Rais Paul Kagame awakemea vikali Marais wa Afrika wasiowajibika kuzuia janga hatari la ugonjwa wa Corona

Status
Not open for further replies.
Akihojiwa na BBC Swahili Jana saa 12:30 Alisema unashangaa baadhi ya Marais Wa Afrika pamoja na ugonjwa huu Hatari,hawajulikani walipo,wamejificha na wananchi wao wanaokotwa wamekufa barabarani,maiti zao zimezagaa, halafu unashangaa viongozi hao wanajiita wacha Mungu.Wanasali kila jumapili,wanatembea na Biblia na msahafu ,na wengine wanajiita mapasta.

Jr

Bonge la diss aisee...
Message sent
 
Sio mkoa, ile ni wilaya.

Lakini hii Issue ya kila mara kusema eti Rwanda ni kama Wilaya ya Tanzania.... Unaelewa kiundani ni nani aliifanya TZ kuwa nchi kubwa kiasi hicho? au nani aliifanya Rwanda iwe Ndogo? Let me tell you my friend, Before 1850 though there was no Tanzania as you know it, but there was Rwanda a very well Organised Kingdom 10time bigger than what it is today, it covered the whole of Rwanda today, Eastern DRC and a bigger part of south and wetern Uganda up to the shores of L.Albert). So Who made Tanzania? DOAG (Deutsch-Ostafrikanische Gesellschaft) ndio waliotengeneza Tanzania. Hakuna Mtanzania hata mmoja alifanya lolote kuifanya iwe ilivyo today (Ki Size). But The Bigger Rwanda before the Colonial was made by Rwandan Kings. Unfortunately for unkown reasons during the scramble for Africa, Wakoloni walikaa wakaimegamega wee ikabaki kaba ilivyo today. So you can be proud of your Tanzania but remember you did nothing to make it the way it is.
 
Akihojiwa na BBC Swahili Jana saa 12:30 Alisema unashangaa baadhi ya Marais Wa Afrika pamoja na ugonjwa huu Hatari,hawajulikani walipo,wamejificha na wananchi wao wanaokotwa wamekufa barabarani,maiti zao zimezagaa, halafu unashangaa viongozi hao wanajiita wacha Mungu.Wanasali kila jumapili,wanatembea na Biblia na msahafu ,na wengine wanajiita mapasta.

Naomba link nijiridhishe kwanza. PK hawezi kumtukana shoga yake namna hiyo.
 
Hatuwezi kumjibu mtu anayeongoza mkoa. Kanchi kenyewe km mkoa mmoja hapa Tanzania tukimjibu ni kujishusha sana
Lakini hii Issue ya kila mara kusema eti Rwanda ni kama mkoa wa Tanzania what has it to do with a country and its soverenity?.... Unaelewa kiundani ni nani aliifanya TZ kuwa nchi kubwa kiasi hicho? Au nani aliifanya Rwanda iwe Ndogo? Let me tell you my friend, Before 1850 though there was no Tanzania as you know it, There was Rwanda, a very well Organised Kingdom 10time bigger than what it is today, it covered the whole of Rwanda today, Eastern DRC and a bigger part of south and wetern Uganda up to the shores of L.Albert). Who made Tanzania? DOAG (Deutsch-Ostafrikanische Gesellschaft) ndio waliotengeneza Tanzania. Hakuna Mtanzania hata mmoja alifanya lolote kuifanya Tanzania iwe ilivyo today (Ki Size). But The Bigger Rwanda before the Colonial was mage by Rwandan Kings. Unfortunately for unkown reasons during the scramble for Africa, Wakoloni walikaa wakaimegamega wee ikabaki kama ilivyo today. So you can be proud of your Tanzania but remember you did nothing to make it the way it is.
 
Hivi hukpo Rwanda raisi mmoja anachukua nafasi ya kutawala kwa miaka mingapi ?
Ila,hilo tuachane nalo,hakuna aliesema Corona haipo labda wale walonukuu maneno yasiyokuwepo.
 
Burundi mhutu Agathon Rwasa anashinda bila shida . Nyerere alishauri Burundi washike. Uraisi Wahutu ambao ndio wengi na rwanda washike watusi uraisii

Kagame aache Burundi washike uraisi wahutu ambao ndio majority na rwanda ahakikishe anafanya succession ya mtusi ndie awe Raisi kwani ndio majority Rwanda ashike wosia wa Nyerere ila asibague Wahutu na Burundi pia Wahutu wasibague watusi.Kagame asinune akiona mhutu Agathon Rwasa kawa Raisi Burundi
Nakupinga kama ifuatavyo Rwanda na Burundi kote wahutu ni zaidi ya 80 % hilo halina mjadara na Agathon Rwansa kumshinda Gen Evarist ni ngumu sana

Ova.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom