Rais Samia afanya Ufunguzi wa Barabara ya Nyahua – Chanya Mkoani Tabora

Hii barabara imeanza kujengwa toka enzi za Mkapa na JK akaiendeleza kwa kiwango cha lami. Acha kupotosha umma kwa kumsifu huyo Mungu mtu wako.
Umemsikia vizuri lakini mama samia? Anakuambia 2014 kulikuwa na kilio tabora haina barabara, leo imeunganishwa kwa barabara. Ni kazi ya 2015 - 2021.
 
Umemsikia vizuri lakini mama samia? Anakuambia 2014 kulikuwa na kilio tabora haina barabara, leo imeunganishwa kwa barabara. Ni kazi ya 2015 - 2021.
Hiyo barabara kwa mara ya kwanza nimepita 2004 na NBS kuelekea Dar na kwa mara ya kwanza nimetoka Tabora asubuhi nafika Dar saa moja jioni. Kabla ya hapo treni tulikuwa tunasafiri siku mbili. Mengine unayoeleza hapa ni kutaka kumsifu tu yule bwana mkubwa wa Chato.
 
Hiyo barabara kwa mara ya kwanza nimepita 2004 na NBS kuelekea Dar na kwa mara ya kwanza nimetoka Tabora asubuhi nafika Dar saa moja jioni. Kabla ya hapo treni tulikuwa tunasafiri siku mbili. Mengine unayoeleza hapa ni kutaka kumsifu tu yule bwana mkubwa wa Chato.
2004 lami? Ila kuhusu hiyo barabara hasa kutoka manyoni mpaka tabora (255km) ilikua vumbi hadi kufikia 2013, 2014 ukaanza mchakato wa kuitoa lami kutoka manyoni hadi Itigi.
Na Hadi JK anaondoka kilikua kimebaki kipande cha km 90 ambacho ndio kimekaa kwa miaka mingi maana kilikua kinajengwa taratibu sana toka 2014 kimekuja kuisha 2020, imagine kipande Cha km 90 tu, na hata Magufuli asingekua raisi kingeendelea kujengwa tu
Ipo hivi hata JK asingekua raisi, hiko kipande mbeleni huku kingejengwa tu, na hata Magufuli asingekua raisi bado kingejengwa tu.
Ni sawa na sasa hivi kipande cha Tabora kigoma, ni lazima kitajengwa na kumalizika tu.
Na hata huko baadae kipande Cha Tabora Mbeya nacho kitakuja kujengwa tu iwe na Samia au raisi mwingine.
Sioni sababu ya kubishana nani kajenga nani hajajenga
 
2004 lami? Ila kuhusu hiyo barabara hasa kutoka manyoni mpaka tabora (255km) ilikua vumbi hadi kufikia 2013, 2014 ukaanza mchakato wa kuitoa lami kutoka manyoni hadi Itigi.
Na Hadi JK anaondoka kilikua kimebaki kipande cha km 90 ambacho ndio kimekaa kwa miaka mingi maana kilikua kinajengwa taratibu sana toka 2014 kimekuja kuisha 2020, imagine kipande Cha km 90 tu, na hata Magufuli asingekua raisi kingeendelea kujengwa tu
Ipo hivi hata JK asingekua raisi, hiko kipande mbeleni huku kingejengwa tu, na hata Magufuli asingekua raisi bado kingejengwa tu.
Ni sawa na sasa hivi kipande cha Tabora kigoma, ni lazima kitajengwa na kumalizika tu.
Na hata huko baadae kipande Cha Tabora Mbeya nacho kitakuja kujengwa tu iwe na Samia au raisi mwingine.
Sioni sababu ya kubishana nani kajenga nani hajajenga
2004 haikuwa lami lakini ilikuwa inapitika vizuri tu. Nakubaliana na hoja zako lakini napinga hoja za yule jamaa kutaka kuelekeza sifa zote kwa Magufuli kana kwamba waliotangulia hakuna walichofanya. Kwa miaka mingi mkoa wa Tabora umekuwa na changamoto za usafiri wa barabara lakini kwa miaka ya hivi karibuni hali inazidi kuwa bora. Hivi sasa kuna mabasi mpaka kutoka Moshi na Arusha yanayofika Tabora na yanafika muda mzuri tu.
 
2004 haikuwa lami lakini ilikuwa inapitika vizuri tu. Nakubaliana na hoja zako lakini napinga hoja za yule jamaa kutaka kuelekeza sifa zote kwa Magufuli kana kwamba waliotangulia hakuna walichofanya. Kwa miaka mingi mkoa wa Tabora umekuwa na changamoto za usafiri wa barabara lakini kwa miaka ya hivi karibuni hali inazidi kuwa bora. Hivi sasa kuna mabasi mpaka kutoka Moshi na Arusha yanayofika Tabora na yanafika muda mzuri tu.
Upo sahihi, Ila kabla ya lami kuisha ilikua haipiti vizuri wakati wa mvua hasa hasa hapo Nyahua na kizengi
 
Nchi hii alianza kuifungua kwa lami JPM, toka waziri hadi rais kafanya makubwa kwenye miundombinu ya barabara!, sasa alitaka kuondoa kwenye safari za siku mbili(dar-mwanza), tutumie masaa machache (SGR) lakini haijawezekana!, sasa sijui kama itakuja wezekana maana hata bwawa la Nyerere limekwama!
 
Hiyo barabara imetesa watu Sana hiyo aiseh!!big up jpm!!

Hiyo barabara ina umuhimu gani? I mean, inapitia sehemu gani kwa maana nasoma majina ya sehemu sijawahi kuyasikia Nyahua Chanya au labda inaunganisha Miji/Wilaya gani na urefu wa km ngapi kwa kukisia ili niweze angalau kuelewa kinachoendelea, Asante!
 
Nchi hii alianza kuifungua kwa lami JPM, toka waziri hadi rais kafanya makubwa kwenye miundombinu ya barabara!, sasa alitaka kuondoa kwenye safari za siku mbili(dar-mwanza), tutumie masaa machache (SGR) lakini haijawezekana!, sasa sijui kama itakuja wezekana maana hata bwawa la Nyerere limekwama!
Akina Shabibi mabasi yao yafanye kazi gani?
 
Hiyo barabara ina umuhimu gani? I mean, inapitia sehemu gani kwa maana nasoma majina ya sehemu sijawahi kuyasikia Nyahua Chanya au labda inaunganisha Miji/Wilaya gani na urefu wa km ngapi kwa kukisia ili niweze angalau kuelewa kinachoendelea, Asante!
Hapo kikubwa pesa imepigwa basi
 
Ila kwa upande wangu mimi nadhani kuna mahali tunamu-overload Mama. Tatizo ninaloliona hapa tume-overlook kitu kimoja cha msingi kiasi kwamba tunatamani sana safari za ndani za Mama ziwe sawa kama zilivyokuwa za mtangulizi wake Hayati JPM, kitu ambacho siyo sahihi sana. Hii ni kutokana na ukweli kuwa kabla JPM hajawa Rais, kazi yake yeye ilikuwa ni kushinda mabarabarani anakagua na kushirirki kuzindua miradi ya barabara; kwa hiyo JPM alikuwa amezoea sana hizi kazi za kutembea tembea nje ya Ofisi pamoja na kushiriki kwenye uzinduzi wa miradi kama hii ya barabara. Mama naye afanye sana ila kwa kiasi chake; kwa haya mambo mengine ya nje ya ofisi ila tusitake sana afanye kwa kiwango sawa na kile cha mtangulizi wake JPM. Tena ni mwanamke wa shoka tu ila kama angekuwa sawa na walio wengi, angekuwa tayari ameshaomba mwenyewe mahali fulani arekebishiwe uzito wa mzigo upungue kidogo.

Mama anahudhuria hafla za ukaribisho hadi mpaka siku za sikukuu kana vile Idd. Possibly kuna haja ya kumwangalia kidogo katika hili
 
Umemsikia vizuri lakini mama samia? Anakuambia 2014 kulikuwa na kilio tabora haina barabara, leo imeunganishwa kwa barabara. Ni kazi ya 2015 - 2021.
Mama kaingizwa Chaka,2014 nzega tabora lami ipo(118km),hicho kipande (80km)alibakiza jakaya na pesa ya kumaliza aliacha,napita hiyo njia kila mwaka kwa miaka 22 iliyopita
 
Ni kichaa pekee atakayemwonea wivu marehemu. Mimi pia nasubiria zamu yangu, Ila siwezi kumwonea wivu dikteta, jambazi na jizi kama lile
Basi mpe hongera kwa kujenga flyover ubungo na stand nchi nzima.
 
Back
Top Bottom