kuan yew hao wa china wenyewe wamesoma kwake pia wakajifunze kwenye ile institute ya public administration ya LKY the grand master wachina mameya wa majiji ilikuwa lazima wakasome huko , wakapata sana watu wenye weledi wakuendesha local govt huku tunapewa wakurugenzi wa halmashauri wanakaa kwenye halmashauri zina rasilimali ila hawana ubunifu wala tija wa kuzitumia kubadilisha hayo maeneo yao na kuyaboresha kimapato na kimuonekano .
 
Rais Samia Suluhu Hassan anasema :

"Sote tunafahamu kuwa miaka ya 1960/70 nchi yetu na nchi za bara la Asia zilikuwa na uchumi unaolingana, lakini 'baada ya muda' wenzetu wametupita tena sana. Mfano Thailand kwa miaka hiyo ilikuwa na 'GDP Per Capita' ya Dola 166 na Tanzania tulikuwa 165. Leo Thaliland wako Dola 7,495 na sisi tuko 1,227.

Kwa hiyo hao mnaokwenda upande huo (Mabalozi) mtuambie wenzetu wamefanya uchawi gani kwenda haraka hivyo na sisi tunakosa nini? 'mentality' au vitu gani? Tuna 'resource' hatuzitumi? Mtuambie wenzetu
wamefanya nini na sisi tufanye nini."

Yaani Rais kushindwa kuelewa suala kama Hilo, why nchi kama Thailand imepaa kiuchumi? Kweli hapa katiba imetukatili..ndio maana nchi zingine Rais akifariki wanaitisha uchaguzi mkuu ili wananchi wampime kama anatosha kukalia hicho kiti na je ana uelewa mpana wa dhana ya maendeleo?
Ukiona hivyo ujue system imefeli big time. Yaan mtu mpaka anakuwa rais hajui nini wenzetu wamefanya au nini kifanyike ili tutoke hapa.
 
Wananchi wana majibu lakini rais hajui na hana majibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Utapataje maendeleo wewe mwenyewe umewaruhusu mbuzi wako kila mmoja wao "ALE KWA UREFU WA KAMBA YAKE"!
Sasa huyo ndio RAIS hajui nchi kama SINGAPORE zilipataje maendeleo, ukimwambia asome kitabu cha marehemu Waziri ao Mkuu LEE KUAN YEW kiitwacho " FROM THIRD WORLD TO FIRST" Samia anaweza kukisoma na kuelewa? sioni ajabu hata siku moja kwanini nchi hii imejaa matapeli!
 
Inaonekana wengi mmekulia Kijijini kiswahili mmekutana nacho baada ya kuja Chuo daslm mtu kusema wenzetu wametumia uchawi gani mnatafsiri hivyo hivyo kama alivyosema aisee mbona ni Lugha ambayo hata mtaani ipo...ni sawa na kusema Mzee umetumia sarakasi gani kupata hii Ford Ranger ya 2022 hapo mtatafsiri huyo jamaa aliruka masarakasi ili apate hiyo Ford Ranger...

Ila nachoshangaa wanaingia Mikataba mibovu wanaowastua wanawaweka jela harafu baadae anakuja kuuliza mbinu za Nchi kuwa tajiri hapa kazi ipo...
 
Back
Top Bottom