johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,854
- 141,792
Rais Magufuli amesema kuwa Rais ni kazi ngumu sana kwa sababu wewe unaweza kupanga mipango hii kumbe wenzako nao wana mipango mingine.
Rais Magufuli amewataka viongozi wa CCM wamsaidie kufuatilia utendaji wa watendaji wake kwani wengine wanachelewesha maendeleo.
Rais Magufuli amesema yeye haogopi anaweza kufukuza kuanzia mkuu wa mkoa hadi mtendaji wa kijiji ikibainika watu hao ni wazembe na anateua wengine fasta.
Rais Magufuli ametoa onyo kwa watendaji wote wanaomchelewesha kwamba wasije kumlaumu atakapochukua hatua stahiki dhidi yao.
Rais Magufuli leo amemaliza ziara yake ya siku mbili mkoani Morogoro.
Source ITV
Maendeleo hayana vyama!
Rais Magufuli amewataka viongozi wa CCM wamsaidie kufuatilia utendaji wa watendaji wake kwani wengine wanachelewesha maendeleo.
Rais Magufuli amesema yeye haogopi anaweza kufukuza kuanzia mkuu wa mkoa hadi mtendaji wa kijiji ikibainika watu hao ni wazembe na anateua wengine fasta.
Rais Magufuli ametoa onyo kwa watendaji wote wanaomchelewesha kwamba wasije kumlaumu atakapochukua hatua stahiki dhidi yao.
Rais Magufuli leo amemaliza ziara yake ya siku mbili mkoani Morogoro.
Source ITV
Maendeleo hayana vyama!