Rais Magufuli, kumbuka kuna kesho

Rais Magufuli, kumbuka kuna kesho

Haya wewe clever! Kwani lazima tulingane kwa kila kitu kama kwa mabwana zako huko Ulaya na US? Elewa mazingira ya Afrika na huko kwa mabwana zako kunatofauti kubwa sana ndiyo maana huko wanaruhusu ushoga lakini kwetu ni kosa kisheria pia huko mtoto anaweza kumfokea mzazi wake na kukataa kutumwa na mzazi wake lakini kwetu mwiko. Elimika mkuu!
Apologies mkuu,sikumaanisha kukutukana. Take it easy.
 
Tanzania ni kinyume chake mtukufu akiwa na kinyongo na wewe hata enzi zile akiwa waziri wa Meli ya samaki ya kichina hufukua makaburi kisha kuwaagiza ushughurikiwe haraka na Sheria ya uhujumu uchumi hutumika kirahisi kwa sababu haina Dhamani, ambapo mtuhumiwa husota jela kipindi kirefu akiteseka kisakolojia kwa ujumla
Indeed,tunaishi kwenye zama za ajabu sana.
 
Hizi shule sijui mlikwenda kufanya nini, kwanza huelewi maana ya ''Dikteta'' JPM ndio rais wewe ulikuwa wapi kuchaguliwa kama ni mwerevu? Umebakia kuganga njaa humu JF. Kundi la wanafiki ni wewe ambaye huna mbele wala nyuma maana umekalia kukashifu tu wakati uwezo wa kuongoza huna, umekuwa kama mzoga. Hakuna mahabusu yoyote aliyelazimishwa kukiri makosa, kwa lugha ya wenzetu wanaita ''plea bargain'' sasa kwa sababu kwa Kiswahili chake ni kuomba msamaha na kukiri makosa hicho ndio kimekushinda wewe mmatumbi kuelewa. Kwa taarifa yako mahakama hazifuti hatia bali zinatoa hukumu, hukumu inaweza kuwa umeshinda kesi au umeshindwa. Yaani wewe mburukenge ati unaweza kutoa ushauri kwa rais ....really? Hizi njaa zenu wadanganyeni mafara kwenye chama Cha Mazingaombwe cha Chadema au Chama cha mfukoni cha Zito.

JPM yuko juu na sisi Watanzania tulio wengi hatuwezi kuchelewesha maendeleo ya nchi kusikiliza vikuwadi vya mataifa ya nje, tutawaburuza tu mpende msipende hadi pale mtakapofahamu kwamba tumeamua kufanya kweli na kuleta maendeleo kwenye nchi yetu.
Eti sisi Watanzania.
Kwani wengine ni wapi? South Sudan?
 
Kwa taarifa yako kinachomuumiza binadamu yoyote ni ukweli, hivyo ukweli usemwe na mtu unayemuona au mwenye fake I'd bado unabaki kuwa ukweli. Mfano mrahisi, rais kila akikaa hadharani anasifiwa ile mbaya, ila huku jukwaani kuna wachache wanampa ukweli wake, huo ukweli wa fake I'd unamuumiza kuliko hizo sifa lukuki huko mtaani. Rejea udukuaji wake wa mawasiliano ya kina Makamba, maongezi yale yalimuumiza kuliko sifa za kinafiki anazopewa akiwa hadharani. Ukitaka kupata maoni halisi na ya kweli ya watu kuhusu ww, weka suggestion box, na sio kuitisha kikao cha face to face.
Ni kweli humu ndipo hakuna unafiki tunanyoosha vilivyo na ndiyo maana wakaamua kumfungulia kesi mmiliki wa JF ili kumfunga mdomo, hakuna kama JF Nchini kwani ndoyo mtandao unawakosesha usingizi Bashite na mtukufu
 
Kweli wewe ni minyoo, nchi hii inamhitaji Magufuli kuliko kelele zenu za kutete wezi.

Mimi ambaye sina chama mikutano ya kisiasa inanifaidisha nn mimi?

Mimi ambaye ni mfanya biashara ninaelipa kodi mbona sioni tatizo? Nyinyi msiolipa kodi kazi yenu kuididimiza hii nchi na ndio mliotufikisha hapa
Wewe mbweha peleka ufala wako huko kwa wavuta Bangi wenzako, kitendo cha kuisengenya ID tayari kimedhihirisha wewe ni house boy nyumbani kwa mtukufu, hiii mifano yako vigezo vyako ni ya kishamba shamba sana, kwa mtu asiyevuta Bangi kama wewe hawezi kuikubali, kaa ukijua mtizamo wako binafsi kama ni mnufaika wa utawala huu usiugeuze kuwa mtizamo wa wengi kwani uzalendo wa awamu hii ni kuwabambikia watu kesi kuminya demokrasia na uonevu wa kila aina.
 
Mkuu kubali tu, kelele za humu hazina nguvu ya kumtikisa kiongozi, labda kujisikia tu amani kwa kutoa yaliyo moyoni. Ila kusema kuwa zina impact kubwa kwenye utawala, sidhani. Tz ina watu zaidi ya m55, na hatari kwenye utawala ipo kwenye ulimwengu halisi si mitandaoni. Mitandao itakuwa hatari endapo itakuwa na vihashiria vya kuchochea vita vya kisiasa kwenye ulimwengu halisi.
Huu mtandao unawanyima usingizi CCM na utawala wote wa Awamu hii ya tano ndiyo maana wakaamua kumfungulia kesi mmilikia wa JF na kama wasingekuwa wanaumia moyoni wasingehangaika kumtesa mmilili wa jf mpaka sasa
 
Kwani rais amewalazimisha?
Hakuna anayekataa mwizi kurudisha pesa aliyoiba, je mahakama imedhibitisha kwamba wameiba? Unamtesa mtu ili akubali tuhuma zako kisha unasema kaiba!?
 
Usitumie hisia katika kunena/kuandika vitu ambavyo huna ushahidi navyo ukiwa kama mwanachama wa JF ambaye tunaamini haendeshwi kwa mihemko ya hisia.
Ulishaambiwa ukweli huchelewa kufika lakini lazima ufike.
Wengi wamekiri makosa ambayo hawakuyafanya ili wapate hata kuuza mali zao walipe hizo pesa na kuwa huru
 
Hizi shule sijui mlikwenda kufanya nini, kwanza huelewi maana ya ''Dikteta'' JPM ndio rais wewe ulikuwa wapi kuchaguliwa kama ni mwerevu? Umebakia kuganga njaa humu JF. Kundi la wanafiki ni wewe ambaye huna mbele wala nyuma maana umekalia kukashifu tu wakati uwezo wa kuongoza huna, umekuwa kama mzoga. Hakuna mahabusu yoyote aliyelazimishwa kukiri makosa, kwa lugha ya wenzetu wanaita ''plea bargain'' sasa kwa sababu kwa Kiswahili chake ni kuomba msamaha na kukiri makosa hicho ndio kimekushinda wewe mmatumbi kuelewa. Kwa taarifa yako mahakama hazifuti hatia bali zinatoa hukumu, hukumu inaweza kuwa umeshinda kesi au umeshindwa. Yaani wewe mburukenge ati unaweza kutoa ushauri kwa rais ....really? Hizi njaa zenu wadanganyeni mafara kwenye chama Cha Mazingaombwe cha Chadema au Chama cha mfukoni cha Zito.

JPM yuko juu na sisi Watanzania tulio wengi hatuwezi kuchelewesha maendeleo ya nchi kusikiliza vikuwadi vya mataifa ya nje, tutawaburuza tu mpende msipende hadi pale mtakapofahamu kwamba tumeamua kufanya kweli na kuleta maendeleo kwenye nchi yetu.


Hivi mwandishi hapa na huyo ml;eta mada ni yupi mwenye nja ana analipwa?
unachotetea wewe ni kipi kama sio tumbo lako ?
 
Kiongozi ni kweli mahabusu sio mtuhumiwa rasm na pengine anaweza asiwe na hatia,lakini tujiulize kama taifa kwa nn waandike barua za kukiri kama hakuna kosa wala viashiria vya kosa na je?ni wahujumu uchumi wote wameandika barua za kukiri, je wamelazimishwa kufanya hivyo,mungu akupe hekima na tafakar sahihi katika hili.ahsante
Mkuu umenihoji kwa hekima nami nakujibu kwa hekima.
Jela si mahali pazuri, alichotakiwa kufanya Rais ni kumwamuru DPP aharakishe kesi hukumu itoke, kisha baada ya hukumu (wamepatikana na hatia) ndipo angetumia mamlaka yake kuwatoa kwa masharti ya kurudisha walichoiba.
Sasa mtu Hana hatia Unataka akomae selo Kama hataki kukiri na kulipa na tayari ana miaka minne selo, unadai upelelezi wa kesi bado na kesi haina dhamana, anaona ni bora akubali yaishe kwa sababu pesa hutafutwa ila huo ni ujambazi wa serikali kabisa,
 
Mbona Watanzania hatuelewi? Nani KALAZIMISHWA KUKIRI KOSA? Mbona wao wenye makosa wana kiri lakini wewe unasema wameshurutishwa, vipi mbona hueleweki?
Unapajua jela wewe? Unakiri kwa sababu ya hofu ya kuozea jela even if you're not a thief ,
 
yan wew unaonesha jinsi gani ulivyo kilaza kwa kudandia gali kwa mbele
aliye kwamba mahabusu wana hukumiwa ni nani??
hiyo ni sheria mpya inaitwa plea bargain itafute uisome uelewe
 
Wewe kweli bomu ngombe kaingizwa machinjioni atapona kuchinywa? Labda akutwe na ugonjwa pole zako badosana watu kama wewe
Sidhani kama unatambua sheria dhidi ya hao wafanyao hivyo,na ndio maana wao wameridhia kuandika barua na wewe huna msaada wowote wa kusaidia tofauti na kutoa matusi...ongea kwa hoja
 
Mrs. Mr. Miss underwater. JPM kakukosea nini. Amefanya nini ambacho wewe unaona ungefanya bora zaidi. Unadhani kuongoza nchi ni Kama kuongoza haja Zako. Hata haja kuna wakati zinakosa muafaka. Punguza kuhate. Eti. Dikteta. We ungekaa hapa unaandika huu upuuzi. Pole na majanga. Lipa tu kodi. Maendeleo hayajawahi kuja kwa kubembelezana. Mi mtanzania halisi. Najua maisha yetu tunavyopenda kuendesha kimiujiza. Sasa anza kiuhalisia. JPM yuko mbali sana na maisha yako.
We nae unatetea ujinga, tangu lini maendeleo yakaja kwa kunyima watu haki zao?
 
Mkuu umenihoji kwa hekima nami nakujibu kwa hekima.
Jela si mahali pazuri, alichotakiwa kufanya Rais ni kumwamuru DPP aharakishe kesi hukumu itoke, kisha baada ya hukumu (wamepatikana na hatia) ndipo angetumia mamlaka yake kuwatoa kwa masharti ya kurudisha walichoiba.
Sasa mtu Hana hatia Unataka akomae selo Kama hataki kukiri na kulipa na tayari ana miaka minne selo, unadai upelelezi wa kesi bado na kesi haina dhamana, anaona ni bora akubali yaishe kwa sababu pesa hutafutwa ila huo ni ujambazi wa serikali kabisa,
IQ yako iko vizur,nashukuru pia kwa hekima dhidi ya ufafanuzi au majibu sahihi,mh rais ameshaur ofisi ya DPP Ione kama inafaa kuweza kupitia mashauli hayo na kushirikiana na mamlaka za ki-upelelezi(jeshi la polisi)ili kuondoa adha ya muda wa ufuatiliaji kuwa mkubwa na pengine kuwatesa zaidi,hivyo kama wao wameridhia kufanya hivyo ni vema utoe ushauri wa kina nini kifanyike ili kuliokoa taifa.mungu akuatangulie ahsante
 
Hili ni taifa la kijinga sana, halafu kuna watu wanashangilia huu upuuzi.
Mtu katuhumiwa tu, haijulikani Kama ana makosa au la, wewe unamwambia akiri kosa lake kisha arudishe pesa na umtoe jela, huo ni ujambazi wa mchana kabisa
Pamoja na kubanwa na serikali, wapo watuhumia wapumbavu walioingia mkenge kwa kurubuniwa kukiri makosa hewa mradi tu wawe huru.
 
yan wew unaonesha jinsi gani ulivyo kilaza kwa kudandia gali kwa mbele
aliye kwamba mahabusu wana hukumiwa ni nani??
hiyo ni sheria mpya inaitwa plea bargain itafute uisome uelewe
Ujinga wako usilete kwangu mpumbavu mkubwa wewe, hiyo plea bargain mtu ana sign akiwa guest house na mkeo au akiwa jela na under which condition?
 
Back
Top Bottom