My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,930
- 13,333
- Thread starter
- #21
I'm not underwater, but I'm above the water, kukosa kwako akili utateseka SanaMrs. Mr. Miss underwater. JPM kakukosea nini. Amefanya nini ambacho wewe unaona ungefanya bora zaidi. Unadhani kuongoza nchi ni Kama kuongoza haja Zako. Hata haja kuna wakati zinakosa muafaka. Punguza kuhate. Eti. Dikteta. We ungekaa hapa unaandika huu upuuzi. Pole na majanga. Lipa tu kodi. Maendeleo hayajawahi kuja kwa kubembelezana. Mi mtanzania halisi. Najua maisha yetu tunavyopenda kuendesha kimiujiza. Sasa anza kiuhalisia. JPM yuko mbali sana na maisha yako.




