Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,618
- 31,139
Hehehe hawezi yule mzee atapukutika vbaya sanaT
Tusiende mbali mwambie Biden apande na kushuka ngazi za ndege ya Raisi kwa kasi ya Putin-nguvu hizo hana kabisa yeye ni bingwa kwenye masuala ya political rhetoric na kitisha tisha watawala wa EU na Banana Republics lakini sio Urusi Bwana!! Putin amekwisha muonya Biden zaidi ya mara tatu kwamba hatavumilia kiongozi au Taifa ambalo litaonuesha wazi eazi kwamba lina mpango wa kuiagamiza Urusi na raia wake in totality - Putin hatanii hata kidogo, taofa lake liiisha jiweka tayari kwa miaka mingi jindi ua ku-deal na taifa korofi.
Russia 🇷🇺 ilijiandaa