Rais Putin asema vita haitaisha hadi hapo malengo ya Russia yatakapotimizwa

Richard

JF-Expert Member
Oct 23, 2006
14,939
20,400
Raisi Putin aelezea umuhimu wa nchi kuwa huru na kutetea uhuru huo. Pia asema SMO itasita pale tu malengo ya Russia juu ya Ukraine yatapotimizwa ambayo ni kuondoa unazi denazification, uwezo wa kijeshi demilitarizing Ukraine na mwisho kuhakikisha Ukraine yabakia kuwa Neutral bila kujiunga EU na NATO.

Putin atetea kugombea tena nafasi ya Uraisi.

Uchaguzi nchini Russia watarajiwa kufanyika mwezi March 2024.

Asema Uchumi wa Russia umekuwa imara wakati huu wa vita licha ya vikwazo vya Marekani na nchi za Magharibi.

Asema Counter Offensive ya Ukraine imefeli kila mahala.

Msemaji wa Kremlin bwana Dmitr Peskov amejiandaa kujibu masuali yapatayo milioni 1.2!
 
Mkutano huu utachukua saa tatu.

Waitwa Marathon.

Wasimamiwa na kituo cha televisheni cha Channel One ambacho ni cha serikali na mwongozaji ni mwanadada Yekaterina Berezovskaya.

Tufuatilie katika channel kadhaa ndani ya You Tube.

Ntakuja na summary kadhaa.
 
Mobilisation.
Kuhusu watu kujiandikisha kwenda vitani, raisi Putin asema, watu 483,000 wamejiandikisha hadi sasa na hao ni wa kujitolea. Pia asema watu 300,000 hadi kufikia mwishoni mwa mwaka jana walionyesha nia hiyo.

Asema uwingi wa watu wanojitokeza kujiorodhesha kuwa tayari kuilinda Russia na maslahi ya taifa haupungui. Pia silaha nazo hazieshi.
 
Putin akiulizwa suali na mwandishi alieko jimbo la Luhansk mashariki mwa Ukraine kwamba vipi kuhusu jeshi la Ukraine kukamata upande wa magharibi mwa mto Dnipro.

Raisi Putin anajibu kwamba “Ukraine kuelezea mafanikio kidogo kwenye Eneo dogo ni majaribio ya mwisho kuvunja njia ya kuingia Crimea.

Hivyo, anaendelea majeshi yetu ikabidi kujiondoa eneo hilo kwa mita kadhaa kwenda maporini ili kuwaokoa vijana wetu. Ndio maana anaendelea , Ukraine wakaingia eneo hilo.”
 
Raisi Putin anaendelea kuekezea mambo wanofanya Ukraine.

Anasema madhumuni khasa ya Kyiv ni kuwaonyesha “ the West” kwamba wahitaji silaha zaidi na fedha zaidi. I don’t understand why hawa watu wafanya hivi? They push their people to go to die. It’s a one way ticket kwa majeshi ya Ukraine.

Aendelea, “ the main reason is the Ukraine leaders playing with politics going around begging for foreign aid.”
 
Raisi Putin akıjibu suali kuhusu progress ya majeshi ya Russia.

Asema Russian forces are in the front line on Ukraine. Asema majeshi ya Russia yajiongeza kadri vita inavyokwenda akiimaanisha mwelekeo wa majeshi hayo kwenda miji miwili ya Mariinka na Adviivka yaliyopo katika jimbo la Donetsk.
 
Umoja wa mataifa unamtazama tu alivyovamia nchi huru ukraine wao ni kuilaani Israel.tu lazma wamehongwa na Waarabu.
 
Umoja wa mataifa unamtazama tu alivyovamia nchi huru ukraine wao ni kuilaani Israel.tu lazma wamehongwa na Waarabu.
Sasa ulitegemea umoja wa mataifa uifanye nini Russia
Ila umoja wamataifa wameamua kua watazamaji tu kama walivyotazama kule Iraq wakat inavamiwa na us
Israhell inatakiwa ilaaniwe nakila kiumbe kilichohai hapa duniani
 
Putin juu ya mahusiano ya Russia na Marekani/ EU

Raisi asema US ni important country lakini ameilaumu kwa Imperialism. Ameishauri US kuheshimu watu na nchi zao. Asema Russia ipo tayari kurejesha mahusiano ya US/ EU pale hayo yatapotimizwa (kuheshimu nchi za watu)
 
Putin huwa namkubali tu, ila baada ya kuupinga ushoga waziwazi ndipo nilipomkubali moja kwa moja.
https___prod.static9.net.au_fs_97041b09-efc2-4d76-934a-133b35be29af.jpg
 
Back
Top Bottom