PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,118
- 29,970
Huyu Mzee asitafute mchawi wa maendeleo, yeye mwenyewe ndiye anairudisha nyuma TANZANIA
Hakika mkuu!Rais katoa mwelekeo wake kwa kipindi hiki cha miaka mitano ni jukumu la watendaji kufuata maelekezo.
Tanzania ya viwanda inawezekana,
Maendeleo hayana vyama.
Hili ni agizo muhimu kwa ngazi zote.Kama namuona POLEPOLE NA BASHIRU wakifurahia, watakuwa busy kupiga kazi mwanzo mwisho.
Makatibu wa CCM wilaya na mikoa ndio waliopewa magari ya kufuatilia utendaji wa serikali. Magari hayo ukiyatafuta kila siku,iwe mchana au usiku utakuta limepakiwa either hotelini au bar. Sasa ninajiuliza ofisi za chama zinakuaga karibu na maeneo hayo au maeneo hayo ndiko ziliko ofisi za chama.Si mlisema wapinzani wamewachelewesha sana?? Nn kimez...
Hawa wenyeviti wa ccm wanaotembelea vieitee, unaijua vieite wewe??Mwenyekiti wa CCM wilaya ni F4 level, atamfukuza kazi mkurugenzi wa manispaa au Halmashauri? Tatizo lililipo CCM ni kile kipengele cha kuweza kusoma na kuandika unakula kiongozi, Kipengele hiki kitamtesa sana Rais.
Bwashee unamuamini Meko?!Hili ni agizo muhimu kwa ngazi zote.
CCM niliyoijua inarejea!
Hawa wenyeviti wa ccm wanaotembelea vieitee, unaijua vieite wewe
Ni mtumishi gani hajafuata maelekezo yake ??Rais katoa mwelekeo wake kwa kipindi hiki cha miaka mitano ni jukumu la watendaji kufuata maelekezo.
Tanzania ya viwanda inawezekana,
Maendeleo hayana vyama.
Sidhani kama kuna haja ya kuhangaika na hao watu wao, cha msingi ni kukitenganisha chama na serikali full stop.Rais asipowatumbua viongozi wa CCM ngazi ya wilaya na mikoa, hatakaa afanikiwe. Viongozi wa serikali wanachokifanya ni kula kwa Karibu na viongozi wa CCM ,ili wapate abc za ndani za chama maisha yaende na aweze kukwepa kutumbuliwa.
Sasa sio wapinzani tena wanaomchelewesha?Rais Magufuli amesema kuwa Rais ni kazi ngumu sana kwa sababu wewe unaweza kupanga mipango hii kumbe wenzako nao wana mipango mingine.