Rais Samia 2021/22 amepunguza mikopo na misaada kutoka nje

Ndio,

hoja hapa nikweli tunategemea misaada? Imejibiwa

Nikweli kweli Serikali ya Rais Samia ni ya misaada? Jibu hapa hata mtangulizi wake alipokea pia


πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ

Miezi sita ya Rais Samia,

Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona

#KAZIIENDELEE
8.2% -8.1% = 0.1% 😳
 
 
Rais is doing marvelous
 
Mama hata ujipigie debe vipi, kazi imeishakushinda
Ziara ya Rais Samia Kilimanjaro na Mapokezi Arusha yamefana sana. Watu wanajitokeza kwa wingi kwenye mikutano na pote anasimama, wana hamasa kubwa, wanaonyesha imani kubwa kwa Rais, Upendo mwingi, matumaini na namna anawaongoza, wengi wanakiri na kukubali Mama anafanya Makubwa!
 
Wajinga na vichaa ni wengi tz
 
Nikweli kabisa hata mimi nimeona hilo hamasa ni kubwa sana,

Hongera sana Mhe Rais Samia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…