Cicadulina
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 961
- 2,345
weka ushahidi video itakuwa bora zaidi
Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa? - BBC News Swahili
weka ushahidi video itakuwa bora zaidi
Atakoroma nini wakati yeye ni mtumwa wa misaada?Anayeweza kukoroma east Africa dunia ilasikiliza ni Magufuli tu
Kukoroma labda akiwa amelala..ubavu huo hana tunamuona anaalialia kila siku anaomba misaada kwa mabeberu.Anayeweza kukoroma east Africa dunia ilasikiliza ni Magufuli tu
Nyundo kwa kichwa kibovu korosho meko hiyo..Hapo kuna mtu kalengwa!!!
Burundi mhutu Agathon Rwasa anashinda bila shida . Nyerere alishauri Burundi washike. Uraisi Wahutu ambao ndio wengi na rwanda washike watusi uraisii
Usijidanganye wanavumilia siku hizi, wanakurudishia na wewe!Ukiachia jiwe gizani ukasikia kimia andaa jingine ukisikia kelele toka mbio
Sent using Jamii Forums mobile app
😃😃😃 kagame ni taahira. .. anadhani kwamba kila mtu. ana hongwa hongwa kiboya kama yeyeAnayeweza kukoroma east Africa dunia ilasikiliza ni Magufuli tu
Majority Rwanda ni nani???Burundi mhutu Agathon Rwasa anashinda bila shida . Nyerere alishauri Burundi washike. Uraisi Wahutu ambao ndio wengi na rwanda washike watusi uraisi ambao ndio wengi
Kagame aache Burundi washike uraisi wahutu ambao ndio majority na rwanda ahakikishe anafanya succession ya mtusi ndie awe Raisi kwani ndio majority Rwanda ashike wosia wa Nyerere ila asibague Wahutu na Burundi pia Wahutu wasibague watusi.Kagame asinune akiona mhutu Agathon Rwasa kawa Raisi Burundi
Amelengwa Pasta Nkurunziza Mlokole mwenye mikono iliyojaa damu.Hapo kuna mtu kalengwa!!!
Anadharau watu wanaomuomba Mungu corona inamhusu aandae mrithi haraka muda wowote anakata network😃😃😃 kagame ni taahira. .. anadhani kwamba kila mtu. ana hongwa hongwa kiboya kama yeye
Watusti Rwanda ni 14% tu, more than 80% ni wahutu. Siku wahutu wakishika dola Rwanda hakuna mtusti atakuja kuona ikulu tena milele.Burundi mhutu Agathon Rwasa anashinda bila shida . Nyerere alishauri Burundi washike. Uraisi Wahutu ambao ndio wengi na rwanda washike watusi uraisi ambao ndio wengi
Kagame aache Burundi washike uraisi wahutu ambao ndio majority na rwanda ahakikishe anafanya succession ya mtusi ndie awe Raisi kwani ndio majority Rwanda ashike wosia wa Nyerere ila asibague Wahutu na Burundi pia Wahutu wasibague watusi.Kagame asinune akiona mhutu Agathon Rwasa kawa Raisi Burundi
Duh.. Ya kweli haya!??
Hapo kuna mtu kalengwa!!!
Akihojiwa na BBC Swahili Jana saa 12:30 Alisema unashangaa baadhi ya Marais Wa Afrika pamoja na ugonjwa huu Hatari,hawajulikani walipo,wamejificha na wananchi wao wanaokotwa wamekufa barabarani,maiti zao zimezagaa, halafu unashangaa viongozi hao wanajiita wacha Mungu.Wanasali kila jumapili,wanatembea na Biblia na msahafu ,na wengine wanajiita mapasta.Naunga mkono hoja ya Kagame
Akiwa macho ama akiwa fofofo?Anayeweza kukoroma east Africa dunia ilasikiliza ni Magufuli tu
Akili yangu nyembamba haijui mafumboBabu alisemaga hivi....
Jino lenye afya, halijawahi kuwa kwenye mdomo ulio oza