Rais Magufuli, kumbuka kuna kesho

Rais Magufuli, kumbuka kuna kesho

Maamuzi ya jajiccm wa mahakamaccm juu ya uporaji wa Ubunge wa Tundu hayakuwa maamuzi ya kisheri na katiba bali yalikuwa ni maamuzi binafsi toka juu hata jaji mwenyewe aliyafanya akiwa anaona Aibu nafsi kumsuta.
Aliposhindwa kumuua kwa mapenzi ya Mungu ndipo akaamua kumyang'anya ubunge wake kupitia kwa kibaraka Ndugai
 
Hivi wewe unaandika kwa sababu unajua au kwa sababu unasimu?

Hao watu 467 waliojitokeza hawajui ila wewe tu ndo mwerevu

He unajua kwamba kushinda kesi haimaanishi kuwa hukutenda kosa ila ushaidi tu umepungua unajua hilo?

Nakuomba usipende sana kuona fikra zako in sahihi, ogopa sana hilo.

Sasa unajua kuwa pesa hiyo itakaporudishwa hata wewe utafaidi kwa njia moja au nyingine, au unabisha?

Nakupa mfano wewe unafaidi vipi,
Soda na maji ya kunywa kwenye serikali zilizopita zilikuwa zinaongeza tax kila mwaka na kupeleke kupanda bei lakini tangu awamu hii iingie madarakani hajaongeza tax yeyote hivyo being ya soda na maji no ileile ya 2016. Unajua hilo au unataka let's ubishi na huu in sehemu ndogo tu ya vitu unavyoenjoy.

Unapojadili jambo Fanya critically siyo kwa kusema ili mradi.

Asante.
Hivi Rais Magufuli anajua kuwa historia itamkumbuka Kama kiongozi Dikteta ktk historia ya Tanzania?

Madaraka yamemfanya Rais wetu asahau kuwa kuna kesho, mbaya zaidi kuna kundi la wanafiki wanaompamba na kuzidi kumpoteza wamemzunguka ili kushibisha matumbo yao.

Hivi tangu lini mahabusu akawa na hatia?

Mahabusu ni mtuhumiwa tu ambaye anaweza kufutiwa tuhuma na mahakama wakati wowote. Sasa kumshurutisha akiri kosa ili atolewe selo ni uonevu wa hali ya juu, kimsingi msamaha wa Rais ungefanyika baada ya watuhumiwa kukutwa na hatia na kisha kufungwa ndipo Rais angewasamehe.

Sasa unaweza kumsamehe mtu ambaye hajakutwa na hatia bado?

Rais Magufuli kumbuka kuna kesho.
 
Kwa taarifa yako kinachomuumiza binadamu yoyote ni ukweli, hivyo ukweli usemwe na mtu unayemuona au mwenye fake I'd bado unabaki kuwa ukweli. Mfano mrahisi, rais kila akikaa hadharani anasifiwa ile mbaya, ila huku jukwaani kuna wachache wanampa ukweli wake, huo ukweli wa fake I'd unamuumiza kuliko hizo sifa lukuki huko mtaani. Rejea udukuaji wake wa mawasiliano ya kina Makamba, maongezi yale yalimuumiza kuliko sifa za kinafiki anazopewa akiwa hadharani. Ukitaka kupata maoni halisi na ya kweli ya watu kuhusu ww, weka suggestion box, na sio kuitisha kikao cha face to face.
Uongozi uliopo unajua kabisa kuna watu wanauchukia ndo maana kuna ulinzi, hakuna haja ya suggestion box na sidhani kama wana wasi wasi na chuki za wenye chuki.

Na huo ukweli unataka waambiwe kama wao ndo wameutenda basi wanaufahamu, kuwaambia hakuwezi kuwaumiza.

Utawaumiza endapo utawanyang'anya madaraka Ila kama huwezi fake id's ni kazi bure.

Yaani aumie halafu afate unachotaka sababu una fake I'd na utamwambia ukweli?
 
Mtu akikufanyia jambo ambalo hulipendi halafu yeye akawa analiona ni zuri na la kumfurahisha wewe ukaenda kuvaa kinyago usijulikane wewe ni nani Kisha ukasema ukweli wa ulichofanyiwa kwamba ataumia kwa kuwa umemwambia ukweli? Kwani huo ukweli si tayari anafahamu kwa kuwa yeye Ndo kaufanya?

Kuufahanu ukweli hakukufanyi kuukubali pindi unaposemwa, labda kama hujui unaloongea. Kwa mfano ww ni mwizi au umeua mtu, akitokea mtu akawa anasema hayo mauaji yako hata kama humjui utafurahi?
 
Uongozi uliopo unajua kabisa kuna watu wanauchukia ndo maana kuna ulinzi, hakuna haja ya suggestion box na sidhani kama wana wasi wasi na chuki za wenye chuki.

Na huo ukweli unataka waambiwe wao ndo wameutenda, wanaufahamu kuwaambia hakuwezi kuwaumiza.

Utawaumiza endapo utawanyang'anya madaraka Ila kama huwezi fake id's ni kazi bure.

Yaani aumie halafu afate unachotaka sababu una fake I'd na utamwambia ukweli?

Ukimnyang'an'ganya madaraka haogopi tena ukweli bali anapoteza amani na kuanza kuishi kwa woga, kwani kulipiza kisasi kunakuwa wazi wazi.
 
Ukimnyang'an'ganya madaraka haogopi tena ukweli bali anapoteza amani na kuanza kuishi kwa woga, kwani kulipiza kisasi kunakuwa wazi wazi.
Mkuu kubali tu, kelele za humu hazina nguvu ya kumtikisa kiongozi, labda kujisikia tu amani kwa kutoa yaliyo moyoni. Ila kusema kuwa zina impact kubwa kwenye utawala, sidhani. Tz ina watu zaidi ya m55, na hatari kwenye utawala ipo kwenye ulimwengu halisi si mitandaoni. Mitandao itakuwa hatari endapo itakuwa na vihashiria vya kuchochea vita vya kisiasa kwenye ulimwengu halisi.
 
Hivi Rais Magufuli anajua kuwa historia itamkumbuka Kama kiongozi Dikteta ktk historia ya Tanzania?

Madaraka yamemfanya Rais wetu asahau kuwa kuna kesho, mbaya zaidi kuna kundi la wanafiki wanaompamba na kuzidi kumpoteza wamemzunguka ili kushibisha matumbo yao.

Hivi tangu lini mahabusu akawa na hatia?

Mahabusu ni mtuhumiwa tu ambaye anaweza kufutiwa tuhuma na mahakama wakati wowote. Sasa kumshurutisha akiri kosa ili atolewe selo ni uonevu wa hali ya juu, kimsingi msamaha wa Rais ungefanyika baada ya watuhumiwa kukutwa na hatia na kisha kufungwa ndipo Rais angewasamehe.

Sasa unaweza kumsamehe mtu ambaye hajakutwa na hatia bado?

Rais Magufuli kumbuka kuna kesho.

Acha kulialia hapa wewe, kila mtu atavuna alichopanda. Na hawa ndio walioiharibu hii nchi. Ndio wanaofanya tunalipa umeme ghali, umeme huo umesababisha kila kitu kupanda, tunaishi maisha ya taabu kwa sababu ya mikataba ya kifasad.
Nyny mnaokuja hapa kwa sababu mnajua mlifaid fedha za ufisad tuna hasira sana na niny
 
Maendeleo hayaji kwa kuwabambikia watu kesi, kuminya demokrasia, wapo wapi walionunua kivuko kibovu cha Dsm-Bagamoyo? wapo wapi waliokula chenji ya Rada? wapo wapi waliokula pesa za kiwanda hewa lindi ?

Wapo wapi waliouza nyumba za Serikali na kujiuzia nyumba kibao kinyume cha Sheria na zingine kuzigawa kwa hawala ambao hawakuwa watumishi wa umma? Wapo wapi waliotafuta tilion 1.5 wakataka kumtoa CAG kafara?

Maisha yapi yanaendeshwa kimiujiza zaidi ya hao waliokula hayo mapesa na wapo wanadunda, maendeleo hayaji kwa kubembelezana kivipi?

Mbona Gadafi alikuwa na maendeleo leo hii yupo wapi? Kikwete alikuwa mpole lakini kila mwaka aliongeza kima cha mishahara ya watumishi wa umma na kujenga miundo mbinu pia, kwani kuongoza Nchi ni kukataa kukosolewa?

Kuzuia mikutano ya siasa ambayo ipo kisheria ndiyo utawala bora? jibu haya machache kwanza kabla hatujakuletea mengine mengi yaliyosalia

Kweli wewe ni minyoo, nchi hii inamhitaji Magufuli kuliko kelele zenu za kutete wezi.

Mimi ambaye sina chama mikutano ya kisiasa inanifaidisha nn mimi?

Mimi ambaye ni mfanya biashara ninaelipa kodi mbona sioni tatizo? Nyinyi msiolipa kodi kazi yenu kuididimiza hii nchi na ndio mliotufikisha hapa
 
Write your reply...TRA wanajisifia kumbe wanawafilisi matajiri kwa kuwabambika watu kesi za utakatishaji pesa na uhujumu uchumi. magufuli, ulaaniwe.
 
Nimekwelewa sana andiko lako mkuu
Serikali haina pesa ,Magufuli kachezea pesa hovyo, kanunua ndege mbovu, ana miradi kibao, bado katumia pesa kuhonga wapinzani waende CCM, wahisani wamemtosa kwa sababu kaminya Demokrasia na utawala bora, GDP imeshuka, korosho kaiharibia soko, nina mashaka sana pengine tuna Rais mamluki aliyepo maalumu kuimaliza Tanzania.kama alivyokuwa Michael Gorbachev.
 
Wewe ni idiot. Plea bargaining haiko hivyo si Ulaya si US. Kwa wenzetu plea bargaining haifanyiki kabla ya upelelezi haujakamilika! Ni lazima uwe na vithibitisho na ushahidi fulani vya ukiukwaji wa sheria kabla haujambana mtuhumiwa ili m bargain!
Haya wewe clever! Kwani lazima tulingane kwa kila kitu kama kwa mabwana zako huko Ulaya na US? Elewa mazingira ya Afrika na huko kwa mabwana zako kunatofauti kubwa sana ndiyo maana huko wanaruhusu ushoga lakini kwetu ni kosa kisheria pia huko mtoto anaweza kumfokea mzazi wake na kukataa kutumwa na mzazi wake lakini kwetu mwiko. Elimika mkuu!
 
Hivi hawa mkuu wanao onewa ivi uskute kweli hawana hatia hawawezi kupata msaada wa kisheria au ndo ivyo mzee mzima ndio kesha kua mihimili mitatu (jeshi la mtu mmoja)
Kukomaa maana yake ni nini ? Kukaa jela mda mrefu ukiteseka kwa uchunguzi kutokamilika na kukosa ushahidi hawajashikwa na ngozi ndiyo maana ushahidi hakuna wakaamua kuwasotesha jela mda mrefu tu.
 
Tutaona mengi mkuu, baada ya ishu ya kupiga goti na kuombana msamaha sasa ni mwendo wa kuandika barua kukiri kosa na kurudisha pesa.

Nachojiulizai ina maana hizo pesa walikuwa tu wamekaa nazo hawakutumia au wamepewa zingine wafanyie maigizo???
Nyumba na viwanja vya familia vinauzwa kwa bei ya kutupwa ili kuwaokoa ndugu wanaosota ngome hadi miaka 7.
 
Haya wewe clever! Kwani lazima tulingane kwa kila kitu kama kwa mabwana zako huko Ulaya na US? Elewa mazingira ya Afrika na huko kwa mabwana zako kunatofauti kubwa sana ndiyo maana huko wanaruhusu ushoga lakini kwetu ni kosa kisheria pia huko mtoto anaweza kumfokea mzazi wake na kukataa kutumwa na mzazi wake lakini kwetu mwiko. Elimika mkuu!
Kweli wewe ni magu2016. na mwenzio ni magu2015!
 
Hivi Rais Magufuli anajua kuwa historia itamkumbuka Kama kiongozi Dikteta ktk historia ya Tanzania?

Madaraka yamemfanya Rais wetu asahau kuwa kuna kesho, mbaya zaidi kuna kundi la wanafiki wanaompamba na kuzidi kumpoteza wamemzunguka ili kushibisha matumbo yao.

Hivi tangu lini mahabusu akawa na hatia?

Mahabusu ni mtuhumiwa tu ambaye anaweza kufutiwa tuhuma na mahakama wakati wowote. Sasa kumshurutisha akiri kosa ili atolewe selo ni uonevu wa hali ya juu, kimsingi msamaha wa Rais ungefanyika baada ya watuhumiwa kukutwa na hatia na kisha kufungwa ndipo Rais angewasamehe.

Sasa unaweza kumsamehe mtu ambaye hajakutwa na hatia bado?

Rais Magufuli kumbuka kuna kesho.

Hizi shule sijui mlikwenda kufanya nini, kwanza huelewi maana ya ''Dikteta'' JPM ndio rais wewe ulikuwa wapi kuchaguliwa kama ni mwerevu? Umebakia kuganga njaa humu JF. Kundi la wanafiki ni wewe ambaye huna mbele wala nyuma maana umekalia kukashifu tu wakati uwezo wa kuongoza huna, umekuwa kama mzoga. Hakuna mahabusu yoyote aliyelazimishwa kukiri makosa, kwa lugha ya wenzetu wanaita ''plea bargain'' sasa kwa sababu kwa Kiswahili chake ni kuomba msamaha na kukiri makosa hicho ndio kimekushinda wewe mmatumbi kuelewa. Kwa taarifa yako mahakama hazifuti hatia bali zinatoa hukumu, hukumu inaweza kuwa umeshinda kesi au umeshindwa. Yaani wewe mburukenge ati unaweza kutoa ushauri kwa rais ....really? Hizi njaa zenu wadanganyeni mafara kwenye chama Cha Mazingaombwe cha Chadema au Chama cha mfukoni cha Zito.

JPM yuko juu na sisi Watanzania tulio wengi hatuwezi kuchelewesha maendeleo ya nchi kusikiliza vikuwadi vya mataifa ya nje, tutawaburuza tu mpende msipende hadi pale mtakapofahamu kwamba tumeamua kufanya kweli na kuleta maendeleo kwenye nchi yetu.
 
Back
Top Bottom