La msingi asimuonee mtu kwa kabila, chama, dini etc. atende haki bin haki....Kama kuna visa kama vya Ben Saanane, Azory, Mawazo, Viroba vya maiti coco beach, persecutions, kutumia madaraka vibaya, kuvunja katiba .. etc, hivyo vishughulikiwe haki itendeke johnthebaptist