rais ruto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke aliyechomwa kwa kuchora Tatoo ya Rais Ruto afariki

    Mwanamke wa nchini Kenya aliyefahamika kwa jina la Rachel Wandeto, ambaye aliwahi kusambaa mitandaoni baada ya kuchora tattoo ya Rais William Ruto kifuani mwake, ameripotiwa kufariki dunia akiwa anapatiwa matibabu kufuatia shambulio la kuchomwa moto kwa petroli. Rachel Wandeto alidaiwa...
  2. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu ashiriki chakula cha jioni kilichoandaliwa na Rais Ruto

    Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba jana Mei 11, 2026 alishiriki chakula cha jioni cha kitaifa kilichoandaliwa na Rais wa Kenya Dkt. William Ruto kwa heshima ya Wakuu wa Nchi na Serikali wanaoshiriki Mkutano wa Ushirikiano wa Afrika na Ufaransa Dkt. Mwigulu yupo nchini Kenya akimuwakilisha Rais...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mtangazaji wa Radio 47: Rais Samia anataka kutuharibia Rais Ruto

    Baada ya ukimya wa siku kadhaa na madai pia waliotoa kutaka kutekwa! Sasa wale Watangazaji wa Radio 47 ya Kenya akiongozwa na Billy Miya leo waimeibuka na jambo jipya la kusema Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anataka kumharibu Rais William Ruto wa Kenya ambaye ni Rais wao walitoka naye...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Rais Ruto: Makampuni ya Kenya yamewekeza dola bilioni 1.7 Tanzania, huku ya Tanzania yamewekeza dola milioni 336 Kenya

    Akihutubia Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wa Kenya, William Ruto amebainisha kuwa Kenya na Tanzania ni nchi zinazotegemeana, akieleza kupitia Uhusiano wa Biashara kati ya nchi hizo mbili imefikia kiwango cha dola milioni 860 kwa mwaka 2025 huku ikitarajiwa kufikia kiwango cha...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Rais Ruto: Maadui wetu siyo Wakenya wala Watanzania, ni ajira na umasikini

    Rais wa Kenya, William Samoei Ruto, leo Mei 5, 2026, amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kiuchumi na kuunganisha nguvu katika kupambana na changamoto zinazozikabili nchi zote mbili. Pia soma Samia: Nimeongea na Rais Ruto, wale watoto wetu...
  6. Influenza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Seneta Methu, akiwa mbele ya Rais Ruto: Rais Ruto nakuheshimu ila sikuogopi...

    Seneta John Methu alimkabili Rais William Ruto wakati wa ibada ya mazishi ya Mbunge wa Ol Kalou marehemu David Njuguna Kiaraho katika Kaunti ya Nyandarua. Wakati wa ibada hiyo, Methu alimwambia Rais kuwa anamuheshimu lakini hamwogopi. Kauli hizo, ambazo pia zilijumuisha ukosoaji wa utendaji wa...
  7. B

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Hivi ndivyo Rais Ruto alivyo hivi kwa sasa?

  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Riggy Gachagua: Rais Ruto alipanga kuiba Nairobi Hospital na Nairobi Railway tukamuanika, amekasirika

    Aliyekuwa Naibu wa Rais wa Kenya, Rigath Gachagua ameendelea kumkabia kooni Rais Ruto kwa kuendelea kumshambulisha kutokea kila upande. Riggy anamtuhumu Ruto kwa ufisadi uliokithiri nchini Kenya huku akihoji anataka kuiba ngapi ndiyo aridhike?
  9. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais Ruto alaani mashambulizi yanayoendelea Mashariki ya Kati adai ni tishio kwa amani na usalama Kimataifa

    Rais wa Kenya, William Ruto, amesema Kenya inalaani vikali mashambulizi yaliyofanyika dhidi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Qatar, Saudi Arabia, Iraq, Oman, Kuwait, Jordan na Bahrain katika mzozo unaoendelea kuongezeka Mashariki ya Kati. Amesema ni wazi kuwa kuenea kwa mzozo huo katika...
  10. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mchungaji ajiuzulu baada ya Askofu wao kumkaribisha Rais Ruto Kanisani kwao kinyume na matakwa ya wengi

    Charles Wachira, mchungaji mwandamizi katika kanisa la Jesus Christ Compassion Ministry (JCM), amejiuzulu wadhifa wake baada ya kiongozi wa kanisa hilo, Askofu Ben Kiengei kukubali kumkaribisha Rais William Ruto siku ya Jumapili, hatua ambayo amesema imefanywa “kinyume na matakwa ya wengi.”...
  11. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais Ruto anasurika kuvamiwa na kijana wakati akihutubia kongamano la kibiashara la NYOTA Business Forum

    Maafisa wa usalama wa Rais wa Kenya, William Ruto, wamelazimika kuingilia kati kuzuia kijana mmoja aliyetaka kulisogelea jukwaa wakati Rais akiwahutubia washiriki wa kongamano la kibiashara la NYOTA Business Forum. Tukio hilo limetokea wakati wa hafla ya kutoa mitaji kwa wafanyabiashara wapya...
  12. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu hapa Cyrus Shakhalaga Khwa Jirongo, aliyemtambulisha Rais Ruto kwenye ulimwengu wa siasa hadi ajali kukatisha uhai wake

    Jana Desemba 13,2025 Taifa la Kenya liliingia kwenye majonzi baada ya kumpoteza mwanasiasa mashuhuru na mfanyabiashara, Cyrus Jirongo maarufu CJ kwa ajali ya gari akiwa na miaka 64. Jirongo alifikwa na mauti kufuatia ajali iliyohusisha gari yake aliyokuwa akiendesha mwenyewe Mercedes-Benz...
  13. stakehigh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais Ruto asema hatajutia agizo la kupiga risasi waandamanaji

    https://m.youtube.com/watch?v=PTqDwq2Afgs
  14. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Ruto: Sisemi Tanzania hakuna demokrasia, lakini Kenya huwezi kushinda Uchaguzi kwa asilimia 96

    Hapa Ruto ni kama ametupa jiwe gizani hivi Yaani kapiga kwenye mshono alafu kajitetea
  15. Richard

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Je, Rais Ruto kumsogeza karibu Gideon Moi mtoto wa hayati Danile Arap Moi na kumteua kuwa naibu waziri mkuu?

    Nipo mitaa ya jijini Nairobi nikibarizi habari za hapa na pale na leo nimepata kusikia tetesi za Raisi Ruto kufikiria kumteua bwana Gideon Moi kuwa makamu wa waziri mkuu wa Kenya. Bwana Gideon ni kiongozi wa chama cha KANU na ni mtoto wa aliekuwa raisi wa Kenya Mzee Daniel Arap Moi ambae...
  16. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mazishi ya Raila Odinga, viongozi mbalimbali wamehudhuria ikiwemo Rais Ruto

    Viongozi mbalimbali wakiongozwa na Rais wa Kenya Dr. William Ruto https://www.youtube.com/watch?v=YT87RClirPI Miongoni mwa Waliohudhuria mazishi ni Rais wa Kenya - Samweli Ruto Naibu Rais Kenya - Prof Kithure Kindiki Mama Aida Odinga na Familia ya Odinga Rais Mstaafu wa Kenya - Uhuru kenyatta...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vurugu zazuka mazishini Kitutu Chache baada ya Wabunge kugombana kuhusu Rais Ruto

    Sherehe ya mazishi katika eneo la Kitutu Chache Kaskazini iligeuka vurugu baada ya Wabunge wawili, Japheth Nyakundi (Kitutu Chache Kaskazini) na Anthony Kibagendi (Kitutu Chache Kusini), kushikana kwa mapigano wakizozana kuhusu Rais William Ruto. Vurugu zilianza baada ya Mheshimiwa Kibagendi...
  18. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais Ruto ajinasibu kuwa yeye ndiye Rais msomi zaidi kuwahi kuchaguliwa nchini Kenya

    Rais William Ruto: Watu wengi hawaelewi kwa nini nafanya kazi kwa bidii kubadilisha Kenya. Baadhi wanasema nafanya mambo mengi sana katika muhula wangu wa kwanza kiasi kwamba ningesukuma miradi mingine kwa muhula wa pili. Ni kwa sababu nina uzoefu na pia ni msomi. Mimi ndiye Rais msomi zaidi...
  19. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Rais Ruto alisema atakuwa mstari wa mbele kubadilisha ukomo wa muhula

  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maseneta Watishia Kuwang’oa Maspika Iwapo Rais Ruto Hataitwa Kutoa Ushahidi wa Tuhuma za Rushwa

    Maseneta sasa wametoa vitisho vya kuanzisha mchakato wa kuwapigia kura ya kutokuwa na imani (impeachment) Maspika wa Bunge la Kitaifa na Seneti iwapo hawatamuita Rais William Ruto kufika mbele ya Bunge kutoa ushahidi kuhusu waliotajwa kupokea hongo kutoka kwa maafisa wakuu wa serikali. Wajumbe...
Back
Top Bottom