Rais Magufuli, kumbuka kuna kesho

Rais Magufuli, kumbuka kuna kesho

wewe mtoa mada una matatizo ya akili
kipi kinakuuma mtu kuomba msamaha kwa serikali kwanza hakuna mtu aliye lazimishwa kuomba msamaha kama una ona una haki kaa gerezani
sio kila muda kuanzisha mada za kumponda raisi kama kafanya ukatili gani vile kuwa na akili sio unafikiri kwa kutumia haja kubwa na kutuandikia utumbo hapa kwanza hajalazimishwa mtu kuomba msamaha
kama mtu anaamua kukiri yeye mwenyewe wewe kinaslchokuuma ni nn hasa
 
Ndugu huko mitaani wanachangishana wengine kuuza mali zao kwa ajili ya kwenda kuwakomboa ndugu zao magerezani
Lazma wachangishane si walitumia pamoja ela za wizi.
 
Maendeleo hayaji kwa kuwabambikia watu kesi, kuminya demokrasia, wapo wapi walionunua kivuko kibovu cha Dsm-Bagamoyo? wapo wapi waliokula chenji ya Rada? wapo wapi waliokula pesa za kiwanda hewa lindi ?

Wapo wapi waliouza nyumba za Serikali na kujiuzia nyumba kibao kinyume cha Sheria na zingine kuzigawa kwa hawala ambao hawakuwa watumishi wa umma? Wapo wapi waliotafuta tilion 1.5 wakataka kumtoa CAG kafara?

Maisha yapi yanaendeshwa kimiujiza zaidi ya hao waliokula hayo mapesa na wapo wanadunda, maendeleo hayaji kwa kubembelezana kivipi?

Mbona Gadafi alikuwa na maendeleo leo hii yupo wapi? Kikwete alikuwa mpole lakini kila mwaka aliongeza kima cha mishahara ya watumishi wa umma na kujenga miundo mbinu pia, kwani kuongoza Nchi ni kukataa kukosolewa?

Kuzuia mikutano ya siasa ambayo ipo kisheria ndiyo utawala bora? jibu haya machache kwanza kabla hatujakuletea mengine mengi yaliyosalia
Kwani uko Belgium, Marekani, England ulishasikia vyama vya upinzani vinafanya mikutao? Wananch wanaojielewa wanafanya kaz ilikuinua uchimi wa nchi, siyo kulilia mikutano, wanasiasa wengi wa upinzani wananjaa siasa wanaigeuza ajira , awanaga vyanzo vyovyote vya kujiingizia kipato.
 
Hakuna jitu pumbavu na jinga Kama wewe, sijui hata ukoo uliotoka wewe ni ukoo wa watu gani, Magufuli ni Rais Unataka kumfananisha na mimi?
Kesho ya Magufuli imebeba kesho ya Tanzania, na kesho yangu imebeba kesho ya wanangu tu, mimi nitahukumiwa na wanangu nikiboronga ,na Magufuli atahukumiwa na Tanzania nzima, wewe ni mpumbavu, changia mada za wapumbavu wenzako

Uko sawa kabisa mkuu watu Akili sijui wameziweka wapi au wamepigwa upofu aisee dah!!🤬
 
Back
Top Bottom