Rais Magufuli: Tumehamia Dodoma moja kwa moja

Rais Magufuli: Tumehamia Dodoma moja kwa moja

Ikulu ya dar iiuzwe apewe mwekezaji abomoe ajenge maghorofa mahotel,maofisi nk.
 
Dodoma ni salama zaidi kutopinduliwa kuliko dar,dodoma maandamano hayawezi tokea tofauti na dar
 
Nyerere wala hakuwa na wazo la kuhamia Dodoma. Yeye alikuwa anawapinga wale waliokuwa wanataka makao makuu ya nchi yawe Arusha ndipo yeye akachomekea "Kama mnataka makao makuu yahame labda yawe Dodoma"
 
Anasema ata akifa leo makao makuu yatakuwa dodoma hayawezi kurudi dar maana ni kuvunja sheria anasema anaweza ondoka akaja mtu akataka makao makuu yarudishwe dar never haitatokea itakuwa ni uvunjifu wa katiba.

My take: kumbe yeye akivunja katiba nisawa ila hataki wengine wavunje kama yeye?

Huwa unamuelewa huyu jiwe?
Akili haziko sawa, anajidanganya tu, hakuna rais ataekuwa mwendawazimu atakseishi dodoma
 
Mara hii ameshaanza kupambana na kumkosoa rais ajaye kabla hata yeye mwenyewe hajaondoka madarakani na hatujui huyo ajaye atakuwaje?

Ajae ni DAUD ALBERT BASHISHITE,according to Mzee wa kula maharagwe na kuvimbiwa MZEE MAPENGO
 
Nyerere alihamia Dodoma sababu ya kuogopa kupinduliwa sababu yuko karibu na bahari. Huyu naye kahama kwa sababu hizo hizo eti anaishi pangoni
Sasa bahari inaweza kusaidiaje mapinduzi kuliko nchi kavu?

Hebu fafanua kidogo mkuu.
 
Tumeamia [emoji808]
Tumehamia[emoji818]

Siamini kabisa nawewe unaweza kufanya kosa la uandishi la kitoto namna hii.
Anasema ata akifa leo makao makuu yatakuwa dodoma hayawezi kurudi dar maana ni kuvunja sheria anasema anaweza ondoka akaja mtu akataka makao makuu yarudishwe dar never haitatokea itakuwa ni uvunjifu wa katiba.

My take: kumbe yeye akivunja katiba nisawa ila hataki wengine wavunje kama yeye?
 
Anasema ata akifa leo makao makuu yatakuwa dodoma hayawezi kurudi dar maana ni kuvunja sheria anasema anaweza ondoka akaja mtu akataka makao makuu yarudishwe dar never haitatokea itakuwa ni uvunjifu wa katiba.

My take: kumbe yeye akivunja katiba nisawa ila hataki wengine wavunje kama yeye?
kauli za huyo mzee sio za kuzichukulia serious. Muda mwingine huwa anaongea ili kutafuta cheap popularity toka kwa watu wasiojielewa.
 
Back
Top Bottom