Rais Magufuli, kumbuka kuna kesho

Rais Magufuli, kumbuka kuna kesho

Wewe ni idiot. Plea bargaining haiko hivyo si Ulaya si US. Kwa wenzetu plea bargaining haifanyiki kabla ya upelelezi haujakamilika! Ni lazima uwe na vithibitisho na ushahidi fulani vya ukiukwaji wa sheria kabla haujambana mtuhumiwa ili m bargain!
Tanzania ni kinyume chake mtukufu akiwa na kinyongo na wewe hata enzi zile akiwa waziri wa Meli ya samaki ya kichina hufukua makaburi kisha kuwaagiza ushughurikiwe haraka na Sheria ya uhujumu uchumi hutumika kirahisi kwa sababu haina Dhamani, ambapo mtuhumiwa husota jela kipindi kirefu akiteseka kisakolojia kwa ujumla
 
Kibaya zaidi huyo aliyejivika uhalali wa kusamehe anasema usipokiri kosa na kuomba msamaha ukae huko mpaka ufungwe! Hii inamaanisha usipoomba msamaha kwake, utakuwa umebakiwa na sehemu tu ya kufungwa! Je ni nani haamini kwamba mkulu anaingilia mahakama? Na kesi karibu nyingi yeye ndio huamua hukumu iweje, mfano halisi ni kesi ya ubunge wa Tundu Lissu.

Maamuzi ya jajiccm wa mahakamaccm juu ya uporaji wa Ubunge wa Tundu hayakuwa maamuzi ya kisheri na katiba bali yalikuwa ni maamuzi binafsi toka juu hata jaji mwenyewe aliyafanya akiwa anaona Aibu nafsi kumsuta.
 
Hivi nani anatudangaya kuwa kuongoza nchi ni kazi ngumu? Kuongoza nchi kama kuna ugumu watu wangenawiri kiasi hiko kabla hawajaupata urais? Wangeng'ang'ania madaraka waongeze miaka ya kukaa Ikulu?

Wanafki kama hawa Mkuu wapuuzie tu.

Wanaosema kuongoza ni kugumu ni wale wanaojaribu kujenga hofu ili wengine wasigombee kuwe na ushindani finyu. Ukitaka kujua kuongoza sio kugumu jaribu kuwatoa kwenye nafasi za uongozi waliopo uone hilo kasheshe lake.
 
Hivi Rais Magufuli anajua kuwa historia itamkumbuka Kama kiongozi Dikteta ktk historia ya Tanzania?

Madaraka yamemfanya Rais wetu asahau kuwa kuna kesho, mbaya zaidi kuna kundi la wanafiki wanaompamba na kuzidi kumpoteza wamemzunguka ili kushibisha matumbo yao.

Hivi tangu lini mahabusu akawa na hatia?

Mahabusu ni mtuhumiwa tu ambaye anaweza kufutiwa tuhuma na mahakama wakati wowote. Sasa kumshurutisha akiri kosa ili atolewe selo ni uonevu wa hali ya juu, kimsingi msamaha wa Rais ungefanyika baada ya watuhumiwa kukutwa na hatia na kisha kufungwa ndipo Rais angewasamehe.

Sasa unaweza kumsamehe mtu ambaye hajakutwa na hatia bado?

Rais Magufuli kumbuka kuna kesho.
Ninge penda utolee ufafanuzi kwenye hilo kundi la watu 400+ waliyo andika barua no yupi alie lazimishwa kukiri
 
Hivi Rais Magufuli anajua kuwa historia itamkumbuka Kama kiongozi Dikteta ktk historia ya Tanzania?

Madaraka yamemfanya Rais wetu asahau kuwa kuna kesho, mbaya zaidi kuna kundi la wanafiki wanaompamba na kuzidi kumpoteza wamemzunguka ili kushibisha matumbo yao.

Hivi tangu lini mahabusu akawa na hatia?

Mahabusu ni mtuhumiwa tu ambaye anaweza kufutiwa tuhuma na mahakama wakati wowote. Sasa kumshurutisha akiri kosa ili atolewe selo ni uonevu wa hali ya juu, kimsingi msamaha wa Rais ungefanyika baada ya watuhumiwa kukutwa na hatia na kisha kufungwa ndipo Rais angewasamehe.

Sasa unaweza kumsamehe mtu ambaye hajakutwa na hatia bado?

Rais Magufuli kumbuka kuna kesho.
Wote wanakesi ya kujibu ila uchunguzi unachukua muda mrefu. Pili hawa wahujumu uchumi wanahusika moja kwa moja na kiasi kikubwa cha hela kilichokwenye account za benki hela kubwa kiasi cha kutoweza kuitolea maelezo aliipataje wengine wana mali ambazo hawawezi kuzitolea maelezo. Hizo hela zimeshikiliwa kwenye mabenki hazitumiki sasa kwanini serikali isifanye yaishe nipe hela uwe huru? Tunataka hela tujenge nchi. Ongera JPM
 
Ninge penda utolee ufafanuzi kwenye hilo kundi la watu 400+ waliyo andika barua no yupi alie lazimishwa kukiri
Wote wamelazimishwa kwani mahakama ulikuwa haijawathibitisha kuwa na makosa, wengi wameamua kukiri tu bila kuwa na hatia ili wakwepe mateso wanayopata jela, wapo tayari kuuza mali zao zote wawe huru waanze moja kuliko kuendelea kutaabika magerezani
 
Katika hili
namuunga mkono rais wangu Magufuri. Wameiba, wanarudisha pesa na kusamehewa. Tabia mbaya sana kupinga kila jema.

Hakuna anayekataa mwizi kurudisha pesa aliyoiba, je mahakama imedhibitisha kwamba wameiba? Unamtesa mtu ili akubali tuhuma zako kisha unasema kaiba!?
 
Wote wanakesi ya kujibu ila uchunguzi unachukua muda mrefu. Pili hawa wahujumu uchumi wanahusika moja kwa moja na kiasi kikubwa cha hela kilichokwenye account za benki hela kubwa kiasi cha kutoweza kuitolea maelezo aliipataje wengine wana mali ambazo hawawezi kuzitolea maelezo. Hizo hela zimeshikiliwa kwenye mabenki hazitumiki sasa kwanini serikali isifanye yaishe nipe hela uwe huru? Tunataka hela tujenge nchi. Ongera JPM

Hilo la kutoweza kuitolea hela maelezo linafanyikia mahakamani kwenye kesi, na sio kumtesa mtu ili akiri kisa unalomtuhumu nalo.
 
Hoja yako ni nini hapa? Utabadili uongozi bila kushindana nao?
Hoja yangu ni ushindane nao. Si humu na fake id' out there kama Tundu Lissu, Mbowe, mdee n.k. Humu Hamna makali.
 
Jibu hoja ya mada, usichangie mada ya watu intellectuals wakati wewe ni zero brain, bila kusifia hujala, watu Kama wewe mlipaswa kufanyiwa majaribio na madaktari waliopo mafunzoni maana hueleweki Kama ulitokana na nyani au Binadamu gani wewe
Nyani ni very reasonable animals, tafadhali usiwafananishe na viumbe vya hovyo.
 
Hivi Rais Magufuli anajua kuwa historia itamkumbuka Kama kiongozi Dikteta ktk historia ya Tanzania?

Madaraka yamemfanya Rais wetu asahau kuwa kuna kesho, mbaya zaidi kuna kundi la wanafiki wanaompamba na kuzidi kumpoteza wamemzunguka ili kushibisha matumbo yao.

Hivi tangu lini mahabusu akawa na hatia?

Mahabusu ni mtuhumiwa tu ambaye anaweza kufutiwa tuhuma na mahakama wakati wowote. Sasa kumshurutisha akiri kosa ili atolewe selo ni uonevu wa hali ya juu, kimsingi msamaha wa Rais ungefanyika baada ya watuhumiwa kukutwa na hatia na kisha kufungwa ndipo Rais angewasamehe.

Sasa unaweza kumsamehe mtu ambaye hajakutwa na hatia bado?

Rais Magufuli kumbuka kuna kesho.
Wa aina hiyo hawakumbuki kitu.
Nani kati ya hawa alijua kuna kesho.

Hitler, Mussolini, Franco, Bokassa, Amin, Pinochet na sasa Bashir?
 
Wa aina hiyo hawakumbuki kitu.
Nani kati ya hawa alijua kuna kesho.

Hitler, Mussolini, Franco, Bokassa, Amin, Pinochet na sasa Bashir?
Wapo wapi akina Gadafi, Chiluba, Mabutu, Sadam Hussein, Abacha na wenzao?
 
Hoja yangu ni ushindane nao. Si humu na fake id' out there kama Tundu Lissu, Mbowe, mdee n.k. Humu Hamna makali.

Hao uliowataja wanafanya ushindani kupitia majukwaa rasmi, na huku tunatumia njia mbadala. Cha muhimu ni uzito wa unachoshindania. Hata kwenye soka, ushindi wa timu hauletwi na wachezaji walioko uwanjani tu, ukielewa hilo hoja yako inakufa kifo cha asili.

Kwa taarifa yako kwa sasa huku kwenye mitandao ndio michango halisi isiyo na bugudha wala kuchujwa na yoyote. Ukitaka kujua kwenye jamii unachukuliwaje, basi ingia kwenye mitandao ya kijamii, hapo utapata picha wangalau sio chini ya asilimia hamsini ya ukweli wako.
 
Hao uliowataja wanafanya ushindani kupitia majukwaa rasmi, na huku tunatumia njia mbadala. Cha muhimu ni uzito wa unachoshindania. Hata kwenye soka, ushindi wa timu hauletwi na wachezaji walioko uwanjani tu, ukielewa hilo hoja yako inakufa kifo cha asili.

Kwa taarifa yako kwa sasa huku kwenye mitandao ndio michango halisi isiyo na bugudha wala kuchujwa na yoyote. Ukitaka kujua kwenye jamii unachukuliwaje, basi ingia kwenye mitandao ya kijamii, hapo utapata picha wangalau sio chini ya asilimia hamsini ya ukweli wako.
Mkuu tindo, ingekuwa ni hivyo kungekuwa na utofauti mkubwa sana kwenye uongozi. Embu tangaza maandamano humu JF kupinga jambo lolote uone matokeo yake? Halafu mwenzio aandae maandamano kwenye dunia halisi aone reaction yake.

Tofauti na wenzetu, hapa kwetu mapigano ya mitandao ya Jamii yanaishia mitandao ya Jamii.

Siku max akisema haya kila mtu I'd yake itakuwa halisi ndo mwisho wa wanajeshi wa humu, karibu wote wataunga mkono juhudi bila kuombwa.
 
Mkuu tindo, ingekuwa ni hivyo kungekuwa na utofauti mkubwa sana kwenye uongozi. Embu tangaza maandamano humu JF kupinga jambo lolote uone matokeo yake? Halafu mwenzio aandae maandamano kwenye dunia halisi aone reaction yake.

Tofauti na wenzetu, hapa kwetu mapigano ya mitandao ya Jamii yanaishia mitandao ya Jamii.

Siku max akisema haya kila mtu I'd yake itakuwa halisi ndo mwisho wa wanajeshi wa humu, karibu wote wataunga mkono juhudi bila kuombwa.

Kwa taarifa yako kinachomuumiza binadamu yoyote ni ukweli, hivyo ukweli usemwe na mtu unayemuona au mwenye fake I'd bado unabaki kuwa ukweli. Mfano mrahisi, rais kila akikaa hadharani anasifiwa ile mbaya, ila huku jukwaani kuna wachache wanampa ukweli wake, huo ukweli wa fake I'd unamuumiza kuliko hizo sifa lukuki huko mtaani. Rejea udukuaji wake wa mawasiliano ya kina Makamba, maongezi yale yalimuumiza kuliko sifa za kinafiki anazopewa akiwa hadharani. Ukitaka kupata maoni halisi na ya kweli ya watu kuhusu ww, weka suggestion box, na sio kuitisha kikao cha face to face.
 
Back
Top Bottom