Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,937
- 10,815
Ninachokisema hapa najua wapo watakao Ds ila kiukweli jaman naomba niseme kweli yani Mh Rais Magufuli anastaili Pongezi za dhati sanaa.
Si kazi nyepesi mtu kuweza kuama mkoa kama Dar mzee ukaamia mkoa kama Dodoma hasa kwa watu ambao tumekulia Dar tunaelewa.
Nakumbuka Rais mstafu alivyo stafu siku moja alimua kwenda kijijini kwao bahati mbaya sanaa alikutana na mvua weeee ilo Tope na udongo wa kuteleza wa msata, yani jamaa yangu alisubuli mvua ikauke alirudi mjini fasta pale mtaa wa jakaya.
Mimi nasema hata ingelikuwa mimi nisingeweza kubali kuama mjini hapa heti naamia kijijini Dodoma yani niache kuona watoto wkali pale magogoni niende dodo nikaonane na wajomba zake ndugai walio jaa ukoma?
Nisingeenda na nina uhakika Rais ajae atalaani sanaaa maamuzi ya kumtoa dar kumpleka dodoma.kweli wewe jamaa hujfata Bata ikulu ila umenikomeshea wana wengi hasa wa geti jeusi kuna mmoja nilikuwa kila siku namshusha hapo getini mwa jumba jeupe jamaa alikuwa anajiona kama yy ndo rais kudadeki sasahiv yuko Dodoma.
Dodoma hata uifnanyeje baba utaicha ulivyoikuta mkoa unalaana huo ndio maana hautoi hata viongozi makini wtu wa huko ni omba omba tu.
Si kazi nyepesi mtu kuweza kuama mkoa kama Dar mzee ukaamia mkoa kama Dodoma hasa kwa watu ambao tumekulia Dar tunaelewa.
Nakumbuka Rais mstafu alivyo stafu siku moja alimua kwenda kijijini kwao bahati mbaya sanaa alikutana na mvua weeee ilo Tope na udongo wa kuteleza wa msata, yani jamaa yangu alisubuli mvua ikauke alirudi mjini fasta pale mtaa wa jakaya.
Mimi nasema hata ingelikuwa mimi nisingeweza kubali kuama mjini hapa heti naamia kijijini Dodoma yani niache kuona watoto wkali pale magogoni niende dodo nikaonane na wajomba zake ndugai walio jaa ukoma?
Nisingeenda na nina uhakika Rais ajae atalaani sanaaa maamuzi ya kumtoa dar kumpleka dodoma.kweli wewe jamaa hujfata Bata ikulu ila umenikomeshea wana wengi hasa wa geti jeusi kuna mmoja nilikuwa kila siku namshusha hapo getini mwa jumba jeupe jamaa alikuwa anajiona kama yy ndo rais kudadeki sasahiv yuko Dodoma.
Dodoma hata uifnanyeje baba utaicha ulivyoikuta mkoa unalaana huo ndio maana hautoi hata viongozi makini wtu wa huko ni omba omba tu.