KirilOriginal
JF-Expert Member
- Feb 13, 2012
- 2,161
- 1,147
Na wauaji wametokea chato (so long anao ushahidi kuwa ni majizi kwa nini asiyahukumu?
Chenge ni msafi akiwa ccm akihamia chadema itakuwaje?
Japokua mahakama, polisi, na mamlaka wanazo CCMChadema ni kichaka kipya cha mafisadi; Siasa za nchii ni za aina yake; Iba; Kimbilia Chadema watakuficha ipasavyo, kwa jasho na damu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kusema kuwa wapo watu ambao walikuwa ni wezi katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema saizi watu hao wamekimbilia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Rais Magufuli amesema hayo leo Oktoba 31, 2017 akiwa ziarani mkoani Mwanza ambapo alikuwa akiongea na wananchi wa Mkuyuni na Butimba jijini Mwanza na kusema kuwa yeye anataka maendeleo kwa kuwa anaamini Tanzania inahitaji kujengwa na Watanzania wote na kudai ndani ya vyama vya siasa kuna wezi ambao hao ndiyo wamechelewesha maendeleo ya nchini.
“Tunataka Tanzania mpya hilo ndiyo lengo langu kwa sababu yapo yalikuwa ni majizi makubwa sana Chama Cha Mapinduzi (CCM) yakakimbilia CHADEMA ndiyo maana sijasema CUF oyeee kwa sababu wapo waliomo CUF wengine ni wabaya sana. Mimi nataka maendeleo kwa sababu maendeleo yanaletwa na Watanzania wote tushikamane ndugu zangu tutachelewa tushikamane sasa hivi tuipeleke Tanzania yetu mbele” alisisitiza Rais Magufuli
======
My Take:ama wanaiba,wanaachwa ndani ya chama wanabembelezwa na unyweshwa uji wa ulez ama kina tibaijuka,kin angereja
Eti sasa anasema majizi yame hamia CHADEMA!!!!! Aibu kubwa hii....
Hivi Magufuli anatuchukuliaje Watanzania?
Yaani mko na mafisadi na bado mkasema mahakama ya mafisadi imekosa kesi? Aibu kubwa hii.
Nyie endelezi kasi ya chuki na dhuluma by the time mnaamka usingizini mmebak wawili.
[emoji38] [emoji38] comment na username yako vimenifanya nicheke sanaRaisi wangu, wape chadema uhuru wa kukwea majukwaani waongee kama ccm inavyoongea ili tupime ukweli wa majizi yako ccm au chadema.
Mwanangu uneandika vema sanapombe ametuita ..
*vilaza
*wapumbavu
*majizi
*wapiga dili
*mashetani
*mafisadi
Ivi pombe umsafi kiasi gani ?
*mtakatifu angeanza kurudisha amani kwenye familia yake na amuombe radhi mama yake
*mtakatifu arudishe nyumba walizouziana kishkaji bwerere hadi mpwa akapewa, bila kufata taratibu za mauzo
*mtakatifu arudishe zile bilioni 6.8 alizonunulia kivuko kibovu cha mwaka 1978
*mbona bashite katajirika ghafla ?
*mtakatifu mbona hukaguliwi ?
INTERAHAMWE WALIOKOSA RADHI ZA WAZAZI..
ushindi wenyewe ni asante mkapa na asante lubuva.
ukichaa ukipanda nyumba zinadondoshwa watu wanalala juu ya matofali.
Wakiongea popote polisi watakuwa wapi ?CHADEMA hawawezi kuongea popote zaid ya jukwaani?
Chadema ni chaka salama la majizi na sasa majangili
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kusema kuwa wapo watu ambao walikuwa ni wezi katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema saizi watu hao wamekimbilia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Rais Magufuli amesema hayo leo Oktoba 31, 2017 akiwa ziarani mkoani Mwanza ambapo alikuwa akiongea na wananchi wa Mkuyuni na Butimba jijini Mwanza na kusema kuwa yeye anataka maendeleo kwa kuwa anaamini Tanzania inahitaji kujengwa na Watanzania wote na kudai ndani ya vyama vya siasa kuna wezi ambao hao ndiyo wamechelewesha maendeleo ya nchini.
“Tunataka Tanzania mpya hilo ndiyo lengo langu kwa sababu yapo yalikuwa ni majizi makubwa sana Chama Cha Mapinduzi (CCM) yakakimbilia CHADEMA ndiyo maana sijasema CUF oyeee kwa sababu wapo waliomo CUF wengine ni wabaya sana. Mimi nataka maendeleo kwa sababu maendeleo yanaletwa na Watanzania wote tushikamane ndugu zangu tutachelewa tushikamane sasa hivi tuipeleke Tanzania yetu mbele” alisisitiza Rais Magufuli
======
My Take:
Eti sasa anasema majizi yame hamia CHADEMA!!!!! Aibu kubwa hii....
Hivi Magufuli anatuchukuliaje Watanzania?
Yaani mko na mafisadi na bado mkasema mahakama ya mafisadi imekosa kesi? Aibu kubwa hii.
Nyie endelezi kasi ya chuki na dhuluma by the time mnaamka usingizini mmebak wawili.
Mahakama haina maana tunahitaji rasimu ya warioba tuifute tuwasikilizeni nyie!Chadema ni chaka salama la majizi na sasa majangili
Not guilty until proven guilty by..............................................!Ivii mtu akiwa mwizi akihamia chadema hawezi kukamatwa?