Kijana wa kitanzania issaya yunge, ametambulishwa rasmi kama mchumba wake na Charlene ruto, mtoto wa muheshimiwa William ruto, rais wa kenya.
Za chini chini inasemekana kijana huyu, ni mhitimi WA CHUO cha IFM, ni mjasiriamali, na ndio miliki wa soma app. Naendelea kufatilia wadhifa wake na...
Kijana wa Kitanzania na mwanzilishi wa application ya SomaApp aitwaye Isaiah Yunk(g)e anatarajia kumvisha pete ya uchumba Charlene Ruto katika sherehe ya kimila( Koito ak chaik) itakayofanyika leo Jumamosi huko Narok, Kenya.
Miongoni mwa wageni wanaotarajiwa kuhudhuria ni pamoja na wazazi wa...
Aliyekuwa mwenyekiti wa kwanza wa Mamlaka Huru ya Kusimamia Utendakazi wa Polisi (IPOA), Macharia Njeru, amedai kuwa Rais William Ruto aliwaita viongozi wa IPOA katika Ikulu na kutoa matamshi yaliyolenga kuwashinikiza kuhusu utendaji wao. Kwa mujibu wa Njeru, hatua hiyo inaweza kutafsiriwa kama...
Rais wa Kenya William Ruto ameonya dhidi ya aina yoyote ya machafuko, uharibifu wa mali, au kutatiza huduma muhimu kabla ya maadhimisho ya wiki ijayo ya maandamano ya kupinga serikali ya Juni 25.
Akizungumza Ijumaa katika Mkutano wa Kitaifa wa Uzalishaji na Utendaji katika Shule ya Serikali ya...
Mwanamke wa nchini Kenya aliyefahamika kwa jina la Rachel Wandeto, ambaye aliwahi kusambaa mitandaoni baada ya kuchora tattoo ya Rais William Ruto kifuani mwake, ameripotiwa kufariki dunia akiwa anapatiwa matibabu kufuatia shambulio la kuchomwa moto kwa petroli.
Rachel Wandeto alidaiwa...
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba jana Mei 11, 2026 alishiriki chakula cha jioni cha kitaifa kilichoandaliwa na Rais wa Kenya Dkt. William Ruto kwa heshima ya Wakuu wa Nchi na Serikali wanaoshiriki Mkutano wa Ushirikiano wa Afrika na Ufaransa
Dkt. Mwigulu yupo nchini Kenya akimuwakilisha Rais...
Baada ya ukimya wa siku kadhaa na madai pia waliotoa kutaka kutekwa! Sasa wale Watangazaji wa Radio 47 ya Kenya akiongozwa na Billy Miya leo waimeibuka na jambo jipya la kusema Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anataka kumharibu Rais William Ruto wa Kenya ambaye ni Rais wao walitoka naye...
Akihutubia Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wa Kenya, William Ruto amebainisha kuwa Kenya na Tanzania ni nchi zinazotegemeana, akieleza kupitia Uhusiano wa Biashara kati ya nchi hizo mbili imefikia kiwango cha dola milioni 860 kwa mwaka 2025 huku ikitarajiwa kufikia kiwango cha...
Rais wa Kenya, William Samoei Ruto, leo Mei 5, 2026, amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kiuchumi na kuunganisha nguvu katika kupambana na changamoto zinazozikabili nchi zote mbili.
Pia soma Samia: Nimeongea na Rais Ruto, wale watoto wetu...
Seneta John Methu alimkabili Rais William Ruto wakati wa ibada ya mazishi ya Mbunge wa Ol Kalou marehemu David Njuguna Kiaraho katika Kaunti ya Nyandarua.
Wakati wa ibada hiyo, Methu alimwambia Rais kuwa anamuheshimu lakini hamwogopi. Kauli hizo, ambazo pia zilijumuisha ukosoaji wa utendaji wa...
Aliyekuwa Naibu wa Rais wa Kenya, Rigath Gachagua ameendelea kumkabia kooni Rais Ruto kwa kuendelea kumshambulisha kutokea kila upande. Riggy anamtuhumu Ruto kwa ufisadi uliokithiri nchini Kenya huku akihoji anataka kuiba ngapi ndiyo aridhike?
Rais wa Kenya, William Ruto, amesema Kenya inalaani vikali mashambulizi yaliyofanyika dhidi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Qatar, Saudi Arabia, Iraq, Oman, Kuwait, Jordan na Bahrain katika mzozo unaoendelea kuongezeka Mashariki ya Kati.
Amesema ni wazi kuwa kuenea kwa mzozo huo katika...
Charles Wachira, mchungaji mwandamizi katika kanisa la Jesus Christ Compassion Ministry (JCM), amejiuzulu wadhifa wake baada ya kiongozi wa kanisa hilo, Askofu Ben Kiengei kukubali kumkaribisha Rais William Ruto siku ya Jumapili, hatua ambayo amesema imefanywa “kinyume na matakwa ya wengi.”...
Maafisa wa usalama wa Rais wa Kenya, William Ruto, wamelazimika kuingilia kati kuzuia kijana mmoja aliyetaka kulisogelea jukwaa wakati Rais akiwahutubia washiriki wa kongamano la kibiashara la NYOTA Business Forum.
Tukio hilo limetokea wakati wa hafla ya kutoa mitaji kwa wafanyabiashara wapya...
Jana Desemba 13,2025 Taifa la Kenya liliingia kwenye majonzi baada ya kumpoteza mwanasiasa mashuhuru na mfanyabiashara, Cyrus Jirongo maarufu CJ kwa ajali ya gari akiwa na miaka 64.
Jirongo alifikwa na mauti kufuatia ajali iliyohusisha gari yake aliyokuwa akiendesha mwenyewe Mercedes-Benz...
Nipo mitaa ya jijini Nairobi nikibarizi habari za hapa na pale na leo nimepata kusikia tetesi za Raisi Ruto kufikiria kumteua bwana Gideon Moi kuwa makamu wa waziri mkuu wa Kenya. Bwana Gideon ni kiongozi wa chama cha KANU na ni mtoto wa aliekuwa raisi wa Kenya Mzee Daniel Arap Moi ambae...
Viongozi mbalimbali wakiongozwa na Rais wa Kenya Dr. William Ruto
https://www.youtube.com/watch?v=YT87RClirPI
Miongoni mwa Waliohudhuria mazishi ni
Rais wa Kenya - Samweli Ruto
Naibu Rais Kenya - Prof Kithure Kindiki
Mama Aida Odinga na Familia ya Odinga
Rais Mstaafu wa Kenya - Uhuru kenyatta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.