Rais Magufuli: Majizi yamehamia CHADEMA

Rais Magufuli: Majizi yamehamia CHADEMA

Miaka miwili anaishi naye akiwa kimya leo katoka kawa JIZI.Mbona hakumshughulikia kama alijua hivyo
Maana yake ni kwamba huko ccm ndio majizi yanakozalishwa, yaani ccm yoote ni majizi matupu
Ndio maana haiwezekani watuhumiwa wa ufisadi kufikishwa mahakamani, kwani hakuna msafi wa kumfikisha mahakamani mwezie, yooote ni MAJIZI tu.
Kiongozi akitoka ccm anaitwa mwizi kwa kuwa wezi wenzie hawamuonei aibu tena
 
Ivii mtu akiwa mwizi akihamia chadema hawezi kukamatwa?
Suala si kukamatwa tu, ili mtu athibiike ni mwizi lazima mahakama ndio ithibitishe
, Sasa kwa kuwa wezi wanakuwa ni kama timu, sasa akifikishwa mahakamani wezi wengine ambao bado wako ccm watajulikana .
Kiufupi ni kwamba ukiwa ccm wizi sio kosa ndio maana walio ccm hawaitwi wezi mpaka wakitoka ccm
 
ukiguswa utasikia ni visasi
Kweli kabisa serikali inaogopa kugusa majizi na mafisadi yaliyoko chadema kwasababu serikali inaogopa sana kuambiwa ni ya visasi, ni afadhali ile mahakama kuu ya mafisadi ibaki tupu bila kesi na majizi na mafisadi yaendelee kubaki chadema maana serikali haiwezi kabisa kuyashika haya mafisadi yaliyoko chadema kwasababu sirikali hii haitaki kuambiwa ni sirikali ya visasi..
Chichiem mbele kwa mbele, oyee oyee!!
 
alikuwa ameyafuga kwa kipindi chote kwa sababu gani ? yameisha huko ccm au kuna yaliyobaki !?
 
Hivi kuna mtu ambaye ataweza kunyamazisha huyu Mkuu? Yeye yuko juu ya sharia kwanini asiwakamate hayo majizi? au kama anajiamini aruhusu hoja zake zipingwe hadharani ...aruhusu mikutano ya hadhara na bunge live .... too low

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kusema kuwa wapo watu ambao walikuwa ni wezi katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema saizi watu hao wamekimbilia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Rais Magufuli amesema hayo leo Oktoba 31, 2017 akiwa ziarani mkoani Mwanza ambapo alikuwa akiongea na wananchi wa Mkuyuni na Butimba jijini Mwanza na kusema kuwa yeye anataka maendeleo kwa kuwa anaamini Tanzania inahitaji kujengwa na Watanzania wote na kudai ndani ya vyama vya siasa kuna wezi ambao hao ndiyo wamechelewesha maendeleo ya nchini.

“Tunataka Tanzania mpya hilo ndiyo lengo langu kwa sababu yapo yalikuwa ni majizi makubwa sana Chama Cha Mapinduzi (CCM) yakakimbilia CHADEMA ndiyo maana sijasema CUF oyeee kwa sababu wapo waliomo CUF wengine ni wabaya sana. Mimi nataka maendeleo kwa sababu maendeleo yanaletwa na Watanzania wote tushikamane ndugu zangu tutachelewa tushikamane sasa hivi tuipeleke Tanzania yetu mbele” alisisitiza Rais Magufuli

======

My Take:
Eti sasa anasema majizi yame hamia CHADEMA!!!!! Aibu kubwa hii....

Hivi Magufuli anatuchukuliaje Watanzania?

Yaani mko na mafisadi na bado mkasema mahakama ya mafisadi imekosa kesi? Aibu kubwa hii.

Nyie endelezi kasi ya chuki na dhuluma by the time mnaamka usingizini mmebak wawili.
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kusema kuwa wapo watu ambao walikuwa ni wezi katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema saizi watu hao wamekimbilia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Rais Magufuli amesema hayo leo Oktoba 31, 2017 akiwa ziarani mkoani Mwanza ambapo alikuwa akiongea na wananchi wa Mkuyuni na Butimba jijini Mwanza na kusema kuwa yeye anataka maendeleo kwa kuwa anaamini Tanzania inahitaji kujengwa na Watanzania wote na kudai ndani ya vyama vya siasa kuna wezi ambao hao ndiyo wamechelewesha maendeleo ya nchini.

“Tunataka Tanzania mpya hilo ndiyo lengo langu kwa sababu yapo yalikuwa ni majizi makubwa sana Chama Cha Mapinduzi (CCM) yakakimbilia CHADEMA ndiyo maana sijasema CUF oyeee kwa sababu wapo waliomo CUF wengine ni wabaya sana. Mimi nataka maendeleo kwa sababu maendeleo yanaletwa na Watanzania wote tushikamane ndugu zangu tutachelewa tushikamane sasa hivi tuipeleke Tanzania yetu mbele” alisisitiza Rais Magufuli

======

My Take:
Eti sasa anasema majizi yame hamia CHADEMA!!!!! Aibu kubwa hii....

Hivi Magufuli anatuchukuliaje Watanzania?

Yaani mko na mafisadi na bado mkasema mahakama ya mafisadi imekosa kesi? Aibu kubwa hii.

Nyie endelezi kasi ya chuki na dhuluma by the time mnaamka usingizini mmebak wawili.

Mimi sio mtaalam wa sheria lakini kama sijakosea katiba inasema chombo pekee kinachoweza kumtangaza mtu mwizi ni mahakama. Je hapa tukisema Mh sana Rais amevunja katiba tutakuwa ftumekosea?
 
Nasikia Arusha nzima ipo gizani Kwa masaa 5 sasa.
Halafu huyu bwege anaongea utumbo.

Change,Tibaijuka wapo wapi?
Ni lijizi gani liliuza nyumba za serikali?
 
Yaani huyu mtu ni zaidi ya mdomo mchafu ! Akijibiwa tu kesho yake maiti zinazagaa ruvu na baharini,achilia mbali wakutekwa na kumiminiwa mirisasi isiyo na hesabu ! Kuna mwizi kama yy aliyekua na hao wezi wote huko ccm ! Yeye alikua waziri wakuzimu,hao wezi wakiwa ccm ??? Nyumba za serikli,samaki wa magufuli,mabarabara yote nchini,yaliyo chini ya viwango,konoike,ndege Canada vilikua chini ya nani ???? Kama si chini yake yy jambazi mkuu !! Alafu mnasema aheshimiwe !! Ataheshimiwa na nani wakati yy mwenyewe haheshimu mdomo wake,kinachotoka na kuingia,ni dharau,kebehi,matusi na udhalilishaji vya hali ya juu??Mungu nena na huyu mtawala kama ulivyokwisha nena na nebkadreza kwa habari ya kujiona yy ni mungu dunia !.Mungu huyu mtu anatafuta adhulumu roho za watu kwa matendo na kauli zake zinazopingwa na wengi.Mungu njia ya kutulinda,kutuepusha na kutukinga na huyu dhalimu,unayo wewe.Tutendee Mflme,tuna achilia haya Mikononi mwako,tukikuamini na kusubiria ,Amen
 
Asante mungu Kwa uponyaji wa Lissu.
Baba twaomba tuchukulie Myweather huyu.
 
Kwa Nini hayo majizi yalingojewa Hadi yaondoke ndipo yasemwe. In maana yasipokbimbia sio majizi au?
 
CHADEMA hawawezi kuongea popote zaid ya jukwaani?

Hapana hawawezi. Kwa nini maneno yasemwee jukwaani ukayaongelee ofisini?? Nadhani kama ingelikuwa ni haki naye angeliwapa chadema ruksa. Akiwa Mwanza wao wawe Mbeya. Wasingelikaa wakutane mji mmoja hivyo saa hizi nchi ingelikuwa mbaali sana. Tungeliona wawekezaji kutoka China, Korea na hata Israel. Tuache kujishutumu wenyewe tuwape ruksa wengine watushutumu nasi tuwajibu kwa vitendo. Maendeleo ni vitendo sio hadithi
 
Back
Top Bottom