Acha kudhalilisha akili yako, kupambana mpaka ampige jiwe ngumi? Hata kuandika aliyoandika ni mapambano pia. Lumumba mna uwezo mdogo sana wa kufikiri. Nahisi ndiyo mana mnashindwa kumshauri vyema jiwe kama akili zenu ndiyo hiziMuzungu angesikiliza hiyo misemo yenu ya kimasikini reli ya Dar- KGM isingejengwa, English monarchy wanatawala karibia miaka 800 Uingereza hiyo misemo imesemwa sana lkn hadi leo bado wapo .
Angalia maisha yako na familia yako hilo la kukaa Mwanaume mzima ukisubiri Mwanaume mwenzio aliyejituma na kufanikiwa eti aje kushindwa ili msemo wako utimie ashindwe ili ufurahie ni udhaifu, ndo maana wanswake wake zenu wanatembea nje, mko dhaifu sana.
Mwanaume strong haishi kwa misemo, bali anafight, kama unaona Raisi Magufuli hafanyi unavyotaka pambana naye, misemo haikufikishi popote!