Rais Mwinyi aridhia ombi la Waziri wa Utalii kujiuzulu Wadhifa wake

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
Screenshot_2024-01-26-14-41-36-570_com.instagram.android-edit.jpg

ZANZIBAR: Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amekubali ombi la kujiuzulu kwa Simai Mohamed Said, aliyekuwa Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale.

Taarifa ya Serikali imesema Rais Mwinyi ameridhia ombi hilo kuanzia leo Januari 26, 2024 ikiwa ni muda mfupi tangu Simai atoe taarifa kuwa anaachia nafasi hiyo kutoka na mazingira ya utendaji kazi kutokuwa rafiki kwake.

Siku chache zilizopita, akiwa Waziri, Simai alinukuliwa akisema Hoteli za Zanzibar zinakabiliwa na upungufu wa Pombe.
 
View attachment 2883334
ZANZIBAR: Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amekubali ombi la kujiuzulu kwa Simai Mohamed Said, aliyekuwa Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale.

Taarifa ya Serikali imesema Rais Mwinyi ameridhia ombi hilo kuanzia leo Januari 26, 2024 ikiwa ni muda mfupi tangu Simai atoe taarifa kuwa anaachia nafasi hiyo kutoka na mazingira ya utendaji kazi kutokuwa rafiki kwake.

Siku chache zilizopita, akiwa Waziri, Simai alinukuliwa akisema Hoteli za Zanzibar zinakabiliwa na upungufu wa Pombe.
Siku chache zilizopita, akiwa Waziri, Simai alinukuliwa akisema Hoteli za Zanzibar zinakabiliwa na upungufu wa Pombe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanataka pombe. Maana imeadimika kwenye mahoteli na maeneo mengine inakouzwa. Wasikimbie tatizo hapa.
 
Mheshimiwa rais umeitendea haki wizara ya Utalii ya Zanzibar ya kumuondoa Simai. Kiukweli huyu jamaa alikuwa hafai. Siku uliyomteua nilisikitika sana nikajisrmea kimoyo moyo kuwa wamekuungiza chaka mheshimiwa.

Japo sijui kama umemtumbua Kwa sababu ya ile ishu ya yule shoga maarufu Duniani au ishu ya wauza ulevi; ila kama alikuwa hafai hata chembe kuwa kiongozi.

Kazi ilendee.....
 
Back
Top Bottom