Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Akihojiwa na BBC Swahili Jana saa 12:30
Alisema unashangaa baadhi ya Marais Wa Afrika pamoja na ugonjwa huu Hatari, hawajulikani walipo, wamejificha na wananchi wao wanaokotwa wamekufa barabarani, maiti zao zimezagaa, halafu unashangaa viongozi hao wanajiita wacha Mungu. Wanasali kila jumapili, wanatembea na Biblia na msahafu, na wengine wanajiita mapasta.
Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa? - BBC News Swahili
=====
Facts!
Habari ilikuwa inazungumzia lawama za Rwanda kwa Burundi kuhusu mauaji ya Kimbari ya 1994
Alisema unashangaa baadhi ya Marais Wa Afrika pamoja na ugonjwa huu Hatari, hawajulikani walipo, wamejificha na wananchi wao wanaokotwa wamekufa barabarani, maiti zao zimezagaa, halafu unashangaa viongozi hao wanajiita wacha Mungu. Wanasali kila jumapili, wanatembea na Biblia na msahafu, na wengine wanajiita mapasta.
Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa? - BBC News Swahili
=====
Facts!
Habari ilikuwa inazungumzia lawama za Rwanda kwa Burundi kuhusu mauaji ya Kimbari ya 1994